kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,204
- 8,315
Kaka ikishindikana Dollar Nunua pounds au Euro. Piga hesabu tu vizurMi ilibidi niombe mpakani na hawataki ipite kwenye account
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka ikishindikana Dollar Nunua pounds au Euro. Piga hesabu tu vizurMi ilibidi niombe mpakani na hawataki ipite kwenye account
Ungetred na nani kama wenyewe tu hawaiamini?Kwani sasa anamukomoa nani? Ingekuwa amri yangu tungeanza ku trade na Chinese Yen!!!
Kuna watu hawata kuelewa zaidi ya lawama kwa mama wa watu.Ukienda kariakoo zaidi ya 75% ya vitu vinavyouzwa ni imported..means tunatumia dola zaidi kuagiza vitu(demand ya dola ni kubwa ku support supply ya bidhaa kutoka nje).
Nini kifanyike?
1. Tungeanza kwa kuongeza export ili tupate inflow ya dola...
2. Tungepunguza importation kwa kuongeza viwanda vya ndani
3. Tungetumia gas asilia kwenye magari ili kuokoa dola zinazotumika ku nunua mafuta.
4. Ban importation ya mafuta ya kula na mazao yote ya kilimo ili ku save vijidola vichache tulivyibakiza...after 60yrs of independent na kua na inchi yenye rutuba na maji ya kutosha sioni sababu ya kuagiza misosi nje...ni aibu.
Otherwise tuendelee kulaumiana while doing nothing in the process.
Kaka ikishindikana Dollar Nunua pounds au Euro. Piga hesabu tu vizur
Ok kuna kipindi dollar ilileta shida. Nikaachana nazo nikakimbizana na pounds watu wengi walikuwa hawajui. Na ret ilikuwa poa sema uwe makin tu unaweza kuingia cha kike.No nilikokuwa napeleka ni kiwandani hawataki nyingine tofauti na usd
Rutoo atapigwaa spanner mpata aite maji mmaKitu USA anafanya anajua mwenyewe.
Wakati Ruto alisema dola itakuwa value less na kila mtu atakosa pakuipeleka, ndio kwanza inaanza kuadimika.
Acha ujuaji dogo, kwani kama mda ndo kakutumia kutoka bank ndo uhalisia auUnatetea Utumbo, kuna mdau kanitumia hii kutoka CRDB
Hata mimi nimeona kitu kama hichoExchange rate ya mtabdaoni inasoma 2448
Duh tutoe bandari harakaWadau.
Daktari wetu wa uchumi anasemaje huko?. Dollar sasa imeadimika sana na inazidi kupaa tu. Kiufupi sasa uchumi wetu unachuchumia kifo. Hapa Aiport ya Dar haipatikani imebidi niagize mtu KARIAKOO na hiyo ndio bei. Yaani nilikuwa na Milion yangu nimeambulia dollar 385.
Tuwe makini sana. Maana sasa hata bajet ya tr 40+ sio kitu tena kama tunategemea kununua vitu nje ya nchi.
Mambo ni moto kila kona.
Zimbabwe wakati ule ilikuwa ikisoma elfu 3 central bank.Mbona nimeingia BOT bado inasoma selling price ni 2336
Badala ya kutatua HOJA za wananchi, ndo kwanza anawaza uchaguzi wa 2025!!Joyce Banda mwingine ameingia Tanganyika
Sio kweli sokoni tunauza mpaka Tsh 2567....Mbona nimeingia BOT bado inasoma selling price ni 2336
Serikali imeipa China eneo pale Ubungo wajenge maduka 2060Ukienda kariakoo zaidi ya 75% ya vitu vinavyouzwa ni imported..means tunatumia dola zaidi kuagiza vitu(demand ya dola ni kubwa ku support supply ya bidhaa kutoka nje).
Nini kifanyike?
1. Tungeanza kwa kuongeza export ili tupate inflow ya dola...
2. Tungepunguza importation kwa kuongeza viwanda vya ndani
3. Tungetumia gas asilia kwenye magari ili kuokoa dola zinazotumika ku nunua mafuta.
4. Ban importation ya mafuta ya kula na mazao yote ya kilimo ili ku save vijidola vichache tulivyibakiza...after 60yrs of independent na kua na inchi yenye rutuba na maji ya kutosha sioni sababu ya kuagiza misosi nje...ni aibu.
Otherwise tuendelee kulaumiana while doing nothing in the process.
Mbona hatutoboi 2025 lazima itakuwa huko 3000+Na bado hadi ifike 3.000/-
Aliyekuwa anahamasisha tujitengenezee vyetu ndo huyo tulishamfukia, Wengine ni kama hawalioni hili, hatuna bahati watz.Na tabia hii ya kupenda kufanyiwa na kuletewa kila kitu / tutegee itandelea kuadimika / kupanda..
Tatizo la short term thinking....; tungekuwa wazalishaji tungeshangilia hata pale pesa yetu inavyokuwa chini in comparison na wenzetu
Naona voda 2538...hii ngoma bado mbichijuzi equity ni 2580,
Airtel kimtandao(virtual card) inafikia 2610
hongera sana sa100
Hao wanaosema kapigwa sijui kama wanajua wanachokiongeahakuna kupigwa hapo, izo ni bei za ubaoni
ingia ndani, chini ya 2550 niite mbwa