mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Kama uto vs rivers siyo?Hakuna kitu wanaenda kufanya hawa!!
yote ni matokeoMnaenda kupigwa 2
Wana mambo ya kifala sana hawa jamaa, ukiwaona unaweza dhani wapo serious kumbe hovyo tu, tuliopo nchi ya jirani tu hapa UG mpira ukianza tunakatiwa matangazo na hatuoni mpaka mechi inaisha. Sijui wanamaanisha nini mbuzi hawa.Mbona Azam sijaona ratiba ya kuonesha hii mechi??
Zbc2Mbona Azam sijaona ratiba ya kuonesha hii mechi??
[emoji23] ZBC 2 wapo hewaniWana mambo ya kifala sana hawa jamaa, ukiwaona unaweza dhani wapo serious kumbe hovyo tu, tuliopo nchi ya jirani tu hapa UG mpira ukianza tunakatiwa matangazo na hatuoni mpaka mechi inaisha. Sijui wanamaanisha nini mbuzi hawa.
[emoji1374]Zbc2
[emoji106]ZBC2
Tuliopo UG wanatukatia matangazo. Channel haioneshi mpaka mpira uishe.[emoji23] ZBC 2 wapo hewani