Urusi yazipa onyo Finland na Sweden mpango wao wa kujiunga na NATO

Urusi yazipa onyo Finland na Sweden mpango wao wa kujiunga na NATO

kiduku ameandaliwa kupiga washngtn... ndio maana marekani amekuwa mpole... huku hajui china atapiga wapi.... hahahahahahahah
United states yaan zipo states 54 , aya anza kutupangia mlivyopeana majukumu
 
Vita ya tatu ya dunia inafuata na sio vita tu bali ni vita ya nuclear.
Putin sio mtu pekee mwenye nuclear weapons lakini ndio mtu pekee mwenye will na uwezo wa kuzitumia na ndio sababu amewapa onyo.
psychologically mtu anapotoa onyo basi anamaanisha tayari anajua nini cha kufanya kinachompa ubavu wa kutoa onyo lakini hapo hapo hataki kufanya hicho kitu.

Kama Putin atabanwa kila sehemu na wao kukataa hilo onyo means option pekee iliyobaki ni kudrop nuke somewhere ili kurestore order na hicho ndicho kinachoenda kutokea.
 
Na masikini ni mtu anayeshindwa kubadili rasilimali alizonazo kuwa pesa, Urusi pamoja na rasilimali zote alizonazo lakini anazidiwa uchumi na South Korea.
Ajabu hii,una maanisha uchumi wa south Korea ni mkubwa kuliko wa urusi YOTE na ukubwa wake na teknolojia zake?
 
Nani anakaa upande wa masikini, watu wanataka kuwa karibu na matajiri, na Russia kama anataka watu wawe upande wake basi atajirike kwanza, aige mfano wa US na China.
Safi kabisa.
 
Mimi nlitaka kukukumbusha kuwa kigezo cha watu weusi kuuwawa🇺🇸🇺🇸 kwa kupigwa risasi isipelekee Ku genenalize kuwa hakuna nchi ya kibaguzi kama 🇺🇸.
USA watu kumiliki siraha ni swala la kawaida sana . nafikiri ni chi ambayo RAIA wake wengi wanamiliki siraha za moto .sasa katika mazingira hayo utaona kuwa swala la mauaji ni kitu ambacho hakikwepeki .
Jamaa wanauana sana hadi marais kibao wameuawa kwa kupigwa risasi na RAIA. Sema issue inakuja anapopigwa black watu mnahusisha na ubaguzi wa rangi.
Kuna mtanzania mwaka Jana kamuua black mwenzie huko
🇺🇸🇺🇸 je ulisikia kelele na maandamano kutoka kwa black wenzie?
Na statics inaonyesha kuwa vifo vingi vya black americans vinasababishwa na black wenzao. Na ndio kundi linaloongoza kwa mauaji likifatiwa na latin
 
Haaa watz buana.

Unaiita Urusi masikini lakini hapo ulipo unaugulia maumivu ya Urusi kuwa vitani.

Una sema Urusi ni maskini wakati asilimia 90 ya silaha zinazo kulinda wewe na taifa lako zina toka Urusi.

Unasema Urusi ni maskini wakati uchumi wa taifa lako ni sawa na asilimia 2 tu ya Uchumi wa Urusi.

Una sema Urusi ni maskini wakati ina tengeneza kuanzia ndege,magari,silaha za kila aina,vifaa vya Umeme, ni msambazaji wa chakula mkubwa duniani,msambazaji mkubwa wa nishati duniani tena kwa kutumia makampuni yake yenyewe, ndio msambazaji mkubwa wa mbolea duniani, wakati nchi yako hata kujenga vyoo shuleni imeshindwa.

Leo benki ya dunia imetoa tahimini ya kwamba biashara na Uchumi wa dunia utaporomoka kutokana na Urusi kuwa vitani.
Ila anatokea mla mkande mmoja kutoka ukerewe asiye jua kesho atakula nn yeye na familia yake anasema Russia ni Masikini.

Sasa tukikuita punguani tutakuwa tume kuonea?
pro🇷🇺🇷🇺🇷🇺 wepesi kupaniki sana , jamaa kakuuliza 🇷🇺🇷🇺 ambaye ana kila kitu nchini kwake. Analisha 🌍 nzima . inakuaje uchumi wake azidiwe na south Africa🇿🇦🇿🇦? 😂😂😂😂
 
Na statics inaonyesha kuwa vifo vingi vya black americans vinasababishwa na black wenzao. Na ndio kundi linaloongoza kwa mauaji likifatiwa na latin
🙏🙏🙏mkuu . kwa kweli humu jukwaani tunamtihani na hawa jamaa . si jui nani anawalisha sumu kuhusu 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 yaani wanachuki ya kiwango cha juu .🏃🏃🏃🏃
 
Dogo bora ukojoe ukalale, pale juu umesema Marekani inaongoza kwa ubaguzi, hujatawadha vizuri , unasema wayahudi wanaongoza kwa ubaguzi. Nakushauri ukojoe ukalale kuliko kuleta uharo hapa.
Wewe ndio unaleta uharo. Tafuta data uone, California ndio jimbo lenye Wayahudi wengi kwa Marekani na ndilo jimbo lenye kiasi kikubwa cha ubaguzi katika US nalo utabisha?
Then find out mim na wew nani anaharisha.
 
Yaani watu wanaamini Urusi inaweza ikapigana vita pande zote na kila mtu.
Hata mimi naamini hivyo. Hasa baada yakuona Marekani na wenzake wanaounda NATO wanaona wakiwa 30 hawamuwezi Russia, wanahangaika kutafuta nchi zingine Jirani na Urusi ili kuongeza nguvu.
Russia sio Somalia

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
pro[emoji635][emoji635][emoji635] wepesi kupaniki sana , jamaa kakuuliza [emoji635][emoji635] ambaye ana kila kitu nchini kwake. Analisha [emoji288] nzima . inakuaje uchumi wake azidiwe na south Africa[emoji1221][emoji1221]? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ww jamaa ndio maana nakuita shoga maana una tabia za kukurupuka kama shoga.
Hapo kuna sehemu huyo mpuuzi mwenzako kaandika S.Afrika?

Ngoja nikuelimishe GDP ya S.Afrika ni billion 370$ wakati GDP ya Urusi ni zaidi trion1.7$ sasa hapo kamzidi wapi?

Yaani uchumi wa S.afrika ni sawa na asilimia 60 tu ya uchumi wa jiji la Moscow. kabla hujaongea jambo huwe unajielimisha kwanza sio kulopoka hovyo.
 
Dogo bora ukojoe ukalale, pale juu umesema Marekani inaongoza kwa ubaguzi, hujatawadha vizuri , unasema wayahudi wanaongoza kwa ubaguzi. Nakushauri ukojoe ukalale kuliko kuleta uharo hapa.
Sasa unachotaka kusema ni nin? Marekani hakuna wayahudi au?
Tafuta data uone, US kuna wayahudi zaidi ya milioni 10, na jimbo lenye wayahudi wengi US ni California.

Jimbo la California ndio lenye cases nyingi za kibaguzi kuliko majimbo mengine US.

Njoo na fact zako tuone kati ya mimi na wewe nani anayeleta uharo!
 
Acha uzushi hv kunanchi gan nje yabara la afrika ambako mweusi anaheshimika kama US japo mapungufu yapo, wamefikia had kutoa rais mweny asil yaweusi, wapo mastaa kibao kwenye nyanja mbalmbal niblacks hii huwez kuikuta popote huko urussi, china, india au uarabun
Russia au China mtu mweusi hawezi kuruhusiwa hata kufanya kazi ya usafi kwenye choo cha stendi iwe ni Moscow au Beijing kwa sababu wanafahamu huyo sio binadamu ila ni linyani fulani tu vile. Hao siyo watu ila ni wanafiki wakubwa.
 
Back
Top Bottom