US Dollar sasa ni 2600. Airport Haipo

US Dollar sasa ni 2600. Airport Haipo

Ukienda kariakoo zaidi ya 75% ya vitu vinavyouzwa ni imported..means tunatumia dola zaidi kuagiza vitu(demand ya dola ni kubwa ku support supply ya bidhaa kutoka nje).

Nini kifanyike?
1. Tungeanza kwa kuongeza export ili tupate inflow ya dola...
2. Tungepunguza importation kwa kuongeza viwanda vya ndani
3. Tungetumia gas asilia kwenye magari ili kuokoa dola zinazotumika ku nunua mafuta.
4. Ban importation ya mafuta ya kula na mazao yote ya kilimo ili ku save vijidola vichache tulivyibakiza...after 60yrs of independent na kua na inchi yenye rutuba na maji ya kutosha sioni sababu ya kuagiza misosi nje...ni aibu.

Otherwise tuendelee kulaumiana while doing nothing in the process.
Kuna watu hawata kuelewa zaidi ya lawama kwa mama wa watu.
 
No nilikokuwa napeleka ni kiwandani hawataki nyingine tofauti na usd
Ok kuna kipindi dollar ilileta shida. Nikaachana nazo nikakimbizana na pounds watu wengi walikuwa hawajui. Na ret ilikuwa poa sema uwe makin tu unaweza kuingia cha kike.
 
Acha ujuaji dogo, kwani kama mda ndo kakutumia kutoka bank ndo uhalisia au
Hizo za BOT hazifanyi kazi. Zinazofanya kazi ni hizo za CRDB na kwingine. BOT ishakuwa siasa tu pale.
 
Exchange rate ya mtabdaoni inasoma 2448
Hata mimi nimeona kitu kama hicho

1689538913288.png
 
Wadau.

Daktari wetu wa uchumi anasemaje huko?. Dollar sasa imeadimika sana na inazidi kupaa tu. Kiufupi sasa uchumi wetu unachuchumia kifo. Hapa Aiport ya Dar haipatikani imebidi niagize mtu KARIAKOO na hiyo ndio bei. Yaani nilikuwa na Milion yangu nimeambulia dollar 385.

Tuwe makini sana. Maana sasa hata bajet ya tr 40+ sio kitu tena kama tunategemea kununua vitu nje ya nchi.

Mambo ni moto kila kona.
Duh tutoe bandari haraka
 
Ukienda kariakoo zaidi ya 75% ya vitu vinavyouzwa ni imported..means tunatumia dola zaidi kuagiza vitu(demand ya dola ni kubwa ku support supply ya bidhaa kutoka nje).

Nini kifanyike?
1. Tungeanza kwa kuongeza export ili tupate inflow ya dola...
2. Tungepunguza importation kwa kuongeza viwanda vya ndani
3. Tungetumia gas asilia kwenye magari ili kuokoa dola zinazotumika ku nunua mafuta.
4. Ban importation ya mafuta ya kula na mazao yote ya kilimo ili ku save vijidola vichache tulivyibakiza...after 60yrs of independent na kua na inchi yenye rutuba na maji ya kutosha sioni sababu ya kuagiza misosi nje...ni aibu.

Otherwise tuendelee kulaumiana while doing nothing in the process.
Serikali imeipa China eneo pale Ubungo wajenge maduka 2060
Hayo maduka yatakuwa yanauza bidhaa kutoka China tu, maana yake ni kuwa importation itaongezeka zaidi badala ya Export na Reexport
 
Na tabia hii ya kupenda kufanyiwa na kuletewa kila kitu / tutegee itandelea kuadimika / kupanda..

Tatizo la short term thinking....; tungekuwa wazalishaji tungeshangilia hata pale pesa yetu inavyokuwa chini in comparison na wenzetu
Aliyekuwa anahamasisha tujitengenezee vyetu ndo huyo tulishamfukia, Wengine ni kama hawalioni hili, hatuna bahati watz.
 
Back
Top Bottom