green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Marekani kaanza drill za kutoroka mashambulizi ya Russia au Iran..Hizi ndege zilipelekwa Venezuela pale marekani alipoa kama maji ya mtungini
THAAD hatuitaki maana imeshindwa kuzuia nyumba ya Netanyahu isishambuliwe hata na drone 1 tu kutoka kwa vijana wa Houth (Yemen)Kesho mmarekani ataleta B-52 bombers pale kigamboni na kufunga MIFUMO ya THAAD Nairobi. UBAYA Ubwela
Marekani kachelewa sana kujua kama dunia imebadilikaMarekani kaanza drill za kutoroka mashambulizi ya Russia au Iran..
🚨Update: US Military held an emergency senior leader evacuation drill last night to prepare for a possible war with Russia and Iran!! Blackhawks were seen flying in and out of DC!!
Nadhani ni muda mwafaka watumwe wale wazee wa Dasalama wakaishauri Marekani istaafu sasa kwa amani, ikajilie kiinua-mgongo chake ilichojilimbikizia kimabavu na mbavu tangu 1776.Marekani kachelewa sana kujua kama dunia imebadilika
Iran atatest hiyo THAAD muda sio mrefuKesho mmarekani ataleta B-52 bombers pale kigamboni na kufunga MIFUMO ya THAAD Nairobi. UBAYA Ubwela
Russia (USSR) pamoja na kuwa na mshikamano na mataifa mengi maskini ya Afrika kwa miaka mingi, hakuna nchi ya Afrika iliyowahi kunufaika na uhusiano huo kiasi cha kuondokana na umaskini. Mwisho wake na Urusi yenyewe ikaashia kufilisika na kwenda kuwapigia magoti mahasimu wake. Wakamchangia, ndiyo akanyanyuka.Ni kuwatafutia S.Africa matatizo tu.Kuanzisha ugomvi na dude kubwa kama USA bila mipango na nguvu-kamili nao ni ujinga mtupu!
Ukibanwa kidogo lazima utoe mlioMbwembwe tu
Nani asiyejua kama USA ni mwizi na mnyonyaji mkubwa dunianiRussia (USSR) pamoja na kuwa na mshikamano na mataifa mengi maskini ya Afrika kwa miaka mingi, hakuna nchi ya Afrika iliyowahi kunufaika na uhusiano huo kiasi cha kuondokana na umaskini. Mwisho wake na Urusi yenyewe ikaashia kufilisika na kwenda kuwapigia magoti mahasimu wake. Wakamchangia, ndiyo akanyanyuka.
GDP ya Urusi ni dola trillion 2, ya USA ni 24, ya China ni 13. Urusi hata angetamani kusaidia, hana huo uwezo kwani mapato yake bado ni kidogo sana ukilinganisha na mataifa mengine makubwa kama USA, Japan, China, na mataifa ya Ulaya Magharibi kama Germany.
Maskini hata mshikamane vipi, mtazidi kuimarisha umaskini wenu. Mataifa wajanja, kama South Korea, Hong Kong, Singapore, Taiwan, Saudi Arabia, Qatar, UAE, yaliamua kushikamana na USA, leo hayashikiki, wakati kule kwa Un Jong, hata TV kuwa nayo ni shida.
Afrika Kusini, isipoendesha siasa zake kwa ujanja na tahadhari, kuna siku inaqeza kugeuka na kuwa mfano mzuri kwa mataifa yaliyofika hatua fulani halafu yakadondoka mpaka jalalani.
Mkuu, kama hilo shirikisho la BRICS halina athari yoyote dhidi ya Marekani, kwa nini huyo nduguyo anahaha na kuweweseka BIG TIME kila asikiapo majina ya Urusi na China yakitajwa kwenye sentensi moja?Russia (USSR) pamoja na kuwa na mshikamano na mataifa mengi maskini ya Afrika kwa miaka mingi, hakuna nchi ya Afrika iliyowahi kunufaika na uhusiano huo kiasi cha kuondokana na umaskini. Mwisho wake na Urusi yenyewe ikaashia kufilisika na kwenda kuwapigia magoti mahasimu wake. Wakamchangia, ndiyo akanyanyuka.
GDP ya Urusi ni dola trillion 2, ya USA ni 24, ya China ni 13. Urusi hata angetamani kusaidia, hana huo uwezo kwani mapato yake bado ni kidogo sana ukilinganisha na mataifa mengine makubwa kama USA, Japan, China, na mataifa ya Ulaya Magharibi kama Germany.
Maskini hata mshikamane vipi, mtazidi kuimarisha umaskini wenu. Mataifa wajanja, kama South Korea, Hong Kong, Singapore, Taiwan, Saudi Arabia, Qatar, UAE, yaliamua kushikamana na USA, leo hayashikiki, wakati kule kwa Un Jong, hata TV kuwa nayo ni shida.
Afrika Kusini, isipoendesha siasa zake kwa ujanja na tahadhari, kuna siku inaqeza kugeuka na kuwa mfano mzuri kwa mataifa yaliyofika hatua fulani halafu yakadondoka mpaka jalalani.
Amarikaa😁Marekani kaanza drill za kutoroka mashambulizi ya Russia au Iran..
🚨Update: US Military held an emergency senior leader evacuation drill last night to prepare for a possible war with Russia and Iran!! Blackhawks were seen flying in and out of DC!!
Tanzania ni mshirika mkubwa wa China kuliko USA.Kesho mmarekani ataleta B-52 bombers pale kigamboni na kufunga MIFUMO ya THAAD Nairobi. UBAYA Ubwela
Hivi wewe unaweza kuwacheka warusi?🤣🤣yani ni vichekesho vitupu