Urusi yasema "Full scale war" ndio njia sahihi ya kutafuta amani Middle East

Urusi yasema "Full scale war" ndio njia sahihi ya kutafuta amani Middle East

Kapigana six day war na mataifa sita ila anapigana one year war dhidi ya wilaya
Huko chachi mnamezeshwa sana propaganda stukeni
Mwisho linapokuja suala la israhell wazungu wote lao hua moja na waarabu wengi hawaaminiki wanasimama na wazayuni
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Waeleweshe hawa wanamgambo wa kiyahudi toka kwa
 
anataka wafanane, wote wawe na vita kama na yeye alivyo na ukraine. atawaponza wenzake, tena sana.
⚠️BREAKING NEWS⚠️

Israel and the USA are now losing their respect due to their hegemonic designs and selfish interests.
 

Attachments

  • IMG_20240801_222518.jpg
    IMG_20240801_222518.jpg
    119.3 KB · Views: 1
Kipindi cha Six days 1969 Rusia alisaidia nchi za kiarabu lakini bado zilichapika, kila siku ndege za Israel zinaingia na kutoka Syria na huku kuna jeshi la Rusia na anti-missile zipo S-300, S-400, kwa nini asitungue hizo ndege za Israel zinazoingia Syria? Russia anaijua Israel nje na ndani, anajua Intelligencia ya Mossad, pia inner circle ya Putin wamejaa Russians wenye asili ya Israel, baadhi ya wataalamu kwenye vinu ya nyukilia huko Rusia ni warusia wenye asili ya Israel, kiongozi wa wegner alikuwa ni Mrusi mwenye asili ya Israel. Hayo maneno Rusia anayatamka ili kumzuga Iran na mataifa ya kiarabu waone Rusia yuko karibu nao, kama anaweza atungue ndege za Israel pale Syria. Linapokuja suala la kuhatarisha usalama wa Israel, Israel anakuwa mbaya kuliko hata USA na nchi za Ulaya.
Six days war ilikuwa 1967......s-300 imeingia in service mwaka 1978.... Tupige chai taratibu mkuu..usitufanyie ivyo hata kama hatujui.
 
Huu uongo uncle umeutoa wapi!?
Ukraine inazidi kupoteza askari kila leo na hapo ina usaidizi wa NATO.
Sehemu kubwa ya Ukraine imemegwa,na Russia inaonekana hana haraka na kuimaliza hii vita.
Hana haraka? Saa 72 tokea 2022 hazijaisha tuu?

Yes Ukraine nao wanakufa lakini ni noble death,idadi ya mageneral wa Urrusi waliouawa inatisha.
 
Hana haraka? Saa 72 tokea 2022 hazijaisha tuu?

Yes Ukraine nao wanakufa lakini ni noble death,idadi ya mageneral wa Urrusi waliouawa inatisha.
Yeah hana haraka ,kama angekua na haraka angeshusha vyuma Ukraine pale Kiev vizito bas.
Maana jeshi la Ukraine liko dismantle.
 
Back
Top Bottom