Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Hata kwenda Africa pia,ninajiuliza sasa kwa nini bado yupo Africa.Si aifute kabisa Wagner?Prigozhin amesema vita ya kuivamia Ukraine was unnecessary.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kwenda Africa pia,ninajiuliza sasa kwa nini bado yupo Africa.Si aifute kabisa Wagner?Prigozhin amesema vita ya kuivamia Ukraine was unnecessary.
Too late.....kwa sasa aendelee tu kusajili 'cannon fodders' kwa jeshi la Urusi.Prigozhin amesema vita ya kuivamia Ukraine was unnecessary.
Yupo Africa kibiashara zaidi, anavuna rasilimali kuanzia Mali, CAR mpaka Sudan.Hata kwenda Africa pia,ninajiuliza sasa kwa nini bado yupo Africa.Si aifute kabisa Wagner?
Sad for Africa.Yupo Africa kibiashara zaidi, anavuna rasilimali kuanzia Mali, CAR mpaka Sudan.
Yupo Africa kibiashara zaidi, anavuna rasilimali kuanzia Mali, CAR mpaka Sudan.
Why?.....nchi ya Mali imewatimua majeshi ya EU hasa France iliyokuwa inaongoza Vita na makundi ya Jihad na kuwapa hiyo tenda Wagner sababu France wanaendeleza sera za kibeberu kwa nchi huru za kanda hiyo.Sad for Africa.
Anavuna rasilimali na kuziuza kwenye 'black market' (Kama malipo), tena anazisaidia nchi hizo kukwepa vikwazo vya silaha vya UN.Anavuna au serikali za nchi husika zimewakaribisha? Tena zinawalipa
Sasa Wagner nao si.wanavuna dhahabu tu pale,Hao Mali walitakiwa kuwafukuza France na kubaki wao Mali kama nchi.Why?.....nchi ya Mali imewatimua majeshi ya EU hasa France iliyokuwa inaongoza Vita na makundi ya Jihad na kuwapa hiyo tenda Wagner sababu France wanaendeleza sera za kibeberu kwa nchi huru za kanda hiyo.
Jihadist wanasumbua sana ukanda ule, baada ya France kutoka bado wasingeweza wao pekee kuziba pengo (bado hawana vifaa na uzoefu kuwakabili) , ndio tenda wakapewa Wagner.Sasa Wagner nao si.wanavuna dhahabu tu pale,Hao Mali walitakiwa kuwafukuza France na kubaki wao Mali kama nchi.
Anavuna rasilimali na kuziuza kwenye 'black market' (Kama malipo), tena anazisaidia nchi hizo kukwepa vikwazo vya silaha vya UN.
Anavuna rasilimali na kuziuza kwenye 'black market' (Kama malipo), tena anazisaidia nchi hizo kukwepa vikwazo vya silaha vya UN.