bernard10
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 410
- 732
Warusi mnapenda fujo[emoji16]Leo Sasa mrussia kanikosha vilivyo,hilo lililoachiwa ukute ndo dogo kuliko yote ,mizigo yenyewe imefichwa hiyo ni special kwa USA na washirika wake. Putin go!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warusi mnapenda fujo[emoji16]Leo Sasa mrussia kanikosha vilivyo,hilo lililoachiwa ukute ndo dogo kuliko yote ,mizigo yenyewe imefichwa hiyo ni special kwa USA na washirika wake. Putin go!!
acha kujitete ,ukiingia ulingoni ujue umeingia kwenye mapambano,huwezi kumchagulia mtu ,eti kwa nn umenipiga ngumi,wakati mm saiz ni kupigwa Kofi!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]. Ulijua ulingoni Kuna komedi [emoji23][emoji23][emoji23], Mike iron Tyson (alikuwa haangalii unakula kifinyo tu)[emoji23][emoji23][emoji23]Urusi maji shingoni, ukiona ugomvi wa Ngumi mtu anakimbilia panga jua keshashindwa ugomvi
wamezidi zalau Sana ,wakionewa huruma ,wapigwe kistaarabu ,wanarusha matusi .dawa Yao ni hiyo!Warusi mnapenda fujo[emoji16]
Tuwaulize nyie aliwaambia ngapi?maana sie tulisikia tu anaanza operesheni ya kijeshi hatukusikia ya siku ngapi....... .. .....au mliweka mategemeo yenu ...............Kwa hiyo walisema siku ngapi basi.
anachohitaji russia sio kuichukua, anataka kupandikiza mtu wake pale, na wakati huohuo awe ameteketeza kabisa nguvu za kijeshi kwa maana ya kile kiwanda cha nuklear, maeneo ya silaha etc, then atarudi zake moscow na kuishi wakati anachungulia akiona tu ujinga unataka kujengwa upya kivita anapiga kabla hawajajiimarisha then anarudi. hata wakifanya machafuko kwake hana hasara kwasababu lengo lake ni kuidistabilize kijeshi, wakichafuka watajuana wenyewe yeye yupo moscow. hana lengo la kutawala au kuifanay iwe russia kwasababu anajua jambo hili halitakuja kukubalika kwa waukraine.Kuyapiga haya mabomu, utaua na watu waliokua Askari wake. Na pia ameshajitengenezea uasi mkubwa kwa watu wa Ukraine. Kwa iyo hata akiichukua Ukraine. Kutakuwa na machafuko mengi sana
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Wamarekani hamtaki kukubali Urusi kawashika kooTuwaulize nyie aliwaambia ngapi?maana sie tulisikia tu anaanza operesheni ya kijeshi hatukusikia ya siku ngapi....... .. .....au mliweka mategemeo yenu ...............
mueleze tena anaweza akakuelewaUkraine ni nchi ya pili kwa ukubwa baada ya Russia katika bara la Ulaya
Kama unazungumzia kieneo hapo sawa,lakini Kama ni Kijeshi Basi Ukraine haimo hata Top 5 kijeshi barani Ulaya.Ukraine ni nchi ya pili kwa ukubwa baada ya Russia katika bara la Ulaya
nyie endeleeni tu na propaganda za magharibi,mwenzenu mambo magumu huko,na ameomba mazungumzo ya moja kwa moja na putin,na amesema hatajiunga NATO.Kama unazungumzia kieneo hapo sawa,lakini Kama ni Kijeshi Basi Ukraine haimo hata Top 5 kijeshi barani Ulaya.
Nguvu za Kijeshi sio ukubwa wa Nchi kieneo, Ukubwa wa Nchi ya DRC ni Mara 100 ya ukubwa wa Israel,lakini kijeshi DRC haiwezi hata kuchukua Round dhidi ya Israel.
Ukraine Licha ya kuwa na Eneo kubwa barani Ulaya lakini haiwezi kulinganishwa kijeshi hata na Poland. Kwahiyo hiyo sio EXCUSE YA PROLONGED WAR Ambayo inamfanya Russia ashindwe hata kuteka mji mmoja TU wa Ukraine wa Mariopul.
Hakuna anayepinga kwamba Ukraine ni dhaifu dhidi ya Urusi,na hii ni kutokana na Ukraine kutokuwa na vifaa vya kisasa. Kama unafuatilia hii vita, Basi utakubaliana na Mimi kwamba Urusi mpaka Sasa imeshindwa Vita vya Ardhini dhidi ya Majeshi ya Ukraine. Pia Ukraine imeshindwa Vita vya angani na Urusi.Ndio maana Urusi inapinga vikali Ukraine Kupewa AIR DEFENCE SYSTEMS Kutoka NATO na imetishia kuzishambulia kabla hazijafika Ukraine.Ukraine hawezi kupambana na Urusi kwenye Air Force,lakini kwenye Ground War basi Urusi kashindwa vibaya Sana.nyie endeleeni tu na propaganda za magharibi,mwenzenu mambo magumu huko,na ameomba mazungumzo ya moja kwa moja na putin,na amesema hatajiunga NATO.View attachment 2160744
Unaongelea hii Israel inayo henyeshwa na makundi kama hamasi ambayo hayana hata kifaru wala mizinga?Kama unazungumzia kieneo hapo sawa,lakini Kama ni Kijeshi Basi Ukraine haimo hata Top 5 kijeshi barani Ulaya.
Nguvu za Kijeshi sio ukubwa wa Nchi kieneo, Ukubwa wa Nchi ya DRC ni Mara 100 ya ukubwa wa Israel,lakini kijeshi DRC haiwezi hata kuchukua Round dhidi ya Israel.
Ukraine Licha ya kuwa na Eneo kubwa barani Ulaya lakini haiwezi kulinganishwa kijeshi hata na Poland. Kwahiyo hiyo sio EXCUSE YA PROLONGED WAR Ambayo inamfanya Russia ashindwe hata kuteka mji mmoja TU wa Ukraine wa Mariopul.