Urusi yaomba mamluki wa Wagner wamkamate kiongozi wao

Huu mtego si umeona anasema watarudi Frontline kufanya Nini sasaView attachment 2666972
Yaani unashindwa kuelewa kuwa hiyo ya kurudi frontline imechomekwa kimkakati ili kupunguza wasiwasi wa wale wasiotegemea yeye atwae nchi?. Huyo akishachukua nchi anarudisha majeshi nyumbani, anawatangazia warusi kuwa vijana wao wamekufa bure huko Ukraine, kisha umma unaanza kudai kichwa cha putin
 
HADITHI.
 
Jeshi la wagner ni kikosi cha serikaliya urussi usijidanganya kama kamanda wao kakengeuka basi anatiwapingu tu na kazi inaendelea
 
Hii Wagner ilikua mbaya mana kila siku unaona anashambulia mamlaka za Serikali...Sasa akiona yeye anashida vita imempa Kiburi..Ukiruhusu mtu mwingine kutoa matumizi kwako atachukua mkeo...Ndio hii ya Wagner
Wagner ni kikosi cha jeshi la urussi pia ila msaliti anaweza kutokea popote huyo kiongozi hatakamatwa na kikosi chake mwenyewe
 
Jeshi la wagner ni kikosi cha serikaliya urussi usijidanganya kama kamanda wao kakengeuka basi anatiwapingu tu na kazi inaendelea

Wagner si kikosi cha serikali, wale ni pmc ,similar to black water
 
Amka mkuu kumekucha.
 
Unajua maana ya pmc?
Ujinga ni kipaji[emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyinyi ndiyo wale mtu akijiita mtume kwenu ni mtume .....jina si chochote si lolote usipoteze muda na majina
 
Ujinga ni kipaji[emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyinyi ndiyo wale mtu akijiita mtume kwenu ni mtume .....jina si chochote si lolote usipoteze muda na majina

I dont need taarabu zako, jibu ni rahis sana ila sasa sababu hujui umeleta maelezo marefu nje ya topic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…