kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
unakichwa kizito Sana mkuu utambue kwamba Us wanataka Putin abanwe au atengwe na kila taasisi ,hivyo G20 Kama wanauwezo wajichepetue wawe naeHakuna chochote!! Anaogopa macho ya Putin!! Alivyomwandama ataanzaje kumpa mkono hata ule wa unafiki?