akiwa yeye mwenyewe mleta uzi shida iko wapi?Chanzo cha habari?
Hakuna shida. Aseme tu chanzo ni kamati kuu ya kichwa chake.akiwa yeye mwenyewe mleta uzi shida iko wapi?
Watoa taarifa wanasema upo uwezekano wa Russia kufukuza baadhi ya wataalam wake ndani ya jeshi kuhofia tu kuwa ndio wanaovujisha taarifa. Hii itapelekea kuwa na mda mwingine wa kutosha kuandaa wengine kuweza ku'operate zana muhimu[emoji15][emoji3064][emoji848]Wachambuzi wa medani za kivita wanasema Kati ya mambo ambayo yamechelewesha Russia kuivamia Ukraine ni taarifa za kiintelijesia ilizonazo US zinazohusu mipango ya kuivamia Ukraine.
Taarifa hizi, sio tu zinatokana na images za setilaiti bali ni zile ambazo zinatoka ndani kabisa ya jeshi la Russia
Watoa taarifa wanasema upo uwezekano wa Russia kufukuza baadhi ya wataalam wake ndani ya jeshi kuhofia tu kuwa ndio wanaovujisha taarifa. Hii itapelekea kuwa na mda mwingine wa kutosha kuandaa wengine kuweza ku'operate zana muhimu
Religious bigotry.Ukibahatika kuangalia movies za kirusi ziwe, action movies, criminal investigation, family matters, nakadhalika. Huwezi kurudi kwa movies za Hollywood.
Pia movies zilizotengenezwa Iran, ni kali mno.
Mkuu wewe endelea kupiga majimbi na maziwa mtindi huko uliko, tuiachie Marekani ndio wanaojua namna ya kupeleleza adui zake.hakuna inchi ngumu kuipeleleza kama urusi marekani wanaangali moviment za silaha za urusi na kupima kiwango cha uvamizi
Pole sanaReligious bigotry.
We ndio umetiwa hofu, unafkiri FSB wajinga wajinga kama hao wenuWachambuzi wa medani za kivita wanasema Kati ya mambo ambayo yamechelewesha Russia kuivamia Ukraine ni taarifa za kiintelijesia ilizonazo US zinazohusu mipango ya kuivamia Ukraine.
Taarifa hizi, sio tu zinatokana na images za setilaiti bali ni zile ambazo zinatoka ndani kabisa ya jeshi la Russia
Watoa taarifa wanasema upo uwezekano wa Russia kufukuza baadhi ya wataalam wake ndani ya jeshi kuhofia tu kuwa ndio wanaovujisha taarifa. Hii itapelekea kuwa na mda mwingine wa kutosha kuandaa wengine kuweza ku'operate zana muhimu
Weka link tuone warusi wamesema hivyo kweli?Wachambuzi wa medani za kivita wanasema Kati ya mambo ambayo yamechelewesha Russia kuivamia Ukraine ni taarifa za kiintelijesia ilizonazo US zinazohusu mipango ya kuivamia Ukraine.
Taarifa hizi, sio tu zinatokana na images za setilaiti bali ni zile ambazo zinatoka ndani kabisa ya jeshi la Russia
Watoa taarifa wanasema upo uwezekano wa Russia kufukuza baadhi ya wataalam wake ndani ya jeshi kuhofia tu kuwa ndio wanaovujisha taarifa. Hii itapelekea kuwa na mda mwingine wa kutosha kuandaa wengine kuweza ku'operate zana muhimu
Changamoto kwao ni kwamba, ukishaanza kuziangalia hizo movies za hayo mataifa mengine, unakutana na 'Hollywood influence' ndani yake!Ukibahatika kuangalia movies za kirusi ziwe, action movies, criminal investigation, family matters, nakadhalika. Huwezi kurudi kwa movies za Hollywood.
Pia movies zilizotengenezwa Iran, ni kali mno.
Hiyo kazi inafanywa na MOSSAD kwa kushirikiana na CIA ,MOSSAD ndio shirika bora la kiupelelezi duniani hakuna taarifa zozote hasizozijuaWachambuzi wa medani za kivita wanasema Kati ya mambo ambayo yamechelewesha Russia kuivamia Ukraine ni taarifa za kiintelijesia ilizonazo US zinazohusu mipango ya kuivamia Ukraine.
Taarifa hizi, sio tu zinatokana na images za setilaiti bali ni zile ambazo zinatoka ndani kabisa ya jeshi la Russia
Watoa taarifa wanasema upo uwezekano wa Russia kufukuza baadhi ya wataalam wake ndani ya jeshi kuhofia tu kuwa ndio wanaovujisha taarifa. Hii itapelekea kuwa na mda mwingine wa kutosha kuandaa wengine kuweza ku'operate zana muhimu
Bila NATO, 🇺🇸 USA ni debe shinda haliachi kutikaWachambuzi wa medani za kivita wanasema Kati ya mambo ambayo yamechelewesha Russia kuivamia Ukraine ni taarifa za kiintelijesia ilizonazo US zinazohusu mipango ya kuivamia Ukraine.
Taarifa hizi, sio tu zinatokana na images za setilaiti bali ni zile ambazo zinatoka ndani kabisa ya jeshi la Russia
Watoa taarifa wanasema upo uwezekano wa Russia kufukuza baadhi ya wataalam wake ndani ya jeshi kuhofia tu kuwa ndio wanaovujisha taarifa. Hii itapelekea kuwa na mda mwingine wa kutosha kuandaa wengine kuweza ku'operate zana muhimu
USA ndiye dominant hapo NATO, ndugu!Bila NATO, 🇺🇸 USA ni debe shinda haliachi kutika