US Gendermerie 1 - 1 Simba Sc| CAF Confederation Cup | Stade General Seyni Kountche

US Gendermerie 1 - 1 Simba Sc| CAF Confederation Cup | Stade General Seyni Kountche

DJ niletee dogo aslay na ule wimbo wake naenda kusema kwa mama uwasindikize nyani fc hadi kwa mama samia

F894C7E5-6842-479E-B356-AA46F0B61B2E.jpeg
 
Mkuu tofautisha nigeria na naija hao wapika pombe sisi tulienda nigeria kwenye mpira umezaliwa wewe umeenda naija (niger) kwa walevi
Mashabiki wa Uto bana mnatia aibu aisee.
Hivi kwenye kumbukumbu zako aukumbuki Nigeria huko unakosema wewe"mpira umezaliwa huko",kuna timu tushawai kuipakata,kama auikumbuki sema nikutajie?
 
Yaani Kundi ni Jepesi Sana Kwa Simba
Ni kundi jepesi kwa Simba kama ikitokea yafuatayo.

1) Simba akatafute point moja ugenini kwa timu mojawapo kati ya Assec au kwa Berkane ili kumfanya timu moja wapo isiambulie point zote za nyumbani kwavile simba ina asilimia zaidi ya 90 kuchukua alama tisa wakiwa nyumbani

2) kama simba wakishindwa kupata alama moja ugenini kwa Assec au Berkane basi watalazimika kuwa waombaji wa mambo mawili la kwanza timu hizo mbili wenyewe kwa wenyewe watoke sare kwa mechi moja wapo na la pili isitokee timu zote mbili yaani Berkane na Assec wamfunge hawa wa Niger nje ndani
 
Ni kundi jepesi kwa Simba kama ikitokea yafuatayo.

1) Simba akatafute point moja ugenini kwa timu mojawapo kati ya Assec au kwa Berkane ili kumfanya timu moja wapo isiambulie point zote za nyumbani kwavile simba ina asilimia zaidi ya 90 kuchukua alama tisa wakiwa nyumbani

2) kama simba wakishindwa kupata alama moja ugenini kwa Assec au Berkane basi watalazimika kuwa waombaji wa mambo mawili la kwanza timu hizo mbili wenyewe kwa wenyewe watoke sare kwa mechi moja wapo na la pili isitokee timu zote mbili yaani Berkane na Assec wamfunge hawa wa Niger nje ndani
Mkuu naona kama umezunguka sana. Short cut ni kwamba Simba Sc ishinde mechi 2 za nyumbani.
 
Mkuu naona kama umezunguka sana. Short cut ni kwamba Simba Sc ishinde mechi 2 za nyumbani.
Hapana mkuu kwasbabu akishinda mechi za nyumbani pekee atakuwa na alama 10 kwa alama iliyopatikana leo
Tufanye Assec na Berkane nao wmeshinda mechi zote nyumbani watakuwa na alama 9 hapo huoni kuwa kitakachoamuliwa hapo ni nani aliyevuna point nyingi nyumbani kwa hawa wanaija? Kama Berkane na Assec watamfunga USGN nje ndani watakuwa wanapoint 12
 
Back
Top Bottom