Urusi yazalisha bidhaa zinazofanana na za Coca cola baada ya kampuni hiyo kusitisha uzalishaji nchini humo

Urusi yazalisha bidhaa zinazofanana na za Coca cola baada ya kampuni hiyo kusitisha uzalishaji nchini humo

Huko Urusi Baada ya kampuni ya Coca cola kusitisha uzalishaji nchini Russia kupinga uvamizi wa Russia nchini ukraine.

Sasa Warusi wamevichukua Viwanda vya Coca Cola Vilivyoko na kuendelea na uzalishaji wa vinywaji hivyo ambavyo sasa haiitwi Coca Cola tena bali Cool Cola.

Na Vinywaji hivyo vimeshaingia sokoni huku vikiwa na Radha zilezile za CocaCola products

View attachment 2238175

===========

A Russian beverage maker has unveiled a new range of soft drinks to replace the iconic brands that have left the Russian market in the wake of its invasion of Ukraine.

In lieu of Coca-Cola, Fanta and Sprite, Russians will be able to choose from CoolCola, Fancy and Street, Russian drink producer Ochakovo announced Monday.

The three global soda brands have been largely absent from Russian shelves since the Coca-Cola Company suspended business in Russia in March. While Coca-Cola products can still be found in shops, prices have skyrocketed by roughly 200% since the suspension.

CoolCola has the “iconic taste of cola,” Ochakovo wrote online. Meanwhile, the brand’s bottles of orange-flavored Fancy and lemon-lime Street mimic the color schemes of Fanta and Sprite.

Established in the Soviet Union in 1978, Ochakovo largely produces traditional Russian beverages such as fermented grain-based kvass and low-alcohol honey drink medovukha.

The firm isn’t the only company to try and capitalize on Coca-Cola’s step back from the Russian market.

In April, a beverages company based in Russia’s Far East, the Slavda Group, launched Grink Cola to try and capture the hearts of Russia’s soda lovers. Meanwhile in May, in the northern Russian region of Komi, the Syktyvkarpivo factory launched its own brand of soda, Komi Cola.

However, both alternatives received a mixed response, with customers complaining that neither drink was “sweet and

The Moscow Times
Ukisusa wenzio wala
 
Huko Urusi Baada ya kampuni ya Coca cola kusitisha uzalishaji nchini Russia kupinga uvamizi wa Russia nchini ukraine.

Sasa Warusi wamevichukua Viwanda vya Coca Cola Vilivyoko na kuendelea na uzalishaji wa vinywaji hivyo ambavyo sasa haiitwi Coca Cola tena bali Cool Cola.

Na Vinywaji hivyo vimeshaingia sokoni huku vikiwa na Radha zilezile za CocaCola products

View attachment 2238175

===========

A Russian beverage maker has unveiled a new range of soft drinks to replace the iconic brands that have left the Russian market in the wake of its invasion of Ukraine.

In lieu of Coca-Cola, Fanta and Sprite, Russians will be able to choose from CoolCola, Fancy and Street, Russian drink producer Ochakovo announced Monday.

The three global soda brands have been largely absent from Russian shelves since the Coca-Cola Company suspended business in Russia in March. While Coca-Cola products can still be found in shops, prices have skyrocketed by roughly 200% since the suspension.

CoolCola has the “iconic taste of cola,” Ochakovo wrote online. Meanwhile, the brand’s bottles of orange-flavored Fancy and lemon-lime Street mimic the color schemes of Fanta and Sprite.

Established in the Soviet Union in 1978, Ochakovo largely produces traditional Russian beverages such as fermented grain-based kvass and low-alcohol honey drink medovukha.

The firm isn’t the only company to try and capitalize on Coca-Cola’s step back from the Russian market.

In April, a beverages company based in Russia’s Far East, the Slavda Group, launched Grink Cola to try and capture the hearts of Russia’s soda lovers. Meanwhile in May, in the northern Russian region of Komi, the Syktyvkarpivo factory launched its own brand of soda, Komi Cola.

However, both alternatives received a mixed response, with customers complaining that neither drink was “sweet and

The Moscow Times
Ahaaaa kudadadeki, Dr. Shika karudi tena upya....hii si ni kampuni ya Dr. Shika jamani?
 
Unatumia mawe kama siraha, mwenzio anasimamishia ukuta
Screenshot_20220318-133837.png
 
Inshu haoa hakuna upungufu.
Leo sisi tuko huku vijijini ndani ndani kabisaa unaweza usipate soda za makampuni ya nje lakini mo azam na wengineo wanakupa unachokitaka.

Miaka ya mwanzoni hakuna aliyetaka simu ya mchina kwa maana ya ufake...yaani wanakopi simu.
Leo hii kila mtu ana mchina.
Maana yake nini? Hata huyu Azama na Mo kadri wanavyokaa ktk soko baadaye watakuwa na recipe yao itakayokuwa tofauti.
Kwa mfano nasikiaga wengine wanataka Mo energy na hawataki za Azam.
 
Mkuu siri za nukes zilivuja baada ya hitlers nazi scientists kuwa mateka , other wise hadi leo ingekuwa ni siri.
Halafu hizi ni biashara usichukulie poa , watu wanaweka formula siri maana ndo lifeline ya biashara yenyewe.
Huko coca cola mbali sana , KFC tu , ile recipe mixture ni top secret.
Kuku wapo viazi vipo na ngano tunayo, jaribu kupika uone kama utapata ladha ya KFC.
Mkuu unajua kazi ya vitengo vya ujasusi kwenye makampuni makubwa ya biashara?
 
Mkuu ushazinywa ukaona zinafanana na hizo za Mo? Au ukaona hazofanani na coca?
Imitatated cola ptoducts zipo karibu kila nchi , lakini hakuna hata sehemu moja zimewahi kulingana ladha na coca cola , the assuption ipo hivo hata huko kwa putin mana sio wa kwanza kuwa na product kama hizo . Ukienda hapo tu south , karibu food chains zote wana cola products ,spar wana cola yao, shoprites wana cola yao , woolworth wana cola yao , none of those is up to par with coke.
 
Mkuu unajua kazi ya vitengo vya ujasusi kwenye makampuni makubwa ya biashara?
Kwamba wanaweza ku hack system ya Biktarvy inc na ukapata formula ya biktarvy arv ambazo haziumizi figo ?
Wenzetu wanafanya very expensive research na wanapopata mafanikio huwa wanazilinda kwa nguvu zote product zao . Sio rahisi kufanya ujasusi kwenye product zenye patents yoyote mana kesi zake haziwezekani.
 
Huko Urusi Baada ya kampuni ya Coca cola kusitisha uzalishaji nchini Russia kupinga uvamizi wa Russia nchini ukraine.

Sasa Warusi wamevichukua Viwanda vya Coca Cola Vilivyoko na kuendelea na uzalishaji wa vinywaji hivyo ambavyo sasa haiitwi Coca Cola tena bali Cool Cola.

Na Vinywaji hivyo vimeshaingia sokoni huku vikiwa na Radha zilezile za CocaCola products

View attachment 2238175

===========

A Russian beverage maker has unveiled a new range of soft drinks to replace the iconic brands that have left the Russian market in the wake of its invasion of Ukraine.

In lieu of Coca-Cola, Fanta and Sprite, Russians will be able to choose from CoolCola, Fancy and Street, Russian drink producer Ochakovo announced Monday.

The three global soda brands have been largely absent from Russian shelves since the Coca-Cola Company suspended business in Russia in March. While Coca-Cola products can still be found in shops, prices have skyrocketed by roughly 200% since the suspension.

CoolCola has the “iconic taste of cola,” Ochakovo wrote online. Meanwhile, the brand’s bottles of orange-flavored Fancy and lemon-lime Street mimic the color schemes of Fanta and Sprite.

Established in the Soviet Union in 1978, Ochakovo largely produces traditional Russian beverages such as fermented grain-based kvass and low-alcohol honey drink medovukha.

The firm isn’t the only company to try and capitalize on Coca-Cola’s step back from the Russian market.

In April, a beverages company based in Russia’s Far East, the Slavda Group, launched Grink Cola to try and capture the hearts of Russia’s soda lovers. Meanwhile in May, in the northern Russian region of Komi, the Syktyvkarpivo factory launched its own brand of soda, Komi Cola.

However, both alternatives received a mixed response, with customers complaining that neither drink was “sweet and

The Moscow Times
Misimu inabadilika! Kuna bidhaa zitaitwa za kale!
 
Inshu haoa hakuna upungufu.
Leo sisi tuko huku vijijini ndani ndani kabisaa unaweza usipate soda za makampuni ya nje lakini mo azam na wengineo wanakupa unachokitaka.

Miaka ya mwanzoni hakuna aliyetaka simu ya mchina kwa maana ya ufake...yaani wanakopi simu.
Leo hii kila mtu ana mchina.
Maana yake nini? Hata huyu Azama na Mo kadri wanavyokaa ktk soko baadaye watakuwa na recipe yao itakayokuwa tofauti.
Kwa mfano nasikiaga wengine wanataka Mo energy na hawataki za Azam.
Tunatumia vya mchina sio kwa kupenda ila uchumi. Huwezi ifananisha tecno na iphone au samsung.
 
Back
Top Bottom