US Naval Bases In Africa (AFRICOM): Sababu, Pingamizi, Faida na Hasara

US Naval Bases In Africa (AFRICOM): Sababu, Pingamizi, Faida na Hasara

Sikutegemea watu wenye taaluma kupoteza muda wao kupinga ziara hii.They have a lot to discuss na kuyatolea mapendekezo yanayohusu taaluma zao badala ya kutuletea upuuzi huu.

Inaripotiwa elimu yetu kushuka kiwango kutokana na mambo kama haya.

Dunia nzima kila anapokwenda kichaka anapingwa kwa maandamano na awe msomi au si msomi wote wanajuwa kwa nini wanampinga. Kama wewe hujuwi anachopingwa, basi tulia utazame na tembea kwenye mtandao uone kwanini kote anapingwa kwa maandamano. Simpo search the web for "Bush Demo" utapata majibu
 
I think they are going to do it in silence but abandoning it, no way. I wonder if JK did not agree to do it with them secretly :???:

Hapo ndugu Zomba nimekubali! Hawa wamarekani wameshtuka baada ya kuona kuwa publicly hakuna rais wa kiafrika atakayekubali wazi kuweka base yao katika nchi yao. Lakini watakubaliana kimyakimya. |Nasikia SADC wamesema member countries hawataweka.
Mi wasiwasi wangu ni kwamba wakitumia njia hii basi tutawekewa base kinyemela! Inabidi tuwe macho sana! Also nimesoma hapahapa JF kwamba kuna training imefanywa na wamarekani ya troops zetu au polisi? Ujue ndivyo wanavyoanza wamarekani remember Columbia? Eti walisema wanafuatilia drug cartels sasa wanasema it's an important 'front for war on drugs' na wamepiga kambi.
 
Mi wasiwasi wangu ni kwamba wakitumia njia hii basi tutawekewa base kinyemela! Inabidi tuwe macho sana! Also nimesoma hapahapa JF kwamba kuna training imefanywa na wamarekani ya troops zetu au polisi? Ujue ndivyo wanavyoanza wamarekani remember Columbia? Eti walisema wanafuatilia drug cartels sasa wanasema it's an important 'front for war on drugs' na wamepiga kambi.


Only Liberia, which has historic links to the US, has offered to host it.

i suppose they base there.
or Liberia is not there choice?
 
Hawa UDASA wote ni waIslam na wanamchukia Bush kwa udini wao!

Mh. Zomba, hii ndio UDASA, Haiwezi kuwa taasisi ya Kiislamu! Vilevile, UDASA wamekuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi ya watanzania siku zote. Akina marehemu Chachage, akina Issa Shivji, Lwaitama ni baadhi ya mifano ya wanaharakati wa UDASA


"UDASA (University of Dar es Salaam Academic Staff Assembly). UDASA was established in August 1980 to provide a forum for members of the academic staff of the University of Dar es Salaam to collectively influence how the University of Dar es Salaam is governed as well as to act as the collective voice of the members of the academic staff on matters which impinged on their lives and work as academicians and as citizens and/or residents of Tanzania" http://www.convocation.udsm.ac.tz/about.htm


Na maandamano yanafanyika kwa nguvu zaidi akitembelea Ulaya kama hujui.
 
Ni jambo la kushangaza sana tena sana,wasomi tena Maprofesa eti wa UDASA,mnasumbua vipara vyenu eti kutaka Bush asije TZ hivi mna akili sawasawa?Hizo sh.billion miasaba mngezitoa wapi,What I believe is that Proffesor has a lot of things to do and not this stupidity things eti Bush asije Tanzania.Msiwe kama wasanii ambao mada yao kubwa ktk nyimbo ni mapenzi tu.
Naingiwa na hofu kwamba huo Uprof'hamkuupata kiuhalali.Mlikua mnaingia na madesa ktk vyumba vya mitihani.Kama hamna ya kufanya kaeni kimya.
 
Mh. Zomba, hii ndio UDASA, Haiwezi kuwa taasisi ya Kiislamu! Vilevile, UDASA wamekuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi ya watanzania siku zote. Akina marehemu Chachage, akina Issa Shivji, Lwaitama ni baadhi ya mifano ya wanaharakati wa UDASA


"UDASA (University of Dar es Salaam Academic Staff Assembly). UDASA was established in August 1980 to provide a forum for members of the academic staff of the University of Dar es Salaam to collectively influence how the University of Dar es Salaam is governed as well as to act as the collective voice of the members of the academic staff on matters which impinged on their lives and work as academicians and as citizens and/or residents of Tanzania" http://www.convocation.udsm.ac.tz/about.htm


Na maandamano yanafanyika kwa nguvu zaidi akitembelea Ulaya kama hujui.

Ahsante kwa majibu hayo, kwani humu kwenye JF kuna watu wanalaumu kwa nini waliopinga ni waislam tu! Kumbe kuna wengine sio waIslam waliopinga. Ahsante kwa kunijulisha hili.
 
Wasomi wa Tanzania ni vichekesho, hawana kazi ni kutafuta umashuhuri kama wanasiasa. Wasomi wa Tanzania badala ya kuandika vitabu wamekuwa wakitafuta njia za kuingia kwenye siasa. Hamuezi kuwa watu wakupinga wakati hamleti plan, je ni plan gani tunajivunia wasomi wetu wameleta? ni nani amekuja na ripoti binafsi ya solution hata kwenye mambo ya mikopo ya vyuo vya juu. Ni msomi gani amependekeza jinsi ya kuzuia magonjwa ya malaria na ukimwi au plan ya kuboresha elimu ya msingi na sekondari sijaona kitabu chochote cha hivyo. Leo baada ya kuja raisi bush na kutoa $698 za barabara na mwisho wa mwaka $800 za ukimwi ndiyo mnaanza kuongea. Ni lini mtakuwa constructive na kufanya kazi pamoja na kutoa plan badala ya kuongea na ku protesty kila siku. Wasomi wa bongo ni aibu. Labda sasa tuanze kuangalia wasomi wa kitanzania walio nje ya nchi labda wanaweza kusaidia kimawazo kuliko hawa wachovu.
 
I think the question should be what is the motivation behind Prof. Njozi harsh criticism? Is it patriotism, is it the sense urgency and fairness in international politics? Is there anything that US could do to make him change his mind that would not involve the Middle East? Why does he want Tanzania to align itself with the Middle East and not South America or Far East?

Is there something between the lines that we need to understand. I think there is more to his sentiments than what meets the eyes!

asante mwana kijiji, kali za wajumbe imepitia sababu za prof hapo juu,huyu jamaa naweza kusema ametumia akili sana katika kuaanda vigezo vyake ,kweli shule ilitumika katika uandikaji ijaribu kupotosha jamii kwa kujizungusha tu,huyu bwana ni udini tu ndio unao msumbua basi.na pia lazima ajue pia opion sio lazima iwe jibu la swali au mada husika,especialy ktk specz,naomba atafute detail za prof eve white kama hatakwenda kinyume ,hapo opinion alizungumzia kwa kina nini maana ya opion ,
 
Jamani huyu kikwete mwenzenu si muelewi.Mbona kila siku marekani?Rafiki yake Bush ni mwanachama wa "The Skull & Bones",kikundi kibaya sana cha kishirikina.Yeye atapona?Na kama wakimu "initiate",Tanzania tumekwisha.
 
Ndugu wapendwa watanzania mliobarikiwa nchi kubwa yenye madini mengi , ardhi kubwa ambayo haijatumika na watu wapole kuliko wote duniani

kama mnavyojua raisi wenu kipenzi chaguo la mungu mhe jakaya mrisho kikwete amekuwa akienda safari za nje mara kwa mara haswa marekani wengi wamejiuliza mengi kuhusu safari hii

majibu yake yatapatikana siku ya jumatatu saa 3 usiku katika kipindi maalumu cha safari za mtakatifu raisi katika nchi ya marekani

msikose
 
Ndugu wapendwa watanzania mliobarikiwa nchi kubwa yenye madini mengi , ardhi kubwa ambayo haijatumika na watu wapole kuliko wote duniani

kama mnavyojua raisi wenu kipenzi chaguo la mungu mhe jakaya mrisho kikwete amekuwa akienda safari za nje mara kwa mara haswa marekani wengi wamejiuliza mengi kuhusu safari hii

majibu yake yatapatikana siku ya jumatatu saa 3 usiku katika kipindi maalumu cha safari za mtakatifu raisi katika nchi ya marekani

msikose

Hayo majibu yatatolewa na nini? na kuna ukweli na undani kiasi gani wa majibu hayo. Ikumbukwe kwamba Rais wa Merikani hawezi kukukumbatia na kukusifia hivi hivi kama bush alivyokuwa akimsifu kikwete kwenye G8 meeting. Lazima kuna kitu marekani haisaidii bure bure. Tutajua tu kama si leo .. Kesho!
 
Ndugu wapendwa watanzania mliobarikiwa nchi kubwa yenye madini mengi , ardhi kubwa ambayo haijatumika na watu wapole kuliko wote duniani

kama mnavyojua raisi wenu kipenzi chaguo la mungu mhe jakaya mrisho kikwete amekuwa akienda safari za nje mara kwa mara haswa marekani wengi wamejiuliza mengi kuhusu safari hii

majibu yake yatapatikana siku ya jumatatu saa 3 usiku katika kipindi maalumu cha safari za mtakatifu raisi katika nchi ya marekani

msikose

Kikwete si chaguo la Mungu bali ni chaguo la mafisadi wenyewe wanajiita wana mtandao au kama wanavyojulikana siku hizi 'mtandao wa mafisadi' miongoni mwa Watanzania walio wengi. Mungu hatuchukii Watanzania kiasi hicho mpaka atuchagulie kiongozi dhaifu, kiongozi mwoga, kiongozi asiye na mapenzi ya kweli na Tanzania na Watanzania.

Hebu tupe more info kuhusu kipindi hicho. Maana credibility yako hapa ukumbini kwa sasa imeshuka kutokana na kutuma habari ambazo baadaye zilikuja kugundulika kwamba hazina ukweli wowote.
 
Mkuu BAK, heshma mbele
Naomba nikufahimishe kuwa: Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete NI CHAGUO LA MUNGU (Warumi 13:1-3).

Akili ni nywele kila mtu ana zake. Mimi naamini kwamba Kikwete si chaguo la Mungu, maana hata katika vitabu vyote vitakatifu vya Mungu kutoa au kupokea rushwa ni dhambi kubwa sana. Na Kikwete alichaguliwa kama mgombea wa CCM kwa kutoa rushwa za mapesa haramu kutoka kwa mafisadi mbali mbali na mapesa yao haramu ya EPA.
 
..........majibu yake yatapatikana siku ya jumatatu saa 3 usiku katika kipindi maalumu cha safari za mtakatifu raisi katika nchi ya marekani

msikose

Usihangaike,
Huyu ni RAIS WA MAMBO YA NCHI ZA NJE.

Kama hawezi kuwa na hotuba nzuri kwa wananchi wake hapa TZ, anawezaje kuwa na mazuri kwa wazoefu wa Washington?

Au pia smile yake huwa inatosha na kuzungumza matusi hadharani?
Forget!
 
Mkuu BAK, heshma mbele
Naomba nikufahimishe kuwa: Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete NI CHAGUO LA MUNGU (Warumi 13:1-3).

Halafu wananchi wake wanakufa na njaa,hakuna maji safi,hakuna huduma nzuri za afya,barabara mbovu na zimejaa vumbi,kuwa na air condition nyumbani ni anasa kubwa,umeme wa mgao,shule za udongo,wanafunzi kwenye vyuo vikuu wanakaa chini,mahakama ni za kufunga wanyonge!,rushwa na kupiga deals ndiyo vitu vya kukuingizia kipato! na mengine mengi....

Basi kama huyo JK ni chaguo la Mungu hatumtaki hata huyo Mungu wenu anayewawekea watanzania kiongozi asiyejali wananchi wake..
Hebu tembeeni na mfunguke macho maisha mnayoishi huko nyumbani si maisha watu wanavyoishi nchi nyingine! acheni kushabikia viongozi wabovu ambao wanaliletea taifa zima umasikini wa kutupwa...huku wao wakitalii na kufikia kwenye mahoteli ya gharama kubwa.

Wembe.
 
Mkuu BAK, heshma mbele
Naomba nikufahimishe kuwa: Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete NI CHAGUO LA MUNGU (Warumi 13:1-3).

Ladislaus Modest,

Kasome tena hiyo Warumi and my friend in a polite manner try to find out the context why was Paul saying Obey the government, umechukua phrase out of context!
 
Back
Top Bottom