Urusi yasema "Full scale war" ndio njia sahihi ya kutafuta amani Middle East

Urusi yasema "Full scale war" ndio njia sahihi ya kutafuta amani Middle East

Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...

JUST IN: 🇷🇺 Russia says a full-scale war is the only way for peace in the Middle East and blames the United States

"The knot is tightening in the Middle East. Sorry for the innocent lives lost. They are but hostages of a disgusting state: the USA.

Meanwhile, it's clear to everyone that a full-scale war is the only way to a shaky peace in the region."

View attachment 3058412
Putin, Anataka kuuza silaha tu. Kashaona ni fursa ya kupiga hela. Hata usa anapiga hela mno kwa kuuza silaha. Vita ni biashara kubwa kwa wauza silaha.
Putin naona kama anataka kuwaingiza mkenge hawa Waarabu.

Iran haiko stable katika kuingia Vitani na nchi ya Israel, itapigwa kwa sababu ndani ya nchi ya Iran kwenyewe Kuna Mgogoro unafukuta ndani kwa ndani.
Wananchi wengi sana wa Iran hawaukubali Utawala uliopo katika nchi yao kutokana na Utawala huo kukumbatia misimamo mikali zaidi ya dini ya Kiislamu.
Israel itatumia udhaifu huo wa kuwepo kwa Mgogoro wa ndani katika kuipiga vita Iran na kushinda.
 
Putin naona kama anataka kuwaingiza mkenge hawa Waarabu.

Iran hauko stable katika kuingia Vitani na nchi ya Israel, itapigwa kwa sababu ndani ya nchi ya Iran kwenyewe Kuna Mgogoro unafukuta ndani kwa ndani.
Wananchi wengi sana wa Iran hawaukubali Utawala uliopo katika nchi yao kutokana na Utawala huo kukumbatia misimamo mikali zaidi ya dini ya Kiislamu.
Israel itatumia udhaifu huo wa kuwepo kwa Mgogoro wa ndani katika kuipiga vita Iran na kushinda.
Wana JF wanamsemo wao, Myahudi hacheki na Kima.

Watu wanapigika vibaya mno 🤣
 
Kuna wakati vita kamili huleta heshima na kulazimisha gaidi kuacha ugaidi wake.Hata hapa Tz yafaa kufanya maandamano kupinga Hali ngumu ya maisha ya watz.Bila maandamano mtakamuliwa Kodi za hovyo miaka yenu yote.
 
Kipindi cha Six days 1969 Rusia alisaidia nchi za kiarabu lakini bado zilichapika, kila siku ndege za Israel zinaingia na kutoka Syria na huku kuna jeshi la Rusia na anti-missile zipo S-300, S-400, kwa nini asitungue hizo ndege za Israel zinazoingia Syria? Russia anaijua Israel nje na ndani, anajua Intelligencia ya Mossad, pia inner circle ya Putin wamejaa Russians wenye asili ya Israel, baadhi ya wataalamu kwenye vinu ya nyukilia huko Rusia ni warusia wenye asili ya Israel, kiongozi wa wegner alikuwa ni Mrusi mwenye asili ya Israel. Hayo maneno Rusia anayatamka ili kumzuga Iran na mataifa ya kiarabu waone Rusia yuko karibu nao, kama anaweza atungue ndege za Israel pale Syria. Linapokuja suala la kuhatarisha usalama wa Israel, Israel anakuwa mbaya kuliko hata USA na nchi za Ulaya.
Usiwe mtu wa kukariri kila kitu, elimika kijana
 
Yeye ka nchi kadogo kanamtoa jasho.....
1. USA alitolewa jasho la damu na wakulima wa jembe la mkono wa Vietnam

2. USA alitolewa jasho kwa miaka 20 mfululizo na wachunga mbuzi na kondoo wa Kitaliban. Yaani baada ya 20yrs mambo yakarudi square one!

Vita siyo nzuri, kwenye vita hakuna mshindi, tuombee amani daima
 
Waamini ⭐🌙 hawana akili. Huu ushauri wa kafiri Putin watauchukua na matokeo yake yatakuwa yale free palestine
Nahisi hata Hamas tukio la October 7 waliambiwa na Putin. Kavamie Israel😀😀😀😀
Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...

JUST IN: 🇷🇺 Russia says a full-scale war is the only way for peace in the Middle East and blames the United States

"The knot is tightening in the Middle East. Sorry for the innocent lives lost. They are but hostages of a disgusting state: the USA.

Meanwhile, it's clear to everyone that a full-scale war is the only way to a shaky peace in the region."

View attachment 3058412
 
1. USA alitolewa jasho la damu na wakulima wa jembe la mkono wa Vietnam

2. USA alitolewa jasho kwa miaka 20 mfululizo na wachunga mbuzi na kondoo wa Kitaliban. Yaani baada ya 20yrs mambo yakarudi square one!

Vita siyo nzuri, kwenye vita hakuna mshindi, tuombee amani daima
Hujui akili ya bepari. Bepari kwenye sehemu ambapo hakuna maokoto ni bora apate aibu ya kushindwa vita kuliko kuchoma hela. USA hapigani vita vya ufahari hata siku moja. Hiyo miaka 20 ameshaiba mali nyingi sana mkija kushituka mnabaki ameshindwa vita kumbe kapiga mali zake kasepa kaona hakuna tena cha kuchukua
Uchumi wa USA kila siku unaimarika tu mpk anawawekea wenzake vikwazo. Hiyo jeuri anaipata wapi?
 
ush
1. USA alitolewa jasho la damu na wakulima wa jembe la mkono wa Vietnam

2. USA alitolewa jasho kwa miaka 20 mfululizo na wachunga mbuzi na kondoo wa Kitaliban. Yaani baada ya 20yrs mambo yakarudi square one!

Vita siyo nzuri, kwenye vita hakuna mshindi, tuombee amani daima
indi upo bwana, kote huko USA alishinda kilichobaki ni kuvizia tu. Ukianza kujilipu na mabomu ya kujifunga kiunoni ni kuwa umeshindwa vita
 
Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...
PUTIN ameongea lini maneno hayo?
umemchanganya PUTIN na MEDVEDEV
 
Kipindi cha Six days 1969 Rusia alisaidia nchi za kiarabu lakini bado zilichapika, kila siku ndege za Israel zinaingia na kutoka Syria na huku kuna jeshi la Rusia na anti-missile zipo S-300, S-400, kwa nini asitungue hizo ndege za Israel zinazoingia Syria? Russia anaijua Israel nje na ndani, anajua Intelligencia ya Mossad, pia inner circle ya Putin wamejaa Russians wenye asili ya Israel, baadhi ya wataalamu kwenye vinu ya nyukilia huko Rusia ni warusia wenye asili ya Israel, kiongozi wa wegner alikuwa ni Mrusi mwenye asili ya Israel. Hayo maneno Rusia anayatamka ili kumzuga Iran na mataifa ya kiarabu waone Rusia yuko karibu nao, kama anaweza atungue ndege za Israel pale Syria. Linapokuja suala la kuhatarisha usalama wa Israel, Israel anakuwa mbaya kuliko hata USA na nchi za Ulaya.
1969; s300, s400 una uhakika hizi silaha zilikuwepo au inapanua mdomo kama mbweha tu?
 
Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...

JUST IN: 🇷🇺 Russia says a full-scale war is the only way for peace in the Middle East and blames the United States

"The knot is tightening in the Middle East. Sorry for the innocent lives lost. They are but hostages of a disgusting state: the USA.

Meanwhile, it's clear to everyone that a full-scale war is the only way to a shaky peace in the region."

View attachment 3058412
Huyu makalio anawaza bunduki tu.
 
Back
Top Bottom