blackwater
Member
- Mar 4, 2024
- 47
- 42
Zipigwe waheshimiane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...
JUST IN: 🇷🇺 Russia says a full-scale war is the only way for peace in the Middle East and blames the United States
"The knot is tightening in the Middle East. Sorry for the innocent lives lost. They are but hostages of a disgusting state: the USA.
Meanwhile, it's clear to everyone that a full-scale war is the only way to a shaky peace in the region."
View attachment 3058412
Putin naona kama anataka kuwaingiza mkenge hawa Waarabu.Putin, Anataka kuuza silaha tu. Kashaona ni fursa ya kupiga hela. Hata usa anapiga hela mno kwa kuuza silaha. Vita ni biashara kubwa kwa wauza silaha.
Wana JF wanamsemo wao, Myahudi hacheki na Kima.Putin naona kama anataka kuwaingiza mkenge hawa Waarabu.
Iran hauko stable katika kuingia Vitani na nchi ya Israel, itapigwa kwa sababu ndani ya nchi ya Iran kwenyewe Kuna Mgogoro unafukuta ndani kwa ndani.
Wananchi wengi sana wa Iran hawaukubali Utawala uliopo katika nchi yao kutokana na Utawala huo kukumbatia misimamo mikali zaidi ya dini ya Kiislamu.
Israel itatumia udhaifu huo wa kuwepo kwa Mgogoro wa ndani katika kuipiga vita Iran na kushinda.
Usiwe mtu wa kukariri kila kitu, elimika kijanaKipindi cha Six days 1969 Rusia alisaidia nchi za kiarabu lakini bado zilichapika, kila siku ndege za Israel zinaingia na kutoka Syria na huku kuna jeshi la Rusia na anti-missile zipo S-300, S-400, kwa nini asitungue hizo ndege za Israel zinazoingia Syria? Russia anaijua Israel nje na ndani, anajua Intelligencia ya Mossad, pia inner circle ya Putin wamejaa Russians wenye asili ya Israel, baadhi ya wataalamu kwenye vinu ya nyukilia huko Rusia ni warusia wenye asili ya Israel, kiongozi wa wegner alikuwa ni Mrusi mwenye asili ya Israel. Hayo maneno Rusia anayatamka ili kumzuga Iran na mataifa ya kiarabu waone Rusia yuko karibu nao, kama anaweza atungue ndege za Israel pale Syria. Linapokuja suala la kuhatarisha usalama wa Israel, Israel anakuwa mbaya kuliko hata USA na nchi za Ulaya.
1. USA alitolewa jasho la damu na wakulima wa jembe la mkono wa VietnamYeye ka nchi kadogo kanamtoa jasho.....
Nipo hapa mkuu,wewe nitagi tuPutin hayumo humu JF tum_tag?
Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...
JUST IN: 🇷🇺 Russia says a full-scale war is the only way for peace in the Middle East and blames the United States
"The knot is tightening in the Middle East. Sorry for the innocent lives lost. They are but hostages of a disgusting state: the USA.
Meanwhile, it's clear to everyone that a full-scale war is the only way to a shaky peace in the region."
View attachment 3058412
Hujui akili ya bepari. Bepari kwenye sehemu ambapo hakuna maokoto ni bora apate aibu ya kushindwa vita kuliko kuchoma hela. USA hapigani vita vya ufahari hata siku moja. Hiyo miaka 20 ameshaiba mali nyingi sana mkija kushituka mnabaki ameshindwa vita kumbe kapiga mali zake kasepa kaona hakuna tena cha kuchukua1. USA alitolewa jasho la damu na wakulima wa jembe la mkono wa Vietnam
2. USA alitolewa jasho kwa miaka 20 mfululizo na wachunga mbuzi na kondoo wa Kitaliban. Yaani baada ya 20yrs mambo yakarudi square one!
Vita siyo nzuri, kwenye vita hakuna mshindi, tuombee amani daima
Yeye ka nchi kadogo kanamtoa jasho.....
Russia anapigana na dunia, na bado anawatandika.Yeye ka nchi kadogo kanamtoa jasho.....
Kuna watu humu wanataka mashoga yaachwe tu yatambe yaan kipigwe tu ndio dawanaunga mkono hili tuone...kufuta ulimwengu wa mashoga duniani ni jambo la lazima na si la kulemba lemba
Kuna watu humu wanataka mashoga yaachwe tu yatambe yaan kipigwe tu ndio dawanaunga mkono hili tuone...kufuta ulimwengu wa mashoga duniani ni jambo la lazima na si la kulemba lemba
indi upo bwana, kote huko USA alishinda kilichobaki ni kuvizia tu. Ukianza kujilipu na mabomu ya kujifunga kiunoni ni kuwa umeshindwa vita1. USA alitolewa jasho la damu na wakulima wa jembe la mkono wa Vietnam
2. USA alitolewa jasho kwa miaka 20 mfululizo na wachunga mbuzi na kondoo wa Kitaliban. Yaani baada ya 20yrs mambo yakarudi square one!
Vita siyo nzuri, kwenye vita hakuna mshindi, tuombee amani daima
PUTIN ameongea lini maneno hayo?Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...
wewe jamaa wewe, NATO ipo UkrainYeye ka nchi kadogo kanamtoa jasho.....
1969; s300, s400 una uhakika hizi silaha zilikuwepo au inapanua mdomo kama mbweha tu?Kipindi cha Six days 1969 Rusia alisaidia nchi za kiarabu lakini bado zilichapika, kila siku ndege za Israel zinaingia na kutoka Syria na huku kuna jeshi la Rusia na anti-missile zipo S-300, S-400, kwa nini asitungue hizo ndege za Israel zinazoingia Syria? Russia anaijua Israel nje na ndani, anajua Intelligencia ya Mossad, pia inner circle ya Putin wamejaa Russians wenye asili ya Israel, baadhi ya wataalamu kwenye vinu ya nyukilia huko Rusia ni warusia wenye asili ya Israel, kiongozi wa wegner alikuwa ni Mrusi mwenye asili ya Israel. Hayo maneno Rusia anayatamka ili kumzuga Iran na mataifa ya kiarabu waone Rusia yuko karibu nao, kama anaweza atungue ndege za Israel pale Syria. Linapokuja suala la kuhatarisha usalama wa Israel, Israel anakuwa mbaya kuliko hata USA na nchi za Ulaya.
Kama vile wanaotaka kupakatwa na Ibrahim,kama Lazaro.Ila wasaka bikra mna kazi sana
Huyu makalio anawaza bunduki tu.Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...
JUST IN: 🇷🇺 Russia says a full-scale war is the only way for peace in the Middle East and blames the United States
"The knot is tightening in the Middle East. Sorry for the innocent lives lost. They are but hostages of a disgusting state: the USA.
Meanwhile, it's clear to everyone that a full-scale war is the only way to a shaky peace in the region."
View attachment 3058412
Ukraine ni Gaza namba mbili.Yeye ka nchi kadogo kanamtoa jasho.....