Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 27
Hebu tembeeni na mfunguke macho maisha mnayoishi huko nyumbani si maisha watu wanavyoishi nchi nyingine! acheni kushabikia viongozi wabovu ambao wanaliletea taifa zima umasikini wa kutupwa...huku wao wakitalii na kufikia kwenye mahoteli ya gharama kubwa.
Wembe.
Ladislaus Modest,
Kasome tena hiyo Warumi and my friend in a polite manner try to find out the context why was Paul saying Obey the government, umechukua phrase out of context!
Ndugu yangu Wembe Mkali; hata hizo nchi nyingine unazotushauri tutembelee, walikuwa kama sisi wakati fulani miaka hiyo ya kabla ya Kristo; Nasi pia siku moja tutakuwa kama wao.
Mkuu BAK, heshma mbele
Naomba nikufahimishe kuwa: Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete NI CHAGUO LA MUNGU (Warumi 13:1-3).
Ladslaus,
Maendeleo hayaji kwa kusubiri muda.Na muda hau-garantee maendeleo.Kwa mfano huwezi sema ikifika mwaka 2050 au 2095 au 3000 Tanzania itakuwa imeendelea!!!
Ni lazima tuwe na mipango na mikakati mahususi ya kuleta maendeleo;uongozi bora,utawala wa sheria,kupambana na kutokomeza rushwa ,kutumia vizuri rasilimali za taifa ni baadhi tu ya mambo ambayo kama tunataka tuendelee hatuna budi kuyapigania na kuyafuata hakuna miujiza katika hilo.
Haya mambo ya kusubiri eti mwana kondoo kuruka toka angani na kutua Tanzania na kutuletea maendeleo ni dhana potofu na kamwe siyo ya kuitegemea.
Ningeshauri usome historia ya baadhi za nchi zilizoendelea utaona kuwa kuna baadhi ya nchi hizo walifikia hatua ya kushika silaha na kupambana wao kwa wao ili kuweka mambo sawa baada ya kuchoshwa na viongozi wao.
Wembe.
Tusitake kuingiza dini kwenye hili, Kikwete hakuchaguliwa na Mungu bali tulimchagua sisi wenyewe, huu ni msala wetu tuliojitakia wenyewe labda tu admit tu kwamba we made a mistake lakini tusimbebeshe Mungu lawama zisizomuhusu!
Ndugu yangu WembeMkali,
Maendeleo ni hali ya Mtu au Jumuiya fulani, au Nchi fulani kuwa/kupata kitu au jambo fulani linaloweza kuwezesha 'maisha yao' ya kuishi katika sayari hii kuongezeka hata kwa mwaka mmoja, mfano Chakula bora, Maji safi na salama, Malazi bora, Elimu; na kuweza kumpiga vita adui maradhi. Hivi vyote kwa asilimia kubwa WaTanzania tunavyo.
Kwa sasa tumshukuru Mungu kuwa Tuna Madini na hivi karibuni tutapata mafuta ambavyo siku moja kila barabara hapa nchini kwetu Tanzania itakuwa ya lami na kila nyumba itakuwa ina umeme.
Waungwana, when shall we get our priorities right as Africans? when shall we learn to make good out of adversity? when shall we stop complaining and get to business? in this world we live in, "no one is his/her brothers/sisters keeper". JK ameenda US mara ngapi tangia apate urais? mbona hatujawahi kuandamana? Juzi JK categorically denied any possibility of AFRICOM being stationed in Tanzania. Alitudanganya au? we ought to believe I guess! Because we havent seen the opposite! US president being in our country in four days, for smart people, its enough adverts for our limping tourism sector! Its the reality wajameni. It will depend on how we utilize this oppotunity. Tutafute mazuri ya kutusaidia katika hii ziara, mabaya tuachane nayo!
Yes, Bush has his own shortcomings and problems, but is it our priority-really?? Why cant we strategize how to make this trip beneficial to our people?, why cant our professors, advice the govt (in any form..) what kind of agendas our govt should set with GWB? That Darfurians, Somalis, Congolese people are dying, is an open secret, but why blame Bush yet people who are killing each other are Sudanese et al? tumeshawahi kuandamana ku-condemn sera za serikali ya Khartoum dhidi ya watu wake? au China inayosupply silaha kwa Sudan?
Professor kupinga hiyo ziara ni haki yake ya kikatiba, na mimi kutokubaliana naye Professor ni haki yangu ya msingi. But what Iam against ni double standards za wasomi wetu na hao wanaojifanya wanajua na kumpenda Mungu kuliko wengine. Mfano Israel inawanyanyasa Wapalestine, hakuna ubishi any peace loving person must know that and do something, but what Bashir did/doing to Southerners in Sudan for decades and decades and now in Darfur sijawahi kuona mtu akiandamana especially hapa kwetu Africa!
Sorry guys, I might have gone out of topic, lakini ukweli huu unafiki wetu (perhaps ujinga) wetu sisi Waafrika umezidi!
We move on!
asante mwana kijiji, kali za wajumbe imepitia sababu za prof hapo juu,huyu jamaa naweza kusema ametumia akili sana katika kuaanda vigezo vyake ,kweli shule ilitumika katika uandikaji ijaribu kupotosha jamii kwa kujizungusha tu,huyu bwana ni udini tu ndio unao msumbua basi.na pia lazima ajue pia opion sio lazima iwe jibu la swali au mada husika,especialy ktk specz,naomba atafute detail za prof eve white kama hatakwenda kinyume ,hapo opinion alizungumzia kwa kina nini maana ya opion ,
Hawa UDASA wote ni waIslam na wanamchukia Bush kwa udini wao!
wasomi wetu wapumbavu ndiyo maana wakamwachia nyerere avunje uhusiano na Israel, ona hasara tunayo pata sasa.
Kama ningekuwa JK ningeileta AFRICOM TAnzania. KWa sababu hawa jamaa they have millions of ways to come to Africa. Balozi zao karibu zote barani Afrika zinaelements za ujeshi na CIA. Uzuri ni kuwa wakija tutaongeza pato la taifa, kwa sababu hawatakaa bure, kuna mengi tu yatakuja na uwepo wake. Bila shaka na mabaya yake yatakuwepo
Naona Mama umeamua kufukua vilivyokufa!
nashangaa tu maneno makali hayo, je kuruhusu AFRICOM kuwa Tz kwa mfano, itakuwa njia mojawapo ya kuongeza pato la taifa?
.....Mama, yawezekana ikawa njia mojawapo ya kumrudisha Bush madarakani!!nashangaa tu maneno makali hayo, je kuruhusu AFRICOM kuwa Tz kwa mfano, itakuwa njia mojawapo ya kuongeza pato la taifa?
.....Mama, yawezekana ikawa njia mojawapo ya kumrudisha Bush madarakani!!