Urusi yasema makombora yake yote yalipiga Kyiv

Urusi yasema makombora yake yote yalipiga Kyiv

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kumekuwepo na vuta nikuvute juu ya mashambulizi makubwa yaliyofanywe na Urusi hapo jana kwenye mji mkuu wa kyiv. Wakati Ukraine ikisema imetungua makombora yote 18 yaliyorushwa jijini hapo,6 kati yao yakiwa ni Kinzha Hypersoni na kwamba ni watu 3 tu waliojeruhiwa na gari moja kuungua kwa kuangukiwa na mabaki ya hyepersoni.c .Urusi yenyewe jimesema makombora yote yalikuwa ni ya kawaida na kwamba yote yalipiga yalipokusudiwa.Zaidi ya hivyo wameangamiza patriot 1.
Maafisa wa jeshi la Ukraine wamekiri hawajapata kuona mashambulizi makubwa kiasi hicho jijjini hapo lakini hakuna hasara..Habari hizo zinapingana na idadi ya miripuko ya ardhini iliyosikika na wakaazi wengi na idai ya mioto mikubwa iliyokuwa ikizimwa.
_129741780_kyivbus5.jpg
 
Kwa mujibu wa DW mashambulizi ya jana yalisababisha uharibifu mkubwa ikiwemo kuporomosha majengo na magari mengi kuwaka moto, lakini pia tukiachana na hiyo habari ya DW kuna video zimeanza kusambaa zikionesha milipuko mikubwa ndani ya Kiev.
 
Ona picha ya moto kwanza halafuj sikiliza kelele za makamanda wa Ukraine. Kama yote yamedunguliwa kelele za nini.
... eti kelele! Panya road na panga zao mbona mtapiga kelele?
 
Kwa mujibu wa DW mashambulizi ya jana yalisababisha uharibifu mkubwa ikiwemo kuporomosha majengo na magari mengi kuwaka moto, lakini pia tukiachana na hiyo habari ya DW kuna video zimeanza kusambaa zikionesha milipuko mikubwa ndani ya Kiev.
Hatujaona mitandaoni wala kideoni
 
Kumekuwepo na vuta nikuvute juu ya mashambulizi makubwa yaliyofanywe na Urusi hapo jana kwenye mji mkuu wa kyiv. Wakati Ukraine ikisema imetungua makombora yote 18 yaliyorushwa jijini hapo,6 kati yao yakiwa ni Kinzha Hypersoni na kwamba ni watu 3 tu waliojeruhiwa na gari moja kuungua kwa kuangukiwa na mabaki ya hyepersoni.c .Urusi yenyewe jimesema makombora yote yalikuwa ni ya kawaida na kwamba yote yalipiga yalipokusudiwa.Zaidi ya hivyo wameangamiza patriot 1.
Maafisa wa jeshi la Ukraine wamekiri hawajapata kuona mashambulizi makubwa kiasi hicho jijjini hapo lakini hakuna hasara..Habari hizo zinapingana na idadi ya miripuko ya ardhini iliyosikika na wakaazi wengi na idai ya mioto mikubwa iliyokuwa ikizimwa.
_129741780_kyivbus5.jpg
 
Wamatumbie mkuu wa majeshi yao (wayukrein) yuko wapi!!!
 
Kuna Habari mbaya kwa sisi tulio upande fulani wa vita. Naomba walioilewa historia vita pili. Mfano USA, USSR (Urusi),UK vipigana dhidi Ujerumani ya Adolf Hitler. Vita Adolf Hitler dhidi ya Joseph Stanley wa Usoviet USSR. Naona kama malengo wa NATO na USSR usoviet ya urusi wa zamani yanafanana. Alafu malengo ya Urusi ya sasa putin nisawa na ya Adolf Hitler ni sasa.Mbona kama Urusi sio nchi ya kijamaa wala kikomonisti. Lakn NATO nchi wanachana za kijamaa, USA ya Biden ni wajamaa democratic. Naye kassel kijamaa ya Ujerumani Olaf scholz apinga ubeberu na amesisitoza dunia ya ukomonisti mpya isiyo na mipaka ana .kwa Maelezo ya Olaf scholz ujerumani anahitaka dunia ile usoviet ukomosti wa Markism.
 
Back
Top Bottom