Anachofanya hapo ni kuajiri watu kutoka syria ambao wa uzoefu wa vita za mijini kwenye watu wengi na wanajeshi wanaojificha nyuma ya raia. So technically hajazidiwa ila anabadili mbinu kwa sbb adui anajificha nyuma ya raia na yeye inaonekana hataki kuangamiza raia weng kwenye hii vita ndo maana yuko slow but sure