Urusi yasema haitokubali kuadhibiwa kwa jinai za vitani wakati US anazo kibao, yaahidi vita ya nyuklia kwa nchi zitazojaribu kuiadhibu Urusi

Urusi yasema haitokubali kuadhibiwa kwa jinai za vitani wakati US anazo kibao, yaahidi vita ya nyuklia kwa nchi zitazojaribu kuiadhibu Urusi

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Urusi imeonya kuwa jaribio lolote la kutaka kuitumia mahakama ya ICC kuiadhibu Urusi dhidi ya jinai za vitani litakuwa ndio kufutwa kwenye uso wa dunia kwa hizo nchi zitazohusika.

Imesema Marekani imeua mamilioni ya watu kibao kwenye nchi nyingi na haijawajibishwa kwa lolote, hivyo Marekani isitegemee kuwa itaweza kujificha nyuma ya mahakama ya ICC kuiadhibu Urusi...hilo kamwe halitafanikiwa na wataziangamiza kwa nyuklia nchi zitazoingia mkenge.

Hatua hiyo imefuatana na mazoezi ya kivita ya silaha za nyuklia ambapo Urusi imetumia kombora la Yars linaloweza kuitwanga Uingereza na kokote Ulaya.
======
,
Screenshot_20220706-211733_Chrome.jpg
Screenshot_20220706-211826_Chrome.jpg
Screenshot_20220706-211917_Chrome.jpg
Screenshot_20220706-212024_Chrome.jpg
 
Russia nae anaongea ongea sana,
Si atulie tu mbona kama hajiamini yeye siraha yake ya kutishia ni nyuklia nyuklia ndio anaimba kila siku, ukute wenzake wamejiandaa jinsi ya kukabiliana na nyuklia.
 
Russia nae anaongea ongea sana,
Si atulie tu mbona kama hajiamini yeye siraha yake ya kutishia ni nyuklia nyuklia ndio anaimba kila siku, ukute wenzake wamejiandaa jinsi ya kukabiliana na nyuklia.
Hua haanzi kuongea,Bali hua anaongea kuwajibu.
Pili hakuna chochote walichojiandaa kukabiliana na nyukilia.
Wangekua wamejiandaa Russia asingeweza kuingia Ukraine wakitazama.
 
ICC yenye angalau ilikuwa ya Luis Moreno Ocampo, sio hawa wasioeleweka wa sasa. Watu wa kwanza kabisa kufunguliwa kesi walibidi wawe ni George Bush na Tony Blair.

Urusi sikumbuki kama ilishitakiwa mission yake ya Georgia
 
Urusi yakazia kuwa Marekani imeua watu milioni 20 ktk nchi 37 toka kumalizika kwa vita vya pili vya dunia...na haijawahi kuwajibishwa na ICC...hivyo wasahau Urusi kuwajibishwa na ICC
=====
View attachment 2282865
Mahakama ya icc Ni ya kimchongo,
Ndo maana Uhuru kenyata aliikataa,
Hata jiwe Nakumbuka kabla hajafa alijitoa huko
 
Hahahaaa mpk sasa bado tu anatishia nyukilia kwani watamwangalia tu
 
Urusi imeonya kuwa jaribio lolote la kutaka kuitumia mahakama ya ICC kuiadhibu Urusi dhidi ya jinai za vitani litakuwa ndio kufutwa kwenye uso wa dunia kwa hizo nchi zitazohusika.

Imesema Marekani imeua mamilioni ya watu kibao kwenye nchi nyingi na haijawajibishwa kwa lolote, hivyo Marekani isitegemee kuwa itaweza kujificha nyuma ya mahakama ya ICC kuiadhibu Urusi...hilo kamwe halitafanikiwa na wataziangamiza kwa nyuklia nchi zitazoingia mkenge.

Hatua hiyo imefuatana na mazoezi ya kivita ya silaha za nyuklia ambapo Urusi imetumia kombora la Yars linaloweza kuitwanga Uingereza na kokote Ulaya.
======
,View attachment 2282819 View attachment 2282820View attachment 2282821View attachment 2282822
Unataka uadhibiweje ndio urushe nyuklia maana kiuchumi umeshaanza kuadhibiwa ,kivita wanatoa misaada ili kukukwamisha ,we mzee acha dawa ikuingie mikwara peleka huko Moscow
 
Back
Top Bottom