.Marekani? Kituo cha jeshi? Ili tupigane na nani?
Nilifikiri unapendekeza tuwaruhusu Warusi watusaidie kutumia gesi yetu kama wao walivotumia Yao wakatajirika. Au Hugo Chavezi kutusaidia kutumia mafuta yetu kutajirika. Au Irani kutusaidia kutumia Uranium yetu kutajirika. Au Botswana kutusaidia kutumia madini yetu kututajirisha
American army base? As if itakuza uchumi wetu na kutuondolea umaskini wa kipato
Wakuu
Hivi tayari wameshatutia mfukoni.
US wako very active hapa TZ, zile bombings za balozi zao ni false flag operation ili wajikite zaidi katika mahusiano yao na Tz.
Clinton, Bush wamefanya kazi kubwa kuiweka mfukoni TZ, sasa Obama atamalizia tu mission.
Kama kuna watu wanabariki Empire ya US izidi kujitanua Africa kwa kutegemea hawa jamaa watatuletea amani, wanajidanganya.
Soma habari za AFRICOM utaelewa.
Japan wanataka US ifunge bases zao lakini mikataba inawafunga kama Cuba inavyowalazimu kuheshimu US kutumia Guantanamo bay. Wakiingia hawatoki.