Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,664
- 2,810
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatoka mapangoni huko unakula saizi,timu yako huiamini?Sawa nabii wa siku za mwisho
Upo WapiHakuna kitu wanaenda kufanya hawa!!
Simbaaaa
sawaMnaweza kurudi na points 0.........maana sioni mtapata ushindi wapi.........
Simba sioni kupata ushindi Leo na RSB pale Morocco
Mtani Upo Mkoa Gani Saa HiziHilo halina ubishi
Simba Ni SimbaSimba nguvu moja mpira umeisha 1-1
basi ajikaze atusaidie kule Morroco. Kanoute ni soft sanaNaskia hii mechi lwanga alikuwa yupo katika hali nzuri ya kuweza kucheza ila jamaa ana msiba
UnasemaTayari simba ameshakaa.
Matatizo ya africa bado yapo vile vile.
Kupata matokeo away ni ngumu sana
Mkuu pressure zilikuwa zimepanda wengine ujue,leo tumeenda kufunga mageti ili tu kukwepa kuangalia dakika za mwisho mwishoNilisema hii mechi hatufungwi mkanibishia ona mngefata ushauri wangu mkabeti saizi mngekuwa na bei gani?
Ila hii match ilikuwa ya 3 kabisa basi tuNilisema hii mechi hatufungwi mkanibishia ona mngefata ushauri wangu mkabeti saizi mngekuwa na bei gani?