US Naval Bases In Africa (AFRICOM): Sababu, Pingamizi, Faida na Hasara

US Naval Bases In Africa (AFRICOM): Sababu, Pingamizi, Faida na Hasara

Maandamano yanafanyika na wamechoma bendera ya marekani maeneo ya palm beach hapa bongo- na wanaendelea mbele walikuwa wanaimba na kuongea maneno ya kiislamu wanaelekea njia ya ali hassan mwinyi..........
 
Hivi kwanini watanzania tunashindwa kuzitumia methali tulizotunga wenyewe?

Banyani mbaya kiatu chake.....?
 
“ Sema mwanahabari “
“ Shetani anakuja saa ngapi ?”
“ unaonaje msimamo wa waisilamu ?”

Huyo ni rafiki yangu mmoja alinipigia simu jana usiku katika maongezi yetu kwanza alianza kwa maneno na maswali hayo hapo juu , mimi nilibaki nimeduwaa tu kwanini anamwita bush shetani .

Sikutilia maanani sana anavyomuita bush shetani , kwa sababu hilo neno sasa limeshakuwa la kawaida na ni propaganda tu kama zingine , nilishituka alivyoniuliza kuhusu msimamo wa waisilamu katika suala zima la ujio wa bush .

Nilimwambia maneno machache kwanza atambue Tanzania ni nchi ambayo haina dini , ni nchi huru na watu wake wako huru , mtu anaweza kusema na kuongea chochote bila kuzuiwa ili mradi asivunje sheria za sehemu husika kila sehemu inasheria zake kutegemea na eneo alipo msikitini , kanisani , jamatini kila sehemu na lake .

Kwa kuwa watu wake wako huru , hata waisilamu nao wako huru kusema kile wanachotaka , kama wamekifanyia utafiti na kuwa na uhakika nacho na kwa uhakika walifanya maandamano jana kuelezea hisia zako kuhusu sera za taifa hilo za kimataifa .

Inawezekana hata leo wakaandamana tena kwa sababu hatujui jana walikubaliana nini baada ya maandamano yao , kwahiyo tusiwapuuze tu na kuacha mambo haya yafe hivi hivi .

Kama taifa lazima lifikirie kilio cha hawa waisilamu wachache kwa sababu ni sehemu ya Tanzania , kizazi hichi kitakuwa na fikira hizo na chuki hizo dhidi ya taifa la marekani kwa miaka mingi ijayo , mfano niliona moja ya malalamiko yao ni kuhusu baadhi ya masheikh kukamatwa na miradi yao kufungwa

Je nani anapenda miradi kama ya zahanati , shule na maendeleo mengine zifungwe kwa sababu ambazo haziko wazi kama hawa waisilamu wanavyojaribu kusema ? wao wanahusisha hayo na bush .

Pamoja na yote haya waisilamu wasimlaumu bush na serikali yake kwanza wajiulize kuhusu hawa masheikh wao waliokamatwa kama wanavyosema na miradi yao iliyofungwa , waweke mbali hisia zao za kidini watuambie hawa mashekh ni kina nani na ni mali ghani za waisilamu zilizofungwa au kusimamishwa .

Wasipokuwa wazi basi tutaendelea kuamini kwamba tatizo sio bush tatizo ni la waisilamu wenyewe na mambo yao , haswa hivi vikundi vichache , na hivi ndio vikundi ambavyo vilituletea balaa uwanja wa taifa katika sakata la kwenda mecca .

Hivi vikundi lazima tuwe navyo makini sana , na tuviangalie kwa karibu wasiposikilizwa wanaweza kuanza kulipa visasi kama tunavyoona katika nchi zingine haswa mashariki ya kati
 
Sio kawaida yangu kukesha wakati wa mwisho wa wiki , lakini ijumaa ya wiki hii nimelazimika kukesha kuangalia mambo mbali mbali yanayoendelea katika mji wa dare s salaam na vitongoji vyake kabla ya ujio wa raisi wa marekani .

Katika pita pita zangu nimeona vitambaa vimeandikwa maneno kama WELCOME THE PRESIDENT OF UNITED STATES sijui kwanini wanafupisha maneno mimi nachojua ni THE PRESIDENT OF THE UNITED STATES OF AMERICA matangazo hayo yako sehemu nyingi sana na kwa kweli watoto zetu wanaoenda mashuleni au kutembelea mijini watakuwa hawana elimu sahihi wanapoona united states pekee badala ya united states of America .

Bado nashangaa ninapojaribu kufananisha ziara ya bush na ya agha khan alivyokuja mwaka jana , ukiangalia agha khan jinsi walivyomwandalia mabango mazuri mazuri yaliyonakshiwa wengine mpaka matangazo katika televisheni , inawezekana agha khan ni kiongozi wa kidini ndio maana waumini wake waliamua kumwangukia kiasi hicho

Lakini nimeona tofauti kidogo ya vibango katika barabara ya ali hassan mwinyi ndio kuna mabango lakini madogo katika taa za barabarani lakini yenye lugha ambayo sio ya kuridhisha kama UNITY TANZANIA USA , COOPERATION TANZANIA USA , muungano Tanzania Marekani , ushirikiano Tanzania Marekani , watoto wadogo wanapoona vitu vile au mtu asiyeelewa chochote akisoma maneno yale atabaki na maswali tu .

Mpaka sasa ninapoandika hivi hali ya usalama katika baadhi ya maeneo ya jiji la dare s salaam sio shwari sana , mfano kuna jengo moja refu pembezoni mwa palm beach hotel wale watu wanaoishi juu wamelazimishwa kuhama eneo lile kwa muda kutokana na ujio huu na nyumba za jirani huduma zao za mawasiliano sio ya uhakika zaidi .

Kwahiyo bush anakuja nchini na huduma zetu za msingi tunanyimwa kama simu , internet na usafiri wa uhakika , hivi janga lolote likitokea serikali na watu wake watatueleza nini ? watu wameshindwa kwenda kutoa huduma sehemu Fulani kisa bush ?

Nyumba ya mtu inaungua na moto Inawezekana ikaungua yote bila kupata huduma yoyote ile kwa sababu barabara za kupita ni ngumu , wenyewe watashindwa kuwasiliana na watoa huduma hii kisa simu zimefungwa au huduma sio ya uhakika .
 
Bush on Africa tour

_44431248_bushanthems_afp416.jpg


US President George W Bush kicked off his six-day five-nation
tour of Africa in Benin, where he was welcomed by President Thomas
Boni Yayi at the airport in Cotonou.




_44431249_bushredcarpet_afp416.jpg



Mr Bush said Africa's many conflicts were not the main focus
of his tour: he also wanted to highlight success stories.




_44431253_bushkids_ap416.jpg


President Bush and First Lady Laura were greeted by,
among others, a group of Beninese children.




_44431252_bushladies_ap416.jpg



Mr Bush's talks in Benin were expected to include the fight
against malaria and Aids. Washington has provided millions
of dollars of aid to the west African country.





_44431250_bushsash_afp416.jpg


President Bush was presented with the Grand Cross of the National Order
of Benin by President Boni Yayi. Mr Bush later adjusted his counterpart's sash in jest.




_44431251_bushmeeting_afp416.jpg



After his talks with Benin government leaders,
Mr Bush set off for Tanzania. He will also visit Rwanda, Ghana and Liberia.
 
President Bush arrives today
DAILY NEWS Reporter said:

Daily News On Saturday; Friday,February 15, 2008 @19:01


US President George W. Bush is expected to jet into Dar es Salaam today for a four-day state visit. He will be accompanied by the Secretary of State, Ms Condeleeza Rice. The State House Director of Communications and Press, Mr Salva Rweyemamu, said today that Mr Bush’s visit was in appreciation of the growing democracy and good governance in Tanzania and good utilisation of the aid packages from the world’s superpower.

While in the country, President Bush and his host, President Jakaya Kikwete, are expected to sign the Millennium Challenge Corporation (MCC) contract on Sunday at the State House. Under the agreement, the US government will release 698 million US dollars (about 700bn/-) for the construction of a number of roads including Tunduma – Sumbawanga (224 kilometers), Namtumbo- Songea (61 km), Peramiho- Mbinga (70 km) and Tanga- Horohoro (68 km).

The funds would also be spent on supplying electricity to Kigoma region. Mr Rweyemamu reiterated that day-to-day activities would not be disrupted as a result of the high profile and tight security visit. President Bush’s itinerary includes a visit to Amana Hospital in Ilala district in the city on Sunday after signing the MCC agreement at the State House, where Americans have a project to fight malaria and HIV/Aids.

On Monday he is expected to leave for Arusha where he will spend the night and return to Dar es Salaam on Tuesday. He is expected to leave the country that same day to continue with his tour of Africa which will also take to him to Rwanda, Ghana and Liberia. Mr Bush left Washington today. He arrives in the country from Benin.

Meanwhile, several main roads in Dar es Salaam would be closed to motorists for some hours beginning today afternoon as the country graces to receive President Bush. The Dar es Salaam Special Zone Police Commander, Mr Alfred Tibaigana told reporters today Nyerere Road would be closed to traffic from the junction of Pugu Road all the way to Gerezani Road down to Sokoine Drive starting today afternoon.

On Sunday, Sokoine Drive, Luthuli Road, Ocean Road, Kivukoni Front, Gerezani Road, Nyerere Road upto the junction of Kawawa Road, Uhuru Street to Old Bagamoyo Road will be closed from morning to afternoon. Ali Hassan Mwinyi Road, Ocean Road, Luthuli Road and Sokoine Drive will be closed in the afternoon, he said.

Mr Tibaigana further said that on Monday Sokoine Drive, Ohio Street, Kivukoni Front, Gerezani Street, Nyerere Road and Pugu Road will be closed in the morning, open in the afternoon and will be closed again in the evening. On Tuesday when Mr Bush leaves, Sokoine Drive, Ohio Street, Kivukoni Front, Gerezani Street, Nyerere Road and the junction to Pugu Road will be closed in the morning, Mr Tibaigana said.

“For those living at Kigamboni and use the ferry to the city centre, the Kivukoni Road will be closed at the junction with Luthuli Road. Motorists are advised to use Luthuli Road, Shaban Robert Street, Samora Avenue, Pamba Street and Sokoine Drive”, he said.

He said for those who are working in the government offices such as High Court, Court of Appeal, National Development Corporation, Ministry of Foreign Affairs and others will be shown the entrance to their respective offices by police. Mr Tibaigana congratulated the University of Dar es Salaam Academic Staff Assembly (Udasa), Dar es Salaam University Students Organisation (Daruso) and the Civic United Front (CUF) for postponing their demonstrations planned for today.
 
“ Sema mwanahabari “
“ Shetani anakuja saa ngapi ?”
“ unaonaje msimamo wa waisilamu ?”

Huyo ni rafiki yangu mmoja alinipigia simu jana usiku katika maongezi yetu kwanza alianza kwa maneno na maswali hayo hapo juu , mimi nilibaki nimeduwaa tu kwanini anamwita bush shetani .

Sikutilia maanani sana anavyomuita bush shetani , kwa sababu hilo neno sasa limeshakuwa la kawaida na ni propaganda tu kama zingine , nilishituka alivyoniuliza kuhusu msimamo wa waisilamu katika suala zima la ujio wa bush .

Nilimwambia maneno machache kwanza atambue Tanzania ni nchi ambayo haina dini , ni nchi huru na watu wake wako huru , mtu anaweza kusema na kuongea chochote bila kuzuiwa ili mradi asivunje sheria za sehemu husika kila sehemu inasheria zake kutegemea na eneo alipo msikitini , kanisani , jamatini kila sehemu na lake .

Kwa kuwa watu wake wako huru , hata waisilamu nao wako huru kusema kile wanachotaka , kama wamekifanyia utafiti na kuwa na uhakika nacho na kwa uhakika walifanya maandamano jana kuelezea hisia zako kuhusu sera za taifa hilo za kimataifa .

Inawezekana hata leo wakaandamana tena kwa sababu hatujui jana walikubaliana nini baada ya maandamano yao , kwahiyo tusiwapuuze tu na kuacha mambo haya yafe hivi hivi .

Kama taifa lazima lifikirie kilio cha hawa waisilamu wachache kwa sababu ni sehemu ya Tanzania , kizazi hichi kitakuwa na fikira hizo na chuki hizo dhidi ya taifa la marekani kwa miaka mingi ijayo , mfano niliona moja ya malalamiko yao ni kuhusu baadhi ya masheikh kukamatwa na miradi yao kufungwa

Je nani anapenda miradi kama ya zahanati , shule na maendeleo mengine zifungwe kwa sababu ambazo haziko wazi kama hawa waisilamu wanavyojaribu kusema ? wao wanahusisha hayo na bush .

Pamoja na yote haya waisilamu wasimlaumu bush na serikali yake kwanza wajiulize kuhusu hawa masheikh wao waliokamatwa kama wanavyosema na miradi yao iliyofungwa , waweke mbali hisia zao za kidini watuambie hawa mashekh ni kina nani na ni mali ghani za waisilamu zilizofungwa au kusimamishwa .

Wasipokuwa wazi basi tutaendelea kuamini kwamba tatizo sio bush tatizo ni la waisilamu wenyewe na mambo yao , haswa hivi vikundi vichache , na hivi ndio vikundi ambavyo vilituletea balaa uwanja wa taifa katika sakata la kwenda mecca .

Hivi vikundi lazima tuwe navyo makini sana , na tuviangalie kwa karibu wasiposikilizwa wanaweza kuanza kulipa visasi kama tunavyoona katika nchi zingine haswa mashariki ya kati


Tatizo kubwa linaikabili dunia hii ni unafiki. Wengi wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. Wana akili zao timamu, la uelewa lakini kawataki kuelewa.

Vikundi vilivyofanya maandamano ni sawa na presure group yoyote ingeweza kutokea manzese, kariakoo, msasani au masaki. Hakuna suala la dini wala itikadi ya chama hapa. Ila tu wengi wa walioandama walionekana wana mavazi yanayoashiria kuvaliwa na watu wa dini fulani. Sielewi kwa nini watu wasingalie ajenda ya waandamani kama ina mantiki au la. Badala yake msisitizo umekuwa kwenye dini yao.

Ni ukweli usiopingika kuwa Waislam wengi duniani wameumia kutokana na sera za Bush.

Kumkataa kuja nchini si jambo geni. Ameshawahi kukataliwa nchi kadhaa. Wanaoshabikia ujio wake wasubiri ngome ya ACM itakapotua mlangoni kwao.
 
Ulinzi ni Mkali sana uwanja ndege .Njia nyingi za Jiji la Dar zimefungwa .Zulia jekundu sasa liko tayari na itifaki imekamilika .Muda wowote ndege ya Bush Airforce one itatua kwenye ardhi ya Tanzania .

Ndugu wana Jambo niko juu kabisa kwenye jengo la uwanja huu wa JKN .Kweli ulinzi ni mkali na nimepata bahati sana kupewa ID na kuweza kuwapa habari hii.
 
Ulinzi ni Mkali sana uwanja ndege .Njia nyingi za Jiji la Dar zimefungwa .Zulia jekundu sasa liko tayari na itifaki imekamilika .Muda wowote ndege ya Bush Airforce one itatua kwenye ardhi ya Tanzania .

Ndugu wana Jambo niko juu kabisa kwenye jengo la uwanja huu wa JKN .Kweli ulinzi ni mkali na nimepata bahati sana kupewa ID na kuweza kuwapa habari hii.

Vipi kuhusu safari nyingine za ndege hapo uwanjani, zinaendelea kama kawaida au ndege zetu zimefunikwa maturubai!?
 
Vipi kuhusu safari nyingine za ndege hapo uwanjani, zinaendelea kama kawaida au ndege zetu zimefunikwa maturubai!?


Life is at a stand still .Wacha ndege hata waenda kwa miguu.Polisi ni wengi na watu ambao nadhani ni CIA, FBI nk wamezagaa na ma suti yao .Kila aliyeko eneo anatakiwa kuwa katika eneo la mpangilio.Naona akina Mama wamepangwa ndani ya nguo za kitenge nadhani ndiyo kama National Dress .

Vikosi vyetu vya Jeshi viko tayari kwa mizinga na nyimbo z Taifa .

JK ndiyo sasa anaingia uwanjani .Watu wamejaa hamasa na bendera ziko angani kama hawana akili nzuri .

Bush kesho atakuwa amana hospital .
 
Naona makachero wa Marejani wana test ngazi ya kugusa ndege ili Bush arudi na watanzania wanacheza ngoma zetu kwa kasi ya ajabu .Vikundi ni vingi kiasi na hawa jamaa wa FBI na CIA wamezagaa mno
 
Vipi zile vuguvugu za wanaharakati wanaopinga ujio wa Joji!?
 
Vipi zile vuguvugu za wanaharakati wanaopinga ujio wa Joji!?


Wale wenye vurugu zao hapa hawapo na sijaona bango hadi sasa .Wote walioko hapa ni watu wa kufurahi tu . Kuna ndege ya utangulizi imesha tuwa hapa nadani ni ndege maalumu.Naambiwa hapa kwenye sikio langu kwamba Bush atatua muda wowote kuanzia sasa yaani 5 minutes from now .
 
Naama JK sasa anatoka na anakuja kusogoa na wenzake akina Sitta na wengine akiwa anamtegemea Bush any minute from now .
 
Wale wenye vurugu zao hapa hawapo na sijaona bango hadi sasa .Wote walioko hapa ni watu wa kufurahi tu . Kuna ndege ya utangulizi imesha tuwa hapa nadani ni ndege maalumu.Naambiwa hapa kwenye sikio langu kwamba Bush atatua muda wowote kuanzia sasa yaani 5 minutes from now .

I hope atakuwa maeneo ya mbagala kizuiani saa hizi...
 
wee........Mitomingi simu yako bado..............ina mawasiliano!!!
 
Sipati picha hapo airport palivyo najua hata wakina Taibaigana hawatii timu huko ndani...mdau endelea kutupasha wadau tuliombali na eneo la tukio
 
Naona migari yao mikubwa ile imesha kaa tayari hapa .Dege limesha tuwa na Bush is out now na Mkewe wanapunga mikono
 
JK anawatambulisha kwa viongozi 13 ambao ndiyo walio takiwa .Bush anaonyesha usanii .Anamkumbatia JK na sasa utambulisho umeisha .
 
Sasa wamepanda jukwaani wanangoja nyimbo za taifa .Bush amejikwaaa kidogo aanguke lakini nadhani kukimbia kwake kumemsaidia alidunda .Sasa wimbo wa Taifa wa Marekani .Ulinzi ni tight sana sana sana .
 
Back
Top Bottom