Urusi yatishia kutumia silaha za nyuklia ikiwa Sweden, Finland zitajiunga NATO

Urusi yatishia kutumia silaha za nyuklia ikiwa Sweden, Finland zitajiunga NATO

Mmoja wa washirika wa karibu wa Rais wa Russia, Vladimir Putin Alhamisi ameionya NATO kwamba ikiwa Sweden na Finland zitajiunga na ushirika wa kijeshi unaongozwa na Marekani, basi Russia itapeleka silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu katika eneo la Ulaya.

Finland ambayo inashirikiana mpaka na Russia wenye urefu wa kilomita 1,300, pamoja na Sweden zinatafakari kujiunga na muungano wa NATO.

Finland itachukuwa uamuzi wiki zijazo, waziri mkuu Sanna Marin alisema Jumatano.

Dmitry Medvedev ambaye ni naibu mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Russia, amesema iwapo Sweden na Finland zitajiunga na NATO basi Russia italazimika kuimarisha vikosi vyake vya nchi kavu, majini na angani katika bahari ya Baltic.

Medvedev pia ameelezea wazi tishio la nyuklia kwa kusema kwamba hakutokuwa tena na mazungumzo ya Baltic “isiyo na nyuklia” ambapo Russia ina eneo lake la Kaliningrad kati ya Poland na Lithuania.

“Hatuwezi tena kuwa na mazungumzo juu ya hadhi ya kutokuwa na nyuklia kwa Baltic, usawa lazima urejeshwe,” amesema Medvedev, ambaye alikuwa rais wa Russia kuanzia 2008 hadi 2012.

Source: VOA
Mrusi hana cha kutumia zaidi ya hizo nuclea kwa sababu ameshawekeza nguvu kubwa pale ukraine so ambaacho ataweza kukifanys ili kuzikabili hhizi nchi zingine zinazotaka kujiunga nato ni yeye kutumia nuclea.

Na hatoweza kutumia kwa sababu akipiga na yeye atapigwa tu.
 
Putin lazima atumie nuclear ili alete order duniani.
Ni kama marekani tu.
 
Sisi tunataka azishambulie kama alivyofanya kwa Ukraine.
.
images.jpg
 
Ina ony
Halafu za kwao sasa wala hata hawajawahi hata kuzitest,lakini tunavyopigiwa makelele hapa sasa.Kila mara akifail tu anaanza wimbo huo huo wa Nyuklia utadhani mtoto mdogo anavyoimba 'rain go away' akiona mvua
Unaonyesha una uelewa mdogo kuhusu russia. Mrusi alishawahi kutest nyuklia bomb na ndio bomu kubwa pekee toka kuumbwa kwa ulimwengu lililowahi kujaribiwa duniani. Nakupa baadhi ya yaliyojiri.
1. Uyoga wake ulipanda juu km 67 angani.
2. Sauti ya mlipuko wake ulisikika km 900 na vioo vya nyumba kupasuka Sweden.
3. Hakujawahi kutokea sauti ya mshindo mkubwa kama hiyo duniani.
Kasome tsar bomba
 
Kwani nyuklia anazo peke ake!,huyu jamaa kazidi kelele.Watu wengi duniani wanajua madhara ya silaha za nyuklia sasa kabla hajazitumia hao hao wakuu wake wa jeshi wanaweza wakamgeuka,watu wanapenda maisha na yeye ni kiongozi tu wananchi wake wakichachamaa putin ataomba poo,kumbuka pia kuna watu wa karibu yake watakuwa wanakipigia mahesabu kiti chake.Vita ya nyuklia haitomletea yeye ushindi ila itabadirisha dunia,pumbavu tu ndo ataanzisha ujinga wa nyuklia.
United States walitumia nuclear weapons kwa hiroshima na nagasaki na hakuna nchi yoyote iliyomgusa.
Na Russia pia wanaweza kutumia nuclear weapons popote na hakuna atakaye mgusa sababu kila mtu anapenda amani nchini kwake na maisha ya wananchi wake.

Kama Russia wakianzisha vita ya nuclear mataifa mengine ni lazima yakae kimya ili kuepusha Nuclear holocaust ambayo itaangamiza dunia nzima, na hakuna mtu mwenye ubavu wa kuanzisha hicho kitu.
Ni afe mmoja au tufe wote na mpaka sasa putin ndio mtu pekee anayeonekana kuwa na will ya kudeploy nuclear na wala hajali chochote zaidi ya maslahi yake.

Mambo ya nuclear sio rahisi hivyo kwamba mimi nikipiga basi kila mtu anapiga kama manati, na kusema kwani nani hana mawe!
Hapa tunaongelea mwisho wa maisha duniani kwa ujumla au baadhi ya sehemu za dunia kuwa uninhabitable kwa mamia na maelfu ya miaka au extinction ya baadhi ya races.
 
Ina ony

Unaonyesha una uelewa mdogo kuhusu russia. Mrusi alishawahi kutest nyuklia bomb na ndio bomu kubwa pekee toka kuumbwa kwa ulimwengu lililowahi kujaribiwa duniani. Nakupa baadhi ya yaliyojiri.
1. Uyoga wake ulipanda juu km 67 angani.
2. Sauti ya mlipuko wake ulisikika km 900 na vioo vya nyumba kupasuka Sweden.
3. Hakujawahi kutokea sauti ya mshindo mkubwa kama hiyo duniani.
Kasome tsar bomba
Kwa iyo unafikiri, USA, France, UK, Italy, Germany, Israel, Poland, Netherlands, Canada, Japan, India na Pakistan wakijaribu ayo mabomu kutakuwa na usalama apa duniani
 
Ina ony

Unaonyesha una uelewa mdogo kuhusu russia. Mrusi alishawahi kutest nyuklia bomb na ndio bomu kubwa pekee toka kuumbwa kwa ulimwengu lililowahi kujaribiwa duniani. Nakupa baadhi ya yaliyojiri.
1. Uyoga wake ulipanda juu km 67 angani.
2. Sauti ya mlipuko wake ulisikika km 900 na vioo vya nyumba kupasuka Sweden.
3. Hakujawahi kutokea sauti ya mshindo mkubwa kama hiyo duniani.
Kasome tsar bomba
Hatari sana...Vipi athari zake vipi mionzi havikuleta athari?alifanyia majaribio wapi?
 
Kaka PUT IN PUT OUT
limemshuka[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwani nyuklia anazo peke ake!,huyu jamaa kazidi kelele.Watu wengi duniani wanajua madhara ya silaha za nyuklia sasa kabla hajazitumia hao hao wakuu wake wa jeshi wanaweza wakamgeuka,watu wanapenda maisha na yeye ni kiongozi tu wananchi wake wakichachamaa putin ataomba poo,kumbuka pia kuna watu wa karibu yake watakuwa wanakipigia mahesabu kiti chake.Vita ya nyuklia haitomletea yeye ushindi ila itabadirisha dunia,pumbavu tu ndo ataanzisha ujinga wa nyuklia.
Wazungu hii dunia ndiyo pepo yao,wapigwe nyuklia wachakae,wawe duni..yaani Kama Libya,somalia
 
United States walitumia nuclear weapons kwa hiroshima na nagasaki na hakuna nchi yoyote iliyomgusa.
Na Russia pia wanaweza kutumia nuclear weapons popote na hakuna atakaye mgusa sababu kila mtu anapenda amani nchini kwake na maisha ya wananchi wake.

Kama Russia wakianzisha vita ya nuclear mataifa mengine ni lazima yakae kimya ili kuepusha Nuclear holocaust ambayo itaangamiza dunia nzima, na hakuna mtu mwenye ubavu wa kuanzisha hicho kitu.
Ni afe mmoja au tufe wote na mpaka sasa putin ndio mtu pekee anayeonekana kuwa na will ya kudeploy nuclear na wala hajali chochote zaidi ya maslahi yake.

Mambo ya nuclear sio rahisi hivyo kwamba mimi nikipiga basi kila mtu anapiga kama manati, na kusema kwani nani hana mawe!
Hapa tunaongelea mwisho wa maisha duniani kwa ujumla au baadhi ya sehemu za dunia kuwa uninhabitable kwa mamia na maelfu ya miaka au extinction ya baadhi ya races.
Yaani apige nuclear alafu watu wakae kimya? Mond you marekani alitumia nuclear kipindi hizo nchi hazina nuclear, kwenye vita hakuna nchi inakubali unyonge hata Ukraine kaukataa ndio utaongelea nchi za Nato
 
Yaani apige nuclear alafu watu wakae kimya? Mond you marekani alitumia nuclear kipindi hizo nchi hazina nuclear, kwenye vita hakuna nchi inakubali unyonge hata Ukraine kaukataa ndio utaongelea nchi za Nato
Sawa.
Lakini hapa tunaongelea world ending catastrophe, Russia hawawezi kujaribu kupiga mataifa makubwa yenye nguvu kama marekani, lakini ana uwezo wa kupiga nchi yoyote na hayo mataifa makubwa hayatoweza kuingilia hiyo fujo sababu wanajua nini kinaenda kutokea hivyo lazima wakae kimya kwa usalama wao.

Hata hapa tu Mataifa yote yameshindwa kupinga kwa kupiga russia directly sembuse nuclear?
 
Back
Top Bottom