Urusi yapeleka Tu 160 (Black Jack) Strategic Nuclear Bomber Sauth Africa

Urusi yapeleka Tu 160 (Black Jack) Strategic Nuclear Bomber Sauth Africa

Hivi wewe unaweza kuwacheka warusi?
Unapata wapi ujasiri wa kuwacheka majenerali na majasusi wa warusi wewe Kwa kupeleka ndege hiyo SA?
Unajua mipango Yao?
Nikushauri kitu ndugu yangu sio Kila kitu unachangia vitu vingine vionesha jinsi ulivyo na upunguani wa akili.
Urusi imepigana vita nyingi sana na kubwa hapa duniani,Ina vyuo vikuu vingi sana vya kijeshi duniani.
Kwa kifupi Urusi ni taifa la kivita.
Maisha ya Urusi ni vita. Wewe una Nini ujuacho kuhusu mikakati ya jeshi la Urusi.
Ficha ujinga wako ndugu yangu.
Taifa la kivita mwaka wa tatu bado wanahangaika na Ukraine? Hata mimi sikutegemea mpaka sasa Ukraine itakuwa haija surrender.
 

Attachments

  • IMG_20241030_184605.jpg
    IMG_20241030_184605.jpg
    12.5 KB · Views: 4
Nadhani ni muda mwafaka watumwe wale wazee wa Dasalama wakaishauri Marekani istaafu sasa kwa amani, ikajilie kiinua-mgongo chake ilichojilimbikizia kimabavu na mbavu tangu 1776.

Vinginevyo, sidhani itapata japo nafasi ya kufurahia dakika zake hizi za jioni. Bye bye America!
Kabisa anatakiwa akashauriwe laa sivyooo
 
Russia (USSR) pamoja na kuwa na mshikamano na mataifa mengi maskini ya Afrika kwa miaka mingi, hakuna nchi ya Afrika iliyowahi kunufaika na uhusiano huo kiasi cha kuondokana na umaskini. Mwisho wake na Urusi yenyewe ikaashia kufilisika na kwenda kuwapigia magoti mahasimu wake. Wakamchangia, ndiyo akanyanyuka.

GDP ya Urusi ni dola trillion 2, ya USA ni 24, ya China ni 13. Urusi hata angetamani kusaidia, hana huo uwezo kwani mapato yake bado ni kidogo sana ukilinganisha na mataifa mengine makubwa kama USA, Japan, China, na mataifa ya Ulaya Magharibi kama Germany.

Maskini hata mshikamane vipi, mtazidi kuimarisha umaskini wenu. Mataifa wajanja, kama South Korea, Hong Kong, Singapore, Taiwan, Saudi Arabia, Qatar, UAE, yaliamua kushikamana na USA, leo hayashikiki, wakati kule kwa Un Jong, hata TV kuwa nayo ni shida.

Afrika Kusini, isipoendesha siasa zake kwa ujanja na tahadhari, kuna siku inaqeza kugeuka na kuwa mfano mzuri kwa mataifa yaliyofika hatua fulani halafu yakadondoka mpaka jalalani.
Mchafuzi ushachafua tayar hongera
 
Nadhani ni muda mwafaka watumwe wale wazee wa Dasalama wakaishauri Marekani istaafu sasa kwa amani, ikajilie kiinua-mgongo chake ilichojilimbikizia kimabavu na mbavu tangu 1776.

Vinginevyo, sidhani itapata japo nafasi ya kufurahia dakika zake hizi za jioni. Bye bye America!
UTASUBIRI SANA ENDELEA KULISHWA PROPAGANDA NA HAO URUSI
 
Hivi wewe unaweza kuwacheka warusi?
Unapata wapi ujasiri wa kuwacheka majenerali na majasusi wa warusi wewe Kwa kupeleka ndege hiyo SA?
Unajua mipango Yao?
Nikushauri kitu ndugu yangu sio Kila kitu unachangia vitu vingine vionesha jinsi ulivyo na upunguani wa akili.
Urusi imepigana vita nyingi sana na kubwa hapa duniani,Ina vyuo vikuu vingi sana vya kijeshi duniani.
Kwa kifupi Urusi ni taifa la kivita.
Maisha ya Urusi ni vita. Wewe una Nini ujuacho kuhusu mikakati ya jeshi la Urusi.
Ficha ujinga wako ndugu yangu.
Kwahyo ujinga wangu ndio umekufanya uwe kilaza kiasi hiki? Yaani Urusi kushinda vita kwa msaada wa USA ndio unaliona taifa la vita!!, hivi kama USA ingekuwa upande wa ujerumani leo hii Urusi ingekuwa katika hali ganii? Hilo hulifikirii, Kama huna jambo la kupost Bora ukae kimya kuliko kujidhalilisha hapaa
 
Back
Top Bottom