The rumor is that at Ardhi ministry, in a 9th floor office somewhere is a model of this base. The rumor also states that the frigate that was anchored at Mombasa is to be moved to this so-called Kigamboni base.
The ones who are going to benefit from this are going to be the ladies of the night aka malaya. Hizo bases za Germany na Japan are ripe with rumors of rape and abuse of neighboring people, most of them accused of trespassing and other petty things. Forget your swimming and leisure south of South Beach or Amani beach, even though these places are out of the range of many wananchi, anyway.
Hivi, wasingeweza kupewa kisiwa kimoja pwani ya TZ au somewhere between Kigamboni and Lindi where they can even boresha miundombinu? Sasa wamepewa hapa karibu kabisa na wengine ndio tunajenga maeneo ya Kigamboni. Nchi yetu hii! Na JK alikuwa mbele kusema kuwa hakuna kambi ya kijeshi ya marekani katika ardhi yetu!