Urusi yapiga bomu ofisi za ubalozi wa China, Ukraine

Urusi yapiga bomu ofisi za ubalozi wa China, Ukraine

Vita zote za Urusi ni kuharibu haribu tu
 
Hizo ni Pro West propoganda bada ya kipigo cha aibu waliopata si kidogo silaha za Nato ,,zimekuwa kama masanamu yale kwenye maduka ya nguo Mrusi anaisambaratisha Odisa na Maykolaiv kama kawaida hakuna silaha ya Nato inauwezo wa kuzuia Missiles za Mrusi.
 
Ina maana Russia wanafurumusha makombora bila kujua wanalenga nini na wapi?
Urusi ni nchi ya vichaaa, kuanzia wafuasi wa Putin hapa Tanzania na huko mawinguni ukiwafuatilia utaona wana shida ya akili.
 
Kwani huyo mchina kasamaje [emoji23]?
 
Back
Top Bottom