Uchaguzi 2020 US Ambassador to Tanzania: I am concerned, if election officials do not take necessary steps, country's democracy will lose credibility

Uchaguzi 2020 US Ambassador to Tanzania: I am concerned, if election officials do not take necessary steps, country's democracy will lose credibility

Ana wasiwasi mapandikizi yao yatashindwa.

Kwa kifupi ndio yameshashindwa! Tena atulie kabisa watanzania wanajua wanachokitaka

Hatupangiwi
Watanzania wa wapi unawasemea? Watanzania wenye Akili timamu wapo sambamba na Ubalozi wa America kwani wamefanya vizuri kuwabeep Msajiliccm na NECCCM Tumeccm ambao ni vyombo binafsi vya CCM vinavyotumika kuwahujumu wapinzani
 
Kateni misaada na mikopo vinginevyo mambo haya kamwe hayatakoma.

Sijui kwanini nchi wahisani wanashindwa kuweka shariti la kutoa misaada na mikopo kuwa ni lazima nchi husika iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na makundi yote.

Ningekuwa na ushawishi, ningeanzisha movement ya kuzitaka nchi tajiri na mashirika ya fedha ya kimataifa kuweka shariti kwamba, kila nchi inayotaka msaada au mkopo, ni shariti nchi hiyo iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na wadau wote wa uchaguzi katika nchi hiyo.

Au kama hili gumu,basi movement yangu nyingine ingekuwa ni kuzishawishi nchi hizi kuweka shariti linaloweza kuwa kama incentive ambapo nchi yenye kuonyesha demokrasia ya kweli, kwa kuwa na Tume Huru na Katiba inayokubalika na makundi yote katika nchi, inakuwa ni moja ya kigezo kwa nchi husika kupunguziwa au kufutiwa madeni.

Jitihada za nchi wahisani na mashirika ya fedha ya kimataifa za kuondoa umasikini katika mataifa yanayoendelea, hasa Afrika, haziwezi kufanikiwa iwapo katika nchi hizi hakuna demokrasia ya kweli, hivyo kuna ulazima wa kulazimisha nchi hizi kuwa na demokrasia vinginevyo maendeleo yatachukuwa muda mrefu kufikiwa katika nchi hizi.

Demokrasia ya kweli inafanya watawala wawajibike kwa watu wao na nchi zao na hivyo kuwezesha maendeleo kupatikana kwa haraka zaidi.
Katiba mpya iruhusu kuwa na Tume huru ya uchaguzi yenye waajiriwa toka mataifa mbalimbali Duniani ili kuepuka haya ya CCM ya sasa
 
Mwaka huu kazi ipo.

Marekani watusaidie tuondokane na jinamizi ccm, chama kimetufukarisha miaka 60 ya uhuru kila siku kinajiita chama cha wanyonge. Kila miaka watanzania ni wanyonge tu.

Umoja wa mataifa ingilieni kutusaidia, umasikini utatuua chini ya ccm.
Tokea mwaka 1961 watu wameichoka CCM waondoke sasa vyama vingine vitawale
 
Hivi amemshauri Trump kuhusu wizi wa kura akisaidiana na warusi #blacklivesmatter
Kwani America wakitoa msaada wa pesa kwa Tanzania huko kwao shida zimekwisha? Kwani marekani hakuna masikini?
 
Hawa jamaa ni noma! Kumbe wana taarifa zote mpaka za wakati huu mawakala wetu wanavyosumbuliwa na kunyanyaswa.
Mimi kama mtanzania mpenda haki naunganga na Marekani katika kudai uchaguzi ulio huru na wa haki!
Wapelelezi wa ICC Scotland Yard CIA wapo Tanzania kitambo miezi kibao kabla ya kampeni wanafuatilia kila kitu wale Polisiccm OCD wote wanaoshiriki vitendo vya kuwapiga mabomu wapinzani watafikishwa ICC The Hague mara baada ya uchaguzi mkuu
 
Unadhani Marekani ni kama Tanzania ya Jiwe ambapo nyie mnamchukulia Jiwe kama kila kitu???😂😂😂

Mwaka huu ndo mtawajua Marekani. Si mmewachezea sana sharubu eeeh??
America wameseti satellite zote zinaiangalia Tanzania wapo watanzania wameingizwa CIA na FBI kisha kurejwa Tanzania kufanya kazi mitaani kwa Lugha ya Kiswahili pasipo kujulikana
 
Kuna hatari ya nchi yetu kuwa playground ya mataifa makubwa na hii ni hatari katka historia ya nchi yetu. Tuchukue tahadhari.
Tumeruhusu matumbo yafikirie badala ya vichwa, matokeo yake tutayapata tu.
 
Anawachochea wajinga wenzie wanaoabudu amerika na ulaya
Hata tusio na vyama tunaona maovu yanayofanyika waziwazi.
Hii inatufanya tuamini wanacholalamikia wapinzani wenu. Mimi huwa sipendi kabisa uonevu, dhurma , ukatili ,mauaji na mambo yanayofanana nayo. Wewe unajua vizuri lakini unayafurahia kwasababu tu ya ubinafsi wako.
Mnafanya dhambi zenye laana. Nyinyi mnaweza fanikiwa lakini kizazi chenu kitalipizwa haya maovu yenu.
Kwa mtu asiye mshabiki wa vyama anayaona vizuri kabisa.
Tubuni mkiwa bado mna nafasi hiyo.
 
Mwaka huu kazi ipo.

Marekani watusaidie tuondokane na jinamizi ccm, chama kimetufukarisha miaka 60 ya uhuru kila siku kinajiita chama cha wanyonge. Kila miaka watanzania ni wanyonge tu.

Umoja wa mataifa ingilieni kutusaidia, umasikini utatuua chini ya CCM.
Story ya kufikirika
 
America wameseti satellite zote zinaiangalia Tanzania wapo watanzania wameingizwa CIA na FBI kisha kurejwa Tanzania kufanya kazi mitaani kwa Lugha ya Kiswahili pasipo kujulikana
Tatizo la Ccm wanadhani Marekani ni kama Kenya au Rwanda wanaowafungia mipaka na kujibishana nao.

Hawajui kwa nini wanaitwa wababe wa dunia. Wamewashika sana sharubu sasa mwaka huu ndo wataeleza!!
 
Watanzania wenye akili timamu (WWAT) hawapo sambamba na Ubalozi wa Marekani, nakwambia WWAT wanakwenda kumchagua Magufuli 10/28/2020
Watanzania wa wapi unawasemea? Watanzania wenye Akili timamu wapo sambamba na Ubalozi wa America kwani wamefanya vizuri kuwabeep Msajiliccm na NECCCM Tumeccm ambao ni vyombo binafsi vya CCM vinavyotumika kuwahujumu wapinzani
 
Tukutane kwenye sanduku la kura 28102020View attachment 1609035View attachment 1609035
Mkuu, mbona unadanganyika kirahisi hivyo kwa propaganda nyepesi?

Hizo takwimu zingekuwa kweli jiwe angekuwa anahaha hadi kupiga magoti jukwaani, kutumia wasanii, kusomba wahudhuriaji mikutano kwa malori, kuminya Uhuru wa wapinzani, nk?

Uchaguzi ukiwa huru na haki, kura za ccm hazitazidi 30%
 
Kwani America wakitoa msaada wa pesa kwa Tanzania huko kwao shida zimekwisha? Kwani marekani hakuna masikini?
Kama unatumia akili basi utakua ushajijibu...Sasa jiulize kwanini Tanzania now
 
Naona Resolution nyingine kutoka US senate ambayo ipo sponsored na Senator Bob Menendez imetoka leo kuzungumzia demokrasia Nchini na wamependekeza vikwazo kwa Tanzania
 
Back
Top Bottom