Uliona wapi SMO inayopoteza more than 0.5 million soldiers.Russia bado haijaingia vitani ipo kwenye operation maalum ya kusaka na kuyaua magaidi ya Nazi...kama op kimbunga
Huu uongo uncle umeutoa wapi!?Uliona wapi SMO inayopoteza more than 0.5 million soldiers.
Hana mbinu na Ukraine ni wabunifu sana wanawatesa Urusi na simple drones weapons.
Labda kuishinda nanjaaPutin naona kama anataka kuwaingiza mkenge hawa Waarabu.
Iran haiko stable katika kuingia Vitani na nchi ya Israel, itapigwa kwa sababu ndani ya nchi ya Iran kwenyewe Kuna Mgogoro unafukuta ndani kwa ndani.
Wananchi wengi sana wa Iran hawaukubali Utawala uliopo katika nchi yao kutokana na Utawala huo kukumbatia misimamo mikali zaidi ya dini ya Kiislamu.
Israel itatumia udhaifu huo wa kuwepo kwa Mgogoro wa ndani katika kuipiga vita Iran na kushinda.
Ni jambo la kawaida kabisa kwa Mtawala yoyote yule mwenye itikadi za Ukomunisti au Ujamaa.Huyu makalio anawaza bunduki tu.
LGBTQ+ muna upeo mdogo sana wakupembua majamboWaamini ⭐🌙 hawana akili. Huu ushauri wa kafiri Putin watauchukua na matokeo yake yatakuwa yale free palestine
Nahisi hata Hamas tukio la October 7 waliambiwa na Putin. Kavamie Israel😀😀😀😀
Bado mnajadili mambo yalowazidi uelewaHujui akili ya bepari. Bepari kwenye sehemu ambapo hakuna maokoto ni bora apate aibu ya kushindwa vita kuliko kuchoma hela. USA hapigani vita vya ufahari hata siku moja. Hiyo miaka 20 ameshaiba mali nyingi sana mkija kushituka mnabaki ameshindwa vita kumbe kapiga mali zake kasepa kaona hakuna tena cha kuchukua
Uchumi wa USA kila siku unaimarika tu mpk anawawekea wenzake vikwazo. Hiyo jeuri anaipata wapi?
anataka wafanane, wote wawe na vita kama na yeye alivyo na ukraine. atawaponza wenzake, tena sana.Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...
JUST IN: 🇷🇺 Russia says a full-scale war is the only way for peace in the Middle East and blames the United States
"The knot is tightening in the Middle East. Sorry for the innocent lives lost. They are but hostages of a disgusting state: the USA.
Meanwhile, it's clear to everyone that a full-scale war is the only way to a shaky peace in the region."
View attachment 3058412
Hii sasa Hai solve kila kitu.Ni jambo la kawaida kabisa kwa Mtawala yoyote yule mwenye itikadi za Ukomunisti au Ujamaa.
Watawala wenye itikadi za Ukomunisti/Ujamaa wanachoweza kufanya wao ni Siasa za Bunduki ('Gun Politics.')
Kama wasivyoweza mabepari?Ni jambo la kawaida kabisa kwa Mtawala yoyote yule mwenye itikadi za Ukomunisti au Ujamaa.
Watawala wenye itikadi za Ukomunisti/Ujamaa wanachoweza kufanya wao ni Siasa za Bunduki ('Gun Politics.') tu, hawawezi kufanya Siasa za Nguvu ya Hoja.
Yapp..!!Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...
JUST IN: 🇷🇺 Russia says a full-scale war is the only way for peace in the Middle East and blames the United States
"The knot is tightening in the Middle East. Sorry for the innocent lives lost. They are but hostages of a disgusting state: the USA.
Meanwhile, it's clear to everyone that a full-scale war is the only way to a shaky peace in the region."
View attachment 3058412
Ukraine ni Gaza namba mbili.
Ukraine ishateketea pale maana ardhi kubwa imetekwa na Russia.
| Amount of Ukrainian territory under Russian control during the conflict | |||
| Date | Percentage of Ukrainian territory (%) | Area | Source |
| 20 February 2019 | 7.3% | 44,000 km2 (17,000 sq mi) | Petro Poroshenko, U.N.[22] |
| 29 December 2021 | 7.12% | 43,133 km2 (16,654 sq mi) | CIA World Factbook[23] |
| 22 February 2022 | 7.0% | 42,000 km2 (16,000 sq mi) | CNN[7] |
| 28 February 2022 | 20% | 119,000 km2 (46,000 sq mi) | CNN[7] |
| 22 March 2022 | 27% | 163,000 km2 (63,000 sq mi) | CNN[7] |
| 8 April 2022 | 19% | 114,000 km2 (44,000 sq mi) | CNN[7] |
| 2 June 2022 | 20% | 119,000 km2 (46,000 sq mi) | Volodymyr Zelenskyy[24] |
| 31 August 2022 | 21% | 125,000 km2 (48,000 sq mi) | CNN[7] |
| 11 September 2022 | 19% | 116,000 km2 (45,000 sq mi) | CNN[7] |
| 26 September 2022 | 19% | 116,000 km2 (45,000 sq mi) | CNN[7] |
| 11 November 2022 | 20% | 119,000 km2 (46,000 sq mi) | CNN[25] |
| 14 November 2022 | 18% | 109,000 km2 (42,000 sq mi) | NY Times[26] |
| 23 February 2023 | 18% | 109,000 km2 (42,000 sq mi) | Belfer center[27] |
| 25 September 2023 | 18% (0.1% points more than in December 2022) | ~109,000 km2 (42,000 sq mi) (518 km2 more than in December 2022) | NY Times[10] |
| 20 May 2024 | 18% | ~109,000 km2 (42,000 sq mi) | Center for Preventive Action[28] |
Afghanistan alifuata mafuta na gas Kama ambavyo USSR aliyafuata 1970s-80s,alichimba pipa ngapi!?Hujui akili ya bepari. Bepari kwenye sehemu ambapo hakuna maokoto ni bora apate aibu ya kushindwa vita kuliko kuchoma hela. USA hapigani vita vya ufahari hata siku moja. Hiyo miaka 20 ameshaiba mali nyingi sana mkija kushituka mnabaki ameshindwa vita kumbe kapiga mali zake kasepa kaona hakuna tena cha kuchukua
Uchumi wa USA kila siku unaimarika tu mpk anawawekea wenzake vikwazo. Hiyo jeuri anaipata wapi?
Kharkiv na Zaporizhia vipi bendera zimechomolewa za Russia??
Amount of Ukrainian territory under Russian control during the conflict Date Percentage of
Ukrainian territory (%)Area Source 20 February 2019 7.3% 44,000 km2 (17,000 sq mi) Petro Poroshenko, U.N.[22] 29 December 2021 7.12% 43,133 km2 (16,654 sq mi) CIA World Factbook[23] 22 February 2022 7.0% 42,000 km2 (16,000 sq mi) CNN[7] 28 February 2022 20% 119,000 km2 (46,000 sq mi) CNN[7] 22 March 2022 27% 163,000 km2 (63,000 sq mi) CNN[7] 8 April 2022 19% 114,000 km2 (44,000 sq mi) CNN[7] 2 June 2022 20% 119,000 km2 (46,000 sq mi) Volodymyr Zelenskyy[24] 31 August 2022 21% 125,000 km2 (48,000 sq mi) CNN[7] 11 September 2022 19% 116,000 km2 (45,000 sq mi) CNN[7] 26 September 2022 19% 116,000 km2 (45,000 sq mi) CNN[7] 11 November 2022 20% 119,000 km2 (46,000 sq mi) CNN[25] 14 November 2022 18% 109,000 km2 (42,000 sq mi) NY Times[26] 23 February 2023 18% 109,000 km2 (42,000 sq mi) Belfer center[27] 25 September 2023 18%
(0.1% points more than
in December 2022)~109,000 km2 (42,000 sq mi)
(518 km2 more than
in December 2022)NY Times[10] 20 May 2024 18% ~109,000 km2 (42,000 sq mi) Center for Preventive Action[28]
Huyu jamaa anataka kugawa nguvu ya marekan ili iende Israel upunguze kwa Ukraine then utasikia mchina nae ataichukua Taiwan soon kikinuka.Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake...
JUST IN: 🇷🇺 Russia says a full-scale war is the only way for peace in the Middle East and blames the United States
"The knot is tightening in the Middle East. Sorry for the innocent lives lost. They are but hostages of a disgusting state: the USA.
Meanwhile, it's clear to everyone that a full-scale war is the only way to a shaky peace in the region."
View attachment 3058412
Siasa Zina muda wake,tu, hawawezi kufanya Siasa za Nguvu ya Hoja.
Kwahiyo Urus anazo silaha nyingi sana za kupigana na Ukrain na mpaka za kuuza nje ya nchi? Si kina muda aliomba msaada wa kuuziwa silaha na North Korea?Putin, Anataka kuuza silaha tu. Kashaona ni fursa ya kupiga hela. Hata usa anapiga hela mno kwa kuuza silaha. Vita ni biashara kubwa kwa wauza silaha.
kabisa yani mashoga si ya kuwachekea,wao ndo chanzo cha njaa,mafuriko,ukame,magnjwa ya ajabu n.k hapa duniani...UBWELA UBWELA TU MAZAFAKA ISRAELKuna watu humu wanataka mashoga yaachwe tu yatambe yaan kipigwe tu ndio dawa