US Naval Bases In Africa (AFRICOM): Sababu, Pingamizi, Faida na Hasara

US Naval Bases In Africa (AFRICOM): Sababu, Pingamizi, Faida na Hasara

Zomba, acha utani, watu wapo siriaz hapa!!!!

Wasomi hawajui watendalo jamani, tuwasamehe tu!!!!!

hawana aibu. mara ngapi waliandamana kumshinikiza balali arudi? wanajua kuandamana ili wan=mnyanganye mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kenya degree. ninaamini chuo ndicho kinachofubaza elimu ya tanzania kwa kuandaa maundergraduate wanasiasa. tukimbilie wapi. TENA ETI NI UDASA. DUUU!!!!!!!!!!! WAVIVU SANA WA KUFIKIRIA.
 
Any man who reads too much and uses his own brain too little falls into lazy habits of thinking. Albert Einstein

Nadhani, wahadhiri wetu, wanakabiliwa na ugonjwa huo aliotahadharisha bwana Einstein!!!
 
Njaa zao hawa wapuuzi ndiyo maana wanakaa kusifia tu CCM na kuishia kuvaa maguo ya CCM Diamond Jubilee then kesho wanafukuzwa pesa haziko kwenye account za wanafunzi wao .Wasomi kila wakiwekwa kwenye TVT wanasifia JK huku wanaota kupata vyeo ?Kama kusoma ni huko basi mimi simo wacha nikae huku huku .
 
bu6719shke4.jpg


Cheki Morogoro road ilivyo kama waislamu jana
wangetokea Ubungio wangeng'oa zote hizi!


kemp987iskiye7.jpg


Jiji letu kwasasa linang'aa kwa bendera za Bush na za Kikwete
kunapendeza kichizi Hapa ni nje ya Kilimanjaro Hoteli Kempiski.


76hgyt76sb4.jpg


Pamoja na hali hiyo lakini jamaa wa FBI sijui CIA walikuwa kila kona
wakilinda mzee wao hawakujua waTZ walikuwa na
hamu tu ya kumuona Bush,
ulinzi wao ulikuwa sio mchezo!



34erdsw3as6.jpg



Jamaa wakiwa na mizigo yao tayari kwajili ya kuimarisha ulinzi!


er435rfdtuv2.jpg


Askari wa Marekani akipita na mbwa ili kuhakikisha kuwa
maeneo hayo ni salama kwa wazee kuingia.



uli45gz3.jpg



Cheki mshikaji yuko juu ya paa la Ikulu na nguo nyeusi
lazima aliungua sana na jua maana msimu
huu Dar si inajulikana kwa joto!



765ythgfgy0.jpg


Hapa ndio waliwekwa wataalamu wakiwa na madarubini yao
sijui yalikuwa na uwezo wakuona Dar
nzima ama kung'amua magaidi, sijui!



gari876hgho7.jpg


Hii ndio cadillac One iliyombeba rais wa dunia kama wengine wanavyomuita
gari hii ni kali mnyonge mnyongeni
lakini haki yake mpeni nasikia linauzwa UD$ 6m full security ndani!



jh76uyututyws6.jpg


Ma FBI wakilinda gari la Bush, Cadillac One
Mara lilipowasiri mlango wa Nyuma wa Ikulu!



ytr765hfgtrydr8.jpg


Mzee kaamua kushangilia mgeni wake kaja pamoja na fitna zooooote!


uyh765nbhgyja5.jpg


Air Force One iko angani wazee wetu wanaiangalia ndio Bush anaingia hivyo!
Ama hamwafahamu, Kushoto,
Shamsi Nahodha wa ZNZ, Mizengo Pinda, Shein na JK! mambo bado hapo!


(JK naye alikuwa kama kapagawa vile).

yrtrt656565qwwh4.jpg


JK anasalimiana na wapambe wa Bush waliokuja na ndege mbili
ilitangulia nyingine kama Airforce One
na baadae akashuka yeye!


mweme23hfg7as5.jpg


Jamani Mwema akalamba mkono wa Bush!
Polisi watakoma mwaka huu.


wanyatu345zn8.jpg



Wanyaturu wa mkoani Singida wakicheza ngoma za kwao,
wamependeza kichizi! (Sijui wagogo walikuwa wapi? )


waarabunaowaliandamana2qd8.jpg


Hawa ndio walitaka kuleta nuksi kwenye ujio wa Bush the Tank.

098oiklzs3ph5.jpg


Bush akashindwa kujizuia akaanza kugawa mikono kwa
kila mmoja aliyeweza kumshika.


98jhyu05uw5.jpg


Walifurahi sana na kila mmoja alijaribu kumfikia!

32der4nd4.jpg


Rais Kikwete akiingia na mgeni wake katika lango la Nyuma la Ikulu
na kulakiwa na Watanzania waliofurika huko.


76ythgfj7mf5.jpg


Baadae wakatoka pamoja kwa ajili ya kukutana na waandishi.


675hgjnbuw9.jpg


Bush akimwaga neno kwa waandishi wa habari.


56cxzzy3.jpg


Wakuu wa nchi mzee wa Mpanda, Mizengo na Makamu wa rais
Dr Shein walishuhudia.


4987jhyuut5.jpg


Wageni waalikwa wa kimarekani wakifuatilia shughuli.

iyuy878iukjwb5.jpg


Hili ni tenge alilopiga first lady wetu
leo alipokuwa na shughuli na mke wa Bush
Karimjeee wakati wazee wanatia saini mambo makubwa zaidi.


987jkhnm78xw9.jpg


Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Bi Condoreza Rice
akiwasalimia wananchi alipoingia Ikulu Dar jana.
Alikuwa na mvuto wa kipekee sijui kwa kuwa ni bomba ama kwa kuwa ni black?

PICTURES CREDIT: Mzee wa Sumo Blog
 

wertd345ghgt9.jpg


Mama Bush anashangaa zawadi ya kibongo, tumezidi kwa ukarimu jamani!


uty012986uv5.jpg


Walisaini pia Millenium Challenge Compact Agreement ambapo Tanzania
itapata dola 700milliono (dola 4 kwa kila MTZ kwa mwaka in 5yrs) kwa ajili ya kuondoa
umaskini kwa kuboresha miundombinu na mawasiliano. Msaada huo mkubwa
kuliko yote kutolewa na Marekani.


PICTURES CREDIT: Mzee wa Sumo Blog
 
Njaa zao hawa wapuuzi ndiyo maana wanakaa kusifia tu CCM na kuishia kuvaa maguo ya CCM Diamond Jubilee then kesho wanafukuzwa pesa haziko kwenye account za wanafunzi wao .Wasomi kila wakiwekwa kwenye TVT wanasifia JK huku wanaota kupata vyeo ?Kama kusoma ni huko basi mimi simo wacha nikae huku huku .


USIKAE PEMBENI WAKATI INCHI INAENDELEWA KUUZWA NA HAWA WENZETU WENYE PhD ZA KIGIRIKI BADALA YA PhD ZA KITANZANIA. ukifanya hivyo kizazi kijacho kitakuhukumu na kukulaumu mbele ya mahakama za kiraiakuwa "baba zetu mlifanya nini wakati nchi yetu inajitenga mbali na dunia? mlifanya nini siku zile propaganda za vyuo vyetu zilipotawala kubariki raslimali zetu kuzolewa? mlifanya nini mlipoendelea kuwa masikini ninyi na ndugu zenu na kujitendga mbali ni furaha ya binadamu wa kawaida?

mimi nimeisha anza kusema hata kama wanafunga masikio, ila mwisho wataachia. tuwapigie makelele mpaka waelewe lipi ni baya na lipi ni jema.
 
Its true that this time Tanzania among the african country tumekuwa honoured na USA/Bush. tumepata msaada wa fedha.. Its good money and honestly we need them!! Mungu asaidie ziende na kutumika kma mikataba inavyoonyesha. Na ni kweli pia dunia ya leo huwezi kujifungia chumbani ..bila kufanya biashara na contacts na the rest of the world ...ukapiga hatua ya maana kima endeleo na kijamii. swali langu la msingi ni: Wa Tz tufanyeje fedha kama hizi ziwe kama mtaji kwa maana kwamba ifike mahali zizaane na kuonekana wazi kuwa zile fedha/MISAADA inajiendeleza...na kujiendeleza ..na kujiendeleza....to infity na out of that tujiedeleze wenyewe? Maana ikiwa hivyo It means time will come nchi au mtu haombi ... ombi tena na kuwa mzigo wa kupewa msaada tena all the time... Nafikiri hapo tutaheshimika zaidi kama mtu , kama taifa na kama nchi. hatukatai misaada..na mikopo..we hardly need them ..lakini mpaka lini?? Miaka 47 nchi imekuwa inapewa misaada ..but hakuna sense ya sustainability katika misaada hiyo...Taztizo liko wapi?! Lazima hili lifanyiwe kazi na kupewa msukumo wa dhati...kwa heshima na mstakabali wa uhuru wa Taifa.
 
Na Kizitto Noya

UMOJA wa Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), kwa kushirikiano na taasisi mbalimbali za kijamii na za Kutetea Haki za Binadamu, umepinga ziara ya Rais George Bush wa Marekani aliyewasili jana nchini.


Umoja huo ulieleza kutoridhika kwake na ziara ya rais huyo jana katika mdahalo wao ulioandaliwa kwa kushirikiana na wanaharakati hao kwenye Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani.


Akisoma tamko la pamoja, Mwenyekiti wa UDASA, Datmas Nyaoro, alisema Umoja wa Wanataaluma chuoni hapo unaamini kuwa kidemokrasia Tanzania haina jambo lolote jema la kujifunza kutokana na kuwa rafiki wa karibu wa rais huyo wa Marekani.


"Hii inatokana na ukweli kwamba, chini ya utawala wa Rais Bush, haki za Wamarekani weusi zimeendelea kuvunjwa, idadi ya wafungwa kutoka katika jamii za Wamarekani weusi imeongezeka huku huduma za kijamii hasa afya na elimu zikidorora," alisema.


Kwa mujibu wa UDASA, Tanzania haiwezi kuendelea kwa kutegemea ufadhili kutoka nchi zinazotoa misaada yenye masharti kandamizi kama Marekani, hivyo mkataba wa dola za Marekani 608 milioni unaotarajiwa kusainiwa kati ya Rais Bush na Tanzania akiwa nchini, hauna maana yoyote zaidi ya kuendeleza ukandamizaji huo.


"Tunaamini pia katika kujitegemea na kujitawala wenyewe. Kuongezeka kwa kiwango cha misaada kutoka Marekani katika kipindi hiki ambacho uchumi wake umedhoofika na upinzani dhidi ya ubabe wake umeongezeka, kunatufanya tuamini kwamba ufadhili huu una agenda ya siri ambayo ni Africom," aliendelea kusema Nyaoro.


UDASA ilitoa wito kwa Watanzania kulinda misingi ya uhuru na utaifa, kulinda na kutetea utu, haki, usawa, amani na umoja wa Afrika badala ya kuendelea kuikumbatia Marekani na kupoteza misingi iliyojengwa tangu enzi za mababu.


Awali wakizungumza katika mdahalo huo, baadhi ya wanaharakati na wawakilishi wa taasisi za kijamii walisema kuwa ziara ya Rais Bush nchini haina manufaa kwa Tanzania isipokuwa kwake binafsi na taifa lake la Marekani.


Kwa upande wake, Amiri wa Shura ya Maimam, Sheikh Ponda Issa Ponda, alisema ziara ya Bush nchini haina manufaa kwa Tanzania zaidi ya taifa kujitengenezea maadui kwa kuunga mkono sera ya ugaidi.


Alisema sheria ya ugaidi nchini inapaswa kuangaliwa upya kwani inapingana na sheria za nchi na ndiyo inayosababisha mapigano katika mataifa mengi duniani.


Hussein Mmasi wa Chama cha Wananchi (CUF), alisema Bush hana utaratibu wa kufanya ziara zenye manufaa kwa nchi wenyeji na kuwa ziara hii ni mwendelezo wa utaratibu huo wenye misingi ya kuzinyonya nchi maskini.


Profesa Azaveli Lwaitama, Mhadhiri wa UDSM, aliitaka serikali kuchagua marafiki wa kweli wanaoweza kutoa ushauri wa haki kuhusu maendeleo yake badala ya marafiki wanafiki kama taifa la Marekani.


Alisema Rais Bush amekuja nchini kwa kivuli cha misaada, lakini ukweli ni kwamba ana agenda kubwa yenye masilahi binafsi na taifa lake.


Ndani ya ukumbi kulikofanyika mdahalo huo kulikuwa na mabango kadhaa yaliyoelezea hisia za wanaharakati hao juu ya ziara ya kiongozi huyo wa taifa kubwa duniani.


Baadhi ya mabango hayo yalisomeka 'Mfumo tulionao wa demokrasia wakilishi haufai, tunadai demokrasia shirikishi... Bush sitisha vita Iraq, Amani na Haki siyo vita'.

One of the index how to measure the development of the country is to listen to opinion of the academicians and professionals; if our so called highly learned professionals will reason as per the above [if is true that the way they think]; then we are not only backward, we are in a stone age!
 
One of the index how to measure the development of the country is to listen to opinion of the academicians and professionals; if our so called highly learned professionals will reason as per the above [if is true that the way they think]; then we are not only backward, we are in a stone age!


Wasomi wametoa mawazo yao,
Wana haki na uhuru wa kusema na kutoa dukuduku lao kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kwa nini tuyahukumu mawazo yao mapema,kwa sababu tu eti Bush kasaini mkataba mkubwa wa dola million 698??ulizia wana usalama wakwambie alivyoingia Bush na nafasi yao ilikuwa wapi?FBI wanapanda hadi juu ya mapaa ya ikulu yetu eti kwa kuwa tunapewa msaada.Misaada ije mingi lakini watuache tupumue na uhuru wetu.Wasitutuhayarishe,Mgeni gani anakuja na chakula chake?Ina maana hamwamini rais wetu aliyemwalika?Surely oppression drives the wise into madness, and a bribe corrupts the heart,better is the end of a thing than its beginning, I believe the patient in spirit is better than the proud in spirit.

Tusije shahabikia msaada wa kuimarisha miundo mbinu huko kusini mwa Tanzania,kumbe kuna madini ya Uranium yamengunduliwa na wanataka urahisi ya kuyasomba kwa kuweka miundo mbinu imara.

Tunapenda wageni waje wengi nchini kwetu ila tusipate madhara ambayo tunahisi yanaweza kutugharimu huko mbeleni kama Taifa kwa ujio wao.
 
Wasomi wametoa mawazo yao,
Wana haki na uhuru wa kusema na kutoa dukuduku lao kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kwa nini tuyahukumu mawazo yao mapema,kwa sababu tu eti Bush kasaini mkataba mkubwa wa dola million 698??ulizia wana usalama wakwambie alivyoingia Bush na nafasi yao ilikuwa wapi?FBI wanapanda hadi juu ya mapaa ya ikulu yetu eti kwa kuwa tunapewa msaada.Misaada ije mingi lakini watuache tupumue na uhuru wetu.Wasitutuhayarishe,Mgeni gani anakuja na chakula chake?Ina maana hamwamini rais wetu aliyemwalika?Surely oppression drives the wise into madness, and a bribe corrupts the heart,better is the end of a thing than its beginning, I believe the patient in spirit is better than the proud in spirit.

Tusije shahabikia msaada wa kuimarisha miundo mbinu huko kusini mwa Tanzania,kumbe kuna madini ya Uranium yamengunduliwa na wanataka urahisi ya kuyasomba kwa kuweka miundo mbinu imara.

Tunapenda wageni waje wengi nchini kwetu ila tusipate madhara ambayo tunahisi yanaweza kutugharimu huko mbeleni kama Taifa kwa ujio wao.

hatukatai kwa nini wanaandamana, ila tunasema hivi kwa nafasi nyeti, kwanini hawazitumii kuandamana kwa mambo sensitive yanayohusu taifa letu. kwa nini wanasubiri kuandamana kupinga mambo yanayohusu siasa tuu? haya ndiyo mawazo yetu.


kuhusu kutoa maoni sawa hayo ni maoni yao, ila kama chombo cha wasomi, tunatarajia maono yao ni maono yaliyotukuka kwa hiyo kinachoongelewa kama tamko linatolewa kama tamko lililotafitiwa kwa kina. kwa maana nyingine tunachukulia kama the highest reasoning kutolewa na wataalam wetu, na wala sio maono kama ambayo yangetolewa na vijana wa kariakoo.

sasa kama reasoning inaacha doubt, tunajiuliza kwa nini walitamka hivi na wala sio vile. kwa nini wanaaibisha elimu ya tanzania.

Lwaitama akisimama na kuboronga tutamchukulia kama mwakilishi wa UDSA iwapo atakuwa anafanya vile na wala sio vinginevyo, katika maandamano hayo. ni dhahiri kuwa tuna haki ya kutoa kasoro pia na wao wanpaswa kuforesee dukuduku lolote linaloweza kujitokeza ili kuliziba kwa manufaa ya taifa letu.
 
..................FBI wanapanda hadi juu ya mapaa ya ikulu yetu...............

.......take NO CHANCE my brother.........watu wanajifunza kutokana na historia..........snipers ain't no joke.......an inch of opportunity........ni disaster!!, unakumbuka JFK, Mama Bhuto!!!
 

Tusije shahabikia msaada wa kuimarisha miundo mbinu huko kusini mwa Tanzania,kumbe kuna madini ya Uranium yamengunduliwa na wanataka urahisi ya kuyasomba kwa kuweka miundo mbinu imara.
EBU ANGALIENI UKOMBOZI WA BUSHI KATIKA HII ATTACHMENT,HATA KAMA ANATAKA URANIUM POA TU,KWANI SISI TUTUIFANYIA NINI ?
 

Attachments

Wasomi wenyewe ni akina Prof . Njozi ? Kama ni watu wa aina yake mimi sitaki kuwa mmoja wa wasomi wa Tanzania .
 
US drops Africa military HQ plan

Gen William Ward said Africom's intent had been misunderstood
The US military has decided to keep the headquarters of its new Africa Command in Germany, after only one African nation, Liberia, offered to host it.


Most African countries have been wary of plans to base the command, Africom, on the continent.

Africom's commander, Gen William Ward, said there were no plans to create large US garrisons on the continent.

The military command was created last year to unite responsibilities shared by three other US regional commands.

The US plan had been misunderstood by some African countries, Gen Ward told the BBC.

The key aim of Africom was to build the capacity of African countries for security and peacekeeping, he said.

African doubts

Nigerian President Umaru Yar'Adua announced in November that he would not allow his country to host an Africom base and that he was also opposed to any such bases in West Africa.

South Africa and Libya have also voiced strong reservations.

Only Liberia, which has historic links to the US, has offered to host it.

There has been concern that Africom is really an attempt to protect US oil and mineral interests in Africa, amid growing competition for resources from Asian economies, says the BBC's Alex Last in the Nigerian capital Abuja.

Then there are fears about the continent being drawn into the US war on terror, our correspondent ads.

Gen Ward said Africom was not about militarisation but consolidating existing operations under one single command, while helping Africans with military training and supporting peacekeeping and aid operations.


My Take: Nafikiri hili ni mojawapo ya mambo au malengo machache sana ya USA ambapo wengine wakisema HAPANA...USA wamesikiliza.
 
Kama mnataka kujua pale hao so called wasomi ni vichwa maji,tafuteni ile thread ya uraia wa wa nchi mbili ndio mtapata majibu yote..wameshanichosha maana hata maamuzi yao tu ya uendeshaji wa chuo utagundua ni hasara tuu!
 
I think they are going to do it in silence but abandoning it, no way. I wonder if JK did not agree to do it with them secretly :???:
 
Wasomi (kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za kijamii na za Kutetea Haki za Binadamukwa) wametoa sababu zao kupinga ziara ya Bush ambazo ni

Na Kizitto Noya

Umoja wa Wanataaluma chuoni hapo unaamini kuwa kidemokrasia Tanzania haina jambo lolote jema la kujifunza kutokana na kuwa rafiki wa karibu wa rais huyo wa Marekani.

Haki za Wamarekani weusi zimeendelea kuvunjwa, idadi ya wafungwa kutoka katika jamii za Wamarekani weusi imeongezeka huku huduma za kijamii hasa afya na elimu zikidorora.


Kwa mujibu wa UDASA, Tanzania haiwezi kuendelea kwa kutegemea ufadhili kutoka nchi zinazotoa misaada yenye masharti kandamizi kama Marekani, hivyo mkataba wa dola za Marekani 608 milioni unaotarajiwa kusainiwa kati ya Rais Bush na Tanzania akiwa nchini, hauna maana yoyote zaidi ya kuendeleza ukandamizaji huo.

Kuongezeka kwa kiwango cha misaada kutoka Marekani katika kipindi hiki ambacho uchumi wake umedhoofika na upinzani dhidi ya ubabe wake umeongezeka, kunatufanya tuamini kwamba ufadhili huu una agenda ya siri ambayo ni Africom

Ziara ya Rais Bush nchini haina manufaa kwa Tanzania isipokuwa kwake binafsi na taifa lake la Marekani.

Ziara ya Bush nchini haina manufaa kwa Tanzania zaidi ya taifa kujitengenezea maadui kwa kuunga mkono sera ya ugaidi.

Alisema Rais Bush amekuja nchini kwa kivuli cha misaada, lakini ukweli ni kwamba ana agenda kubwa yenye masilahi binafsi na taifa lake.

Amani na Haki siyo vita'.


Basi wanao pinga pingamizi la Udasa nao watoe sababu zao hapa, au wapinge kitaalamu sababu zilizotolewa na UDASA na washirika wao.

Kutokufanya lile (Zuri zaidi kama kuandamana mafisadi wakamatwe, wafilisiwe) isiwe sababu ya kutokufanya hili.
 
Hawa UDASA wote ni waIslam na wanamchukia Bush kwa udini wao!
 
Shaaaaaaaaaaaaaame!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.Vipi,kuhusu,mafisadi?.Mbona,hamkai,kuwajadili?.Acheni,ubaguzi,nyie,wanazuoni.Jadilini,kwanza,mafisadi,kwenye,madini,kama,CHENGE.

Wa kwanza kumuunga mkono Zitto na Slaa na Mwakyembe tena kwa maandamno ni UDSM au umesahau hilo?
 
Back
Top Bottom