US Dollar sasa ni 2600. Airport Haipo

US Dollar sasa ni 2600. Airport Haipo

Ukienda kariakoo zaidi ya 75% ya vitu vinavyouzwa ni imported..means tunatumia dola zaidi kuagiza vitu(demand ya dola ni kubwa ku support supply ya bidhaa kutoka nje).

Nini kifanyike?
1. Tungeanza kwa kuongeza export ili tupate inflow ya dola...
2. Tungepunguza importation kwa kuongeza viwanda vya ndani
3. Tungetumia gas asilia kwenye magari ili kuokoa dola zinazotumika ku nunua mafuta.
4. Ban importation ya mafuta ya kula na mazao yote ya kilimo ili ku save vijidola vichache tulivyibakiza...after 60yrs of independent na kua na inchi yenye rutuba na maji ya kutosha sioni sababu ya kuagiza misosi nje...ni aibu.

Otherwise tuendelee kulaumiana while doing nothing in the process.
.
JamiiForums914827189.jpg
 
Wadau.

Daktari wetu wa uchumi anasemaje huko?. Dollar sasa imeadimika sana na inazidi kupaa tu. Kiufupi sasa uchumi wetu unachuchumia kifo. Hapa Aiport ya Dar haipatikani imebidi niagize mtu KARIAKOO na hiyo ndio bei. Yaani nilikuwa na Milion yangu nimeambulia dollar 385.

Tuwe makini sana. Maana sasa hata bajet ya tr 40+ sio kitu tena kama tunategemea kununua vitu nje ya nchi.

Mambo ni moto kila kona.
Hapo kuna madalali wanafanya yao
 

Attachments

  • 20230713_165913.jpg
    20230713_165913.jpg
    203 KB · Views: 6
Na tabia hii ya kupenda kufanyiwa na kuletewa kila kitu / tutegee itandelea kuadimika / kupanda..

Tatizo la short term thinking....; tungekuwa wazalishaji tungeshangilia hata pale pesa yetu inavyokuwa chini in comparison na wenzetu
 
wenda mmarekani anakusanya pesa yake anawaonesha dunia kwamba yeye ndo kusema, state house iko marekani lakin anaamua mnyakusa TZ anunue sukari kwa bei ghan
 
Tazama hapo jama karusha ubao mzima .Selling rate inaonyesha 2345 wakati commercial banks rate ipo kwenye 2350 na wanasema very soon itashoot 3000 kwa kuipata USD moja. Nafikiri tuhamie kwingine tu.
Suala la kuhamia 'kwingine' sio la wewe kufikiri tu.
 
Ukienda kariakoo zaidi ya 75% ya vitu vinavyouzwa ni imported..means tunatumia dola zaidi kuagiza vitu(demand ya dola ni kubwa ku support supply ya bidhaa kutoka nje).

Nini kifanyike?
1. Tungeanza kwa kuongeza export ili tupate inflow ya dola...
2. Tungepunguza importation kwa kuongeza viwanda vya ndani
3. Tungetumia gas asilia kwenye magari ili kuokoa dola zinazotumika ku nunua mafuta.
4. Ban importation ya mafuta ya kula na mazao yote ya kilimo ili ku save vijidola vichache tulivyibakiza...after 60yrs of independent na kua na inchi yenye rutuba na maji ya kutosha sioni sababu ya kuagiza misosi nje...ni aibu.

Otherwise tuendelee kulaumiana while doing nothing in the process.
Kwani ni lazima tuimport bidhaa ili kupata dollar?

Je tukiongeza idadi ya watalii mpaka milion 7 huko hautapata inflow ya dollars.

NB
Mimi siyo mchumi nimeuliza kwa lengo la kujifunza tu.
 
Kwani ni lazima tuimport bidhaa ili kupata dollar?

Je tukiongeza idadi ya watalii mpaka milion 7 huko hautapata inflow ya dollars.

NB
Mimi siyo mchumi nimeuliza kwa lengo la kujifunza tu.
sio kama dollar inchin haipatikani inapatikana lakin matumizi ya kuitumia ni makubwaa sanaa kuliko yanayo ingia itaadimika tu, worldwide uchumi ukikaba na nchi yetu tunategemea watalii inakuwaje sasa na mpaka toothsticks tunaagiza china kwa dollar.
 
Huyo Rutto alikuwa kashiba maharage ya Mbeya! Kwa puttin leo imepanda mpaka Ruble 90.22, kwa Mchina inasoma 7.17. Na jamaa wanazidi kuifanya ipande thamani tu mpaka watakapoona imetosha
Kwamba kila kitu mnakijua na mnaweza kukijadili kama mnavofanya kwa DP world. Mkiambiwa elimu na utulivu ni muhimu mnawaka.
 
Back
Top Bottom