Urusi yapeleka Tu 160 (Black Jack) Strategic Nuclear Bomber Sauth Africa

Taifa la kivita mwaka wa tatu bado wanahangaika na Ukraine? Hata mimi sikutegemea mpaka sasa Ukraine itakuwa haija surrender.
 
Kabisa anatakiwa akashauriwe laa sivyooo
 
Mchafuzi ushachafua tayar hongera
 
UTASUBIRI SANA ENDELEA KULISHWA PROPAGANDA NA HAO URUSI
 
Kwahyo ujinga wangu ndio umekufanya uwe kilaza kiasi hiki? Yaani Urusi kushinda vita kwa msaada wa USA ndio unaliona taifa la vita!!, hivi kama USA ingekuwa upande wa ujerumani leo hii Urusi ingekuwa katika hali ganii? Hilo hulifikirii, Kama huna jambo la kupost Bora ukae kimya kuliko kujidhalilisha hapaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…