Vipi ubaguzi wa warusi na wachina dhidi ya mtu mweusi wanaeamini kuwa ni nyani. Umewahi kuona mtu mweusi anapocheza mpira Russia vitimbi anavyofanyiwa.Sasa unachotaka kusema ni nin? Marekani hakuna wayahudi au?
Tafuta data uone, US kuna wayahudi zaidi ya milioni 10, na jimbo lenye wayahudi wengi US ni California.
Jimbo la California ndio lenye cases nyingi za kibaguzi kuliko majimbo mengine US.
Njoo na fact zako tuone kati ya mimi na wewe nani anayeleta uharo!
Kenya walishapigwa mkwaraHuyu Putin tukimuendekeza atakuja kutupiga mkwara na sie huku
Anazidiwa GDP na CalforniaNa masikini ni mtu anayeshindwa kubadili rasilimali alizonazo kuwa pesa, Urusi pamoja na rasilimali zote alizonazo lakini anazidiwa uchumi na South Korea.
Kichapo kwao kitaendelea ni swala la muda tuSweden , Finland , Ukraine zote zitajiunga NATO ni suala la mda tu.
Huoni nchi ya Ukraine inavyozidi kuchakaa!!There is no turning back,enzi zile za kuwapiga mkwara na wakatii zimeshapita,Ukraine kafungua pandora box la Russia
Kwani umeambiwa Putin anatafuta uchumba!!!?Halafu inaonesha analazimisha urafiki. Watu hawakupendi mnalazimisha urafiki kuwa utawapiga.
ππππ et waπΊπ¦πΊπ¦
mweusi. nmecheka sana mkuu . you made my day πππ
Dr shika alikua Dr pale Russia pia alikua anamiliki kampuni ya madawa na chemicals ya lancefort. Familia ya GSM wana kampuni pale china inayoingiza na kutoa bidhaa duniani.. tukiwaambia nyinyi ni mbumbumbu mnazani tunawatukana.Russia au China mtu mweusi hawezi kuruhusiwa hata kufanya kazi ya usafi kwenye choo cha stendi iwe ni Moscow au Beijing kwa sababu wanafahamu huyo sio binadamu ila ni linyani fulani tu vile. Hao siyo watu ila ni wanafiki wakubwa.
Mtachakazwa hata waukrain wa buza shauri yenuπThere is no turning back,enzi zile za kuwapiga mkwara na wakatii zimeshapita,Ukraine kafungua pandora box la Russia
Kwa hiyo waafirika wanao ishi Urusi na China huwa unawalisha ww na baba yako sio?Russia au China mtu mweusi hawezi kuruhusiwa hata kufanya kazi ya usafi kwenye choo cha stendi iwe ni Moscow au Beijing kwa sababu wanafahamu huyo sio binadamu ila ni linyani fulani tu vile. Hao siyo watu ila ni wanafiki wakubwa.
Sijasikia binafsi ubaguzi kwa wacheza soka Russia au Uchina, nachokumbuka mchezaji mmoja wa enzi hizo Thiery Henry ndio aliwahi kufanyiwa vitu kama hivyo lakini haikua Russia wala China.Vipi ubaguzi wa warusi na wachina dhidi ya mtu mweusi wanaeamini kuwa ni nyani. Umewahi kuona mtu mweusi anapocheza mpira Russia vitimbi anavyofanyiwa.
Ww jamaa ndio maana nakuita shoga maana una tabia za kukurupuka kama shoga.
Hapo kuna sehemu huyo mpuuzi mwenzako kaandika S.Afrika?
Ngoja nikuelimishe GDP ya S.Afrika ni billion 370$ wakati GDP ya Urusi ni zaidi trion1.7$ sasa hapo kamzidi wapi?
Yaani uchumi wa S.afrika ni sawa na asilimia 60 tu ya uchumi wa jiji la Moscow. kabla hujaongea jambo huwe unajielimisha kwanza sio kulopoka hovyo.
Vipi jamani hazijajiunga tu
Kwa ule mkwara nikajua zinajiungaZilikua kelele tu za chura bwawani