Urusi yazidiwa, Yaomba wapiganaji wa kujitolea kutoka mataifa ya kigeni

Urusi yazidiwa, Yaomba wapiganaji wa kujitolea kutoka mataifa ya kigeni

Anachofanya hapo ni kuajiri watu kutoka syria ambao wa uzoefu wa vita za mijini kwenye watu wengi na wanajeshi wanaojificha nyuma ya raia. So technically hajazidiwa ila anabadili mbinu kwa sbb adui anajificha nyuma ya raia na yeye inaonekana hataki kuangamiza raia weng kwenye hii vita ndo maana yuko slow but sure
Mhuu wewe si mkweli kwani Russia wanapiga makazi ya watu. Putin is butcher
 
Back
Top Bottom