US Naval Bases In Africa (AFRICOM): Sababu, Pingamizi, Faida na Hasara

Wazee niko Live nimechelewa kwa sababu sa kiusalama lakini niko sasa . Bush hajacheza sindimba bado .Nyimbo zimeisha sasa na mizinga tayari .
Heshima zinatolewa tayari kwa Bush kwenda kukagua gwaride
 
Mzee Kichaka naona anakagua gwaride sasa . Mlinzi wake naona anakimbia kwa nyuma kuwahi mambo ya Kichaka mana yuko faster
 
wamerudini stejini sasa kwa salute nadhani baada ya hapa ni ngoma .Ila nimeshangaa Joji kichaka kamfuata Mdada fulani ndani kwa ndani na kukumkumbatia sijui nani yule .Kwa umbali ule sikuweza kumuona vyema ila itabidi ifanye unyoka kumjua baadaye
 
Mrindimo wa wimbo wa Taifa la Joji Kichaka uko hewani sasa baada ya kukaguwa gwaride .Ila nashanaga Joji amechangamka sana sasa sijui ni style yake au nini .
 
Namuona Salma na laura wako pamoja nao wamekakamaa sina uhakika wanawasiliana kutumia lugha gani maana Salma ni mtupu kwa kweli labda awe kachapwa shule nzito siku za hapo juzi kati .
 
Lunyungu unaona sasa vikosi hivyo vinatoka kwa ku match sijui nii kinafuatia .Lunyungu uko upande gani tuonane kama hutajali ?
 
Lunyungu unaona sasa vikosi hivyo vinatoka kwa ku match sijui nii kinafuatia .Lunyungu uko upande gani tuonane kama hutajali ?

Hapo kama mmoja kavaa nguo za CCM itakuwa rahisi kuonana!
 
Lunyungu na mitomingi thanks much,hope next time tutakuwa na teknoloji ya kuturushia hapa kwa live video/picture in a real time sio kwa maandishi tuu kama leo,Bush kuchangamka ni kawaida yake si unajua ni mtoto wa kihuni na ameshakamatwa mara nyingi sana(offmic) akiongea trash...alikuwa muhuni tuu tena mlevi haswa wa kupata DUI na hata kuoa alichelewa,alikuwa cheerleader vilevile pale yale
 
Hivi thread hii iliishia wapi;

BUSH kuahirisha safari ya Tanzania (serikali haitaki mjue hili)


Nani aliianzisha? katufunga kamba, kaifuta thread hata samahani hajatupa kwa kutu-mislead kwa habari za kusadikika. Hatari kubwa!
 
Wana JF
Nio tena hewani niliondoka ghafla maana movements zilisha anza hapa .Nawaombeni radhi sikuweza kusimulia zaidi ila nategemea kuwapa yatakayo jiri kuanzia usiku huu na kesho kama nitapata upenyo .
 
Namuona Salma na laura wako pamoja nao wamekakamaa sina uhakika wanawasiliana kutumia lugha gani maana Salma ni mtupu kwa kweli labda awe kachapwa shule nzito siku za hapo juzi kati .

weewew hatari nimecheka saana, mbona unatudharaulia first lady wetu
 

Bush's arrival
 
weewew hatari nimecheka saana, mbona unatudharaulia first lady wetu

Mtu wa Pwani am being honest maana huyu Mama she is design Mama wa lango la Jiji hata actions zake .never acted like FirstLady na hapo ndiyo nami wasi wasi ukaniingia kwamba wanatumia lugha gani kuwasiliana?
The woman a pure CCM fanatic na hata hajui kwamba kuna Tanzania .I have seen her in several gatherings.
 
Sasa wamepanda jukwaani wanangoja nyimbo za taifa .Bush amejikwaaa kidogo aanguke lakini nadhani kukimbia kwake kumemsaidia alidunda .Sasa wimbo wa Taifa wa Marekani .Ulinzi ni tight sana sana sana .

Kajikwaa?
Zuria lina kisiki? au chini ya zuria kuna tuta la kiraka cha lami kisicho kuwa even hapo uwanjani?
 
Kajikwaa?
Zuria lina kisiki? au chini ya zuria kuna tuta la kiraka cha lami kisicho kuwa even hapo uwanjani?

Wa Madilu yes alijikwaa na nadhani kuna kashimo ama kiraka kikubwa hawakuweza ku surface vyema .

Nilikuwa naangalia TVT sasa mtangazaji yule kweli ni kichaka kama si yai .Anasema hajawahi kuona msafara unaenda kwa kasi namna ile na anashangaa magari makubwa .Mimi nadhani sasa wawape nafasi za kwenda nje kidogo ili wawe na kujiamini badala ya kuwa watupu kiasi hiki .
 
Hapana mimi ni mwananchi na siwezi kuvaa nguo za CCM.

Wewe na Lunyungu wote mmevaa mashati ya kijani, msibishe.
Kwa vile mlichelewa wakati wa kugawiana mashati, mlipewa size kubwa XXXXL (Ya Kifisadi)kwa upenzi wa rangi ya kijani mmeyavaa hivyo hivyo. Ni kweli hapo uwanjani hamuonekani kuvaa mashati ya kijani, ila mnaonekana mmevaa kanzu za kijani.

KWa hiyo mkitaka kuonana Joyce kwa Joyce mtafute yeyote aliye vaa kanzu ya kijani.

Hii Hii hii hii kwii kwii kwii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…