Watanzania wa wapi unawasemea? Watanzania wenye Akili timamu wapo sambamba na Ubalozi wa America kwani wamefanya vizuri kuwabeep Msajiliccm na NECCCM Tumeccm ambao ni vyombo binafsi vya CCM vinavyotumika kuwahujumu wapinzaniAna wasiwasi mapandikizi yao yatashindwa.
Kwa kifupi ndio yameshashindwa! Tena atulie kabisa watanzania wanajua wanachokitaka
Hatupangiwi
Katiba mpya iruhusu kuwa na Tume huru ya uchaguzi yenye waajiriwa toka mataifa mbalimbali Duniani ili kuepuka haya ya CCM ya sasaKateni misaada na mikopo vinginevyo mambo haya kamwe hayatakoma.
Sijui kwanini nchi wahisani wanashindwa kuweka shariti la kutoa misaada na mikopo kuwa ni lazima nchi husika iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na makundi yote.
Ningekuwa na ushawishi, ningeanzisha movement ya kuzitaka nchi tajiri na mashirika ya fedha ya kimataifa kuweka shariti kwamba, kila nchi inayotaka msaada au mkopo, ni shariti nchi hiyo iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na wadau wote wa uchaguzi katika nchi hiyo.
Au kama hili gumu,basi movement yangu nyingine ingekuwa ni kuzishawishi nchi hizi kuweka shariti linaloweza kuwa kama incentive ambapo nchi yenye kuonyesha demokrasia ya kweli, kwa kuwa na Tume Huru na Katiba inayokubalika na makundi yote katika nchi, inakuwa ni moja ya kigezo kwa nchi husika kupunguziwa au kufutiwa madeni.
Jitihada za nchi wahisani na mashirika ya fedha ya kimataifa za kuondoa umasikini katika mataifa yanayoendelea, hasa Afrika, haziwezi kufanikiwa iwapo katika nchi hizi hakuna demokrasia ya kweli, hivyo kuna ulazima wa kulazimisha nchi hizi kuwa na demokrasia vinginevyo maendeleo yatachukuwa muda mrefu kufikiwa katika nchi hizi.
Demokrasia ya kweli inafanya watawala wawajibike kwa watu wao na nchi zao na hivyo kuwezesha maendeleo kupatikana kwa haraka zaidi.
Tokea mwaka 1961 watu wameichoka CCM waondoke sasa vyama vingine vitawaleMwaka huu kazi ipo.
Marekani watusaidie tuondokane na jinamizi ccm, chama kimetufukarisha miaka 60 ya uhuru kila siku kinajiita chama cha wanyonge. Kila miaka watanzania ni wanyonge tu.
Umoja wa mataifa ingilieni kutusaidia, umasikini utatuua chini ya ccm.
Kwani America wakitoa msaada wa pesa kwa Tanzania huko kwao shida zimekwisha? Kwani marekani hakuna masikini?Hivi amemshauri Trump kuhusu wizi wa kura akisaidiana na warusi #blacklivesmatter
Tayari nyambizi kubwa zipo kenya mombasa wanasubiria waone uchaguzi utaendajeBalozi aache mikwara mbuzi!
Wapelelezi wa ICC Scotland Yard CIA wapo Tanzania kitambo miezi kibao kabla ya kampeni wanafuatilia kila kitu wale Polisiccm OCD wote wanaoshiriki vitendo vya kuwapiga mabomu wapinzani watafikishwa ICC The Hague mara baada ya uchaguzi mkuuHawa jamaa ni noma! Kumbe wana taarifa zote mpaka za wakati huu mawakala wetu wanavyosumbuliwa na kunyanyaswa.
Mimi kama mtanzania mpenda haki naunganga na Marekani katika kudai uchaguzi ulio huru na wa haki!
America wameseti satellite zote zinaiangalia Tanzania wapo watanzania wameingizwa CIA na FBI kisha kurejwa Tanzania kufanya kazi mitaani kwa Lugha ya Kiswahili pasipo kujulikanaUnadhani Marekani ni kama Tanzania ya Jiwe ambapo nyie mnamchukulia Jiwe kama kila kitu???😂😂😂
Mwaka huu ndo mtawajua Marekani. Si mmewachezea sana sharubu eeeh??
Tumeruhusu matumbo yafikirie badala ya vichwa, matokeo yake tutayapata tu.Kuna hatari ya nchi yetu kuwa playground ya mataifa makubwa na hii ni hatari katka historia ya nchi yetu. Tuchukue tahadhari.
Hata tusio na vyama tunaona maovu yanayofanyika waziwazi.Anawachochea wajinga wenzie wanaoabudu amerika na ulaya
Story ya kufikirikaMwaka huu kazi ipo.
Marekani watusaidie tuondokane na jinamizi ccm, chama kimetufukarisha miaka 60 ya uhuru kila siku kinajiita chama cha wanyonge. Kila miaka watanzania ni wanyonge tu.
Umoja wa mataifa ingilieni kutusaidia, umasikini utatuua chini ya CCM.
Tatizo la Ccm wanadhani Marekani ni kama Kenya au Rwanda wanaowafungia mipaka na kujibishana nao.America wameseti satellite zote zinaiangalia Tanzania wapo watanzania wameingizwa CIA na FBI kisha kurejwa Tanzania kufanya kazi mitaani kwa Lugha ya Kiswahili pasipo kujulikana
Watanzania wa wapi unawasemea? Watanzania wenye Akili timamu wapo sambamba na Ubalozi wa America kwani wamefanya vizuri kuwabeep Msajiliccm na NECCCM Tumeccm ambao ni vyombo binafsi vya CCM vinavyotumika kuwahujumu wapinzani
Mkuu, mbona unadanganyika kirahisi hivyo kwa propaganda nyepesi?Tukutane kwenye sanduku la kura 28102020View attachment 1609035View attachment 1609035
Wangezileta tu hapa mwambao wa Tz maana mkoloni mweusi bila kibanio ni mzito kuelewaTayari nyambizi kubwa zipo kenya mombasa wanasubiria waone uchaguzi utaendaje
Pamoja na wakurugenzi wanaofanya hujuma kusaidia ccmPolisiccm OCD wote wanaoshiriki vitendo vya kuwapiga mabomu wapinzani watafikishwa ICC The Hague mara baada ya uchaguzi mkuu
Ni wa ajabu kwa matagaNa wewe sio mtu wa ajabu?
Kama unatumia akili basi utakua ushajijibu...Sasa jiulize kwanini Tanzania nowKwani America wakitoa msaada wa pesa kwa Tanzania huko kwao shida zimekwisha? Kwani marekani hakuna masikini?
👍👍Nimeku quote mkuu, nitarudi tuongee