Urusi yatoa masharti ya kusitisha vita Ukraine

Urusi kama haitaki maridhiano vile.
Hili pendekezo la tatu ni gumu sana na si dhani kama Ukraine atakubali.
 
Umevembewa uji wa magimbi unahema juujuu unadhani Urusi ni Msumbiji? Watu wanaofanana na mawazo kama yako ndo walimvimbisha bichwa Zelensky kuwa urusi si lolote si chochote matokeo yake ndo haya ya kufumuliwa
 
Masharti Magumu Kweli Lakini Kwa hali halisi ilivyo bora tu wakubali
 
Putin alijifanya mbabe sana kwa vile amekuwa anaota sana ile heshima ya kuitwa superpower ambayo waliipotzea miaka takriba 30 iliyopita lakini yeye bado inamsumbua tu. Halafu Ukraine walikataa kushirikiana na urusi mara moja baada ya USSR kuvunjika hata lugha ya Kirusi wakaacha kuitumia rasmi, ndiyo maana Ukraine wanaongea sana kiingereza. Sasa aliposhauriwa kuwa asitumie mabavu bali wafuate diplomacy kuyamaliza, yeye akaona kuwa kwa vile ana vifaru vingi vywa udgongo wa mfinyanzi na ndege nyingi za kasuku, na askari wengi wanywa gongo, ataingis Ukraine na kuiteka siku moja tu. Akase,a eti special operation ya muda mfupi tu; yaani akaunda serikali mpya ya Ukraine kama vile ni nchi yake. Sasa ngoja apewe kipingo cha mbwa; naona sasa huyu kijana comedian wa TikTok ameanza kumsogelea matakoni iwapo jeshi linaaza kuasi na kuwaua makamanda wao wenyewe kwa wenyewe. Jeshi gani linapoteza majenerali saba na makanali zaidi ya ishirini na tano kwenye vita ya mwezi mmoja tu. Marekani ilipoteza jumla ya askari kama 7000 katika vita ya miaka 20 huko Iraq na Afghansni, wengi wao wakiwa ni kwa suicide bombing na IEDs siyo kwenye combat. Cheo cha juu cha askari wa kiimarekani aliyeuwawa ilikuwa ni captain, ambao jumla walipotea makapteni wasiozidi 40 kwa miaka yote 20. Lakini hapa siku 30 tu tayari majenerali 7 na makanali 25 wwameshafutika. Ina maana vita ikiendela kwa spid hii, baada ya mwezi mmoja jeshi la urusi litakuwa halina majenerali kabisa. Hatari ya kujiombea hiyo; Putin amesababisha jeshi zima la Urusi lidharauliwe sasa.



Russian general who bragged 'war would be over quickly' killed in Ukraine strike

Lieutenant General Yakov Rezantsev, 48, was reportedly killed in a strike by the Ukrainian armed forces after telling his regiment the operation in Ukraine would only last a 'few hours'



By
Abigail O'LearyNews Reporter

Vladimir Putin has lost another general in the Ukrainian war, claim military sources in Kyiv.

Lieutenant General Yakov Rezantsev, 48, was killed in a strike by the Ukrainian armed forces, they say.


He was Commander of the 49th Combined Arms Army of the Southern Military District.

The Russian side has not so far confirmed the death.

A service member said Lt. Gen. Yakov Rezantsev told them on the fourth day of their deployment that the war would be over quickly.

The soldier said: “Do you know what he told us? ‘It’s no secret to anyone that there are only a few hours until this special operation is over.’ - And now those hours are still going."

As the Kremlin reportedly fumes at the loss of some of its top generals, experts have said there could be a catalogue of reasons why senior Russian officers have fallen.

It comes amid reports of unreliable equipment and electronics amongst Russian forces, as well as subordinates being too terrified to make quick decisions.
https://www.citizenwatch.com/us/en/...85Dlu-_L80wiwf4SygNPs8NHiCdhFIooLzRl6STyevXAQ






Colonel Alexei Sharov has become the 15th Russian commander to die in Ukraine

Former US army general and CIA director David Petraeus said Ukraine also has "good snipers" which are able to target key individuals when a Russian chain of command breaks down.

He said: "The communications have been jammed. The column gets stopped, and an impatient general goes forward to see what’s going on.

"There’s no initiative, no non-commissioned officer corps, no sense of initiative at junior levels. They wait to be told what to do, and the Ukrainians have very, very good snipers."

An anonymous diplomat also told Foreign Policy that generals were "struggling on the front line to get their orders through".

Analysts believe Russian commanders are now suffering a higher casualty rate than in any conflict since World War Two.





Vitaly Gerasimov Blow for Putin as 2nd Russian general is killed in fighting near besieged city






Major General Andrei Sukhovetsky, commander of the Novorossiysk guards


We'll be bringing you the very latest updates, pictures and video on this breaking news story.

The first general's death came only four days into the invasion, and in the just over three weeks since, a significant number of Russian military leaders have been killed in battle.

Some of the dead Russian commanders were said to have come to the frontline, something they would normally do if there were issues over decision-making, or their seniority was needed to get the troops forward.


Western sources said that a lot of generals are being killed because they are being pushed closer to the front line than usual to boost Russian soldiers' morale

According to Foreign Policy magazine, Rob Lee, a senior fellow at the Foreign Policy Research Institute, said: “It’s a bigger problem if you lose commanders of units because then it’s harder to have someone step in and take over."





Putin is said to have lost an unexpected number of generals

It comes after Vladimir Putin and the Kremlin are reportedly sending execution squads after their own army with orders to kill any Russians who try to flee.

Ukraine security services claim that prisoners of war have told them of the horrific tactic that has reportedly seen Russian guns aimed at their own.

The ‘execution squads’ are a revival of Stalin’s World War Two tactics and are another sign of dire morale among Moscow’s troops, The Mail Online reports.







Lieutenant General Yakov Rezantsev, 48, was killed in a strike by the Ukrainian armed forces, they say
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…