Urusi yasema haitokubali kuadhibiwa kwa jinai za vitani wakati US anazo kibao, yaahidi vita ya nyuklia kwa nchi zitazojaribu kuiadhibu Urusi

Mtu mkipigana naye
Mpiganaji kweli wala hakutishii ohh nitakupiga ngumi anapiga tu

Russia Bwege tu ana mkwara Mbuzi
Siku ukijua vita zina utaratibu wake ndio utaelewa hii ni proxy war yani vugu vugu bado haijafikia level ya one to one 😀😀😀! Atakaeifikisha hapo ni Marekani ambaye ndio anateseka sana na urusi.
 
Empty threats....

Lazima mkanyee debe
 
Russia nae anaongea ongea sana,
Si atulie tu mbona kama hajiamini yeye siraha yake ya kutishia ni nyuklia nyuklia ndio anaimba kila siku, ukute wenzake wamejiandaa jinsi ya kukabiliana na nyuklia.
Ndio chorus yake. Anafikiri ndio yeye anazo peke yake. Halafu hizo land based nuclear weapons ni sitting duck ya NATO.
 
Ndio chorus yake. Anafikiri ndio yeye anazo peke yake. Halafu hizo land based nuclear weapons ni sitting duck ya NATO.
Mwenzako presha inapanda na kushuka, kujiuzulu mchezo!
Bado Biden
 
Hata Umoja wa Afrika kama sikosei ulikataa kumkamata Rais wa Sudan Omary Al Bashir alipoudhuria mkutano S.Africa ili apelekwe ICC.
Ndo kwanza wakampa ulinzi wa kutosha Toka mkutano hadi Sudan.
Na mwisho wa siku akakamatwa na wasudani wenzake. sasa anasubiri kupelekwa huko huko The Hague. Shida ya waafika tunapiga kelele sana bila strategies. ICC ina mapungufu yake. Lakini strategy ya waafrika kubweka bweka haisaidii.

By the way Tanzania ni mwanachama mwaminifu wa ICC! Endelezeni ujinga tuu.....
 
Hua haanzi kuongea,Bali hua anaongea kuwajibu.
Pili hakuna chochote walichojiandaa kukabiliana na nyukilia.
Wangekua wamejiandaa Russia asingeweza kuingia Ukraine wakitazama.
Uko zako buza....unajua mipango mpaka ya wazungu kuwa hawajajiandaa na nyukilia[emoji16][emoji16]
 
ICC yenye angalau ilikuwa ya Luis Moreno Ocampo, sio hawa wasioeleweka wa sasa. Watu wa kwanza kabisa kufunguliwa kesi walibidi wawe ni George Bush na Tony Blair.

Urusi sikumbuki kama ilishitakiwa mission yake ya Georgia
ICC ina watu wake wa kuwalenga (hasa wa dunia ya tatu), sio kila mtu atashitakkwa huko.
 
Duh, Urusi imechoma pisi mbili za mifumo ya silaha za kuangamizia meli za Uingereza (Harpoon anti-ship missile system) huko Odesa.

Aisee kwa kweli Silaha za Urusi ni balaa moja na nusu!


 
Iran and Russia have reached an agreement on working to expand their financial and banking cooperation and remove the obstacles in the way of their ties under tough American sanctions.
 
Russia nae anaongea ongea sana,
Si atulie tu mbona kama hajiamini yeye siraha yake ya kutishia ni nyuklia nyuklia ndio anaimba kila siku, ukute wenzake wamejiandaa jinsi ya kukabiliana na nyuklia.
Kukabiliana na Nuclear? Hebu acha utani wewe!!
 
Hahahaaa mpk sasa bado tu anatishia nyukilia kwani watamwangalia tu
Aisee! hivi unafahamu Nuclear War ni suicide kwa wote? yaani dunia nzima inageuka kifusi?
Nani anataka kutake risk kama hiyo, kila mtu bado anapenda ugali ndio maana hakuna kitu wanaweza ifanya russia.

Au nawewe uko tayari kufa sababu ya jeuri za marekani na NATO?
 
Viva Russia, huo ndo uanaume ,Kama una midude ya hatari ,kwa nn isiyatumie kwa asui anauetaka kukuangamiza na kukutaabisha!!? heri mkose wote au muangamie wote ,ili asiwepo wa kujisifu!!

ukiskia u supa power ndo huo sasa.hii dunia maonezi na chokochoko zikizidi ni kuachia kichapo hakuna namna.viva Russia ,Viva putin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…