barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Hakuna katika Uislam jina Abdul Mohamed.
Usifikiri wote ni majuha kama wewe.
Usidhani waislamu wote ni wapvmbavu kama wewe!
Wewe ni terrorist!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna katika Uislam jina Abdul Mohamed.
Usifikiri wote ni majuha kama wewe.
Akili za madrassa tupu huku, very arrogant..
Thnx God, kuwa na mijinga like these, we will rule you to death, sababu ni simple, ujinga wenu ndio FAIDA YETU...madrassa zishawaharibu... na bado...!!!
Moderator wanakulea sana pamoja na tabia yako ya kugeuza kila mjadala kuingiza udini..... hakuna mjadala utaoshiriki bila kuweka udini..... akitokea mkristo atayefanya kama wewe najua atachofanywa haraka....... hii tabia ya mods kulea tabia sugu kama hii kwa mtu anayefanya yaleyale kila sekunde huku akishinda google kutafuta mabandiko ya kukashifu dini zingine haijengi taswira njema.Rudi juu nimeweka na link, kama haujaona rudi tena useme ntakuwekea tena. Pata hii kwanza uburudike na roho yako:
Vatican Bank Scandal - JP Morgan, HSBC Cease Doing Business with Vatican - Ben Swann's Truth In Media
Lebanese Hezbollah is a legitimate party in Lebanon.
Read this: Among the biggest audit scandals of 2014 is the Vatican Bank Scandal. The Vatican Bank has been faced with scandal in the last few years...
Source: 5 Biggest Accounting Scandals in 2014 to Learn From - Infinit Accounting
Usichokijua kuhusu hii bank na marekani ni kama usiku wa giza! Baada ya kuituhumu hii bank kuwa inafanya ugaidi na kuifungia Marekani hawakumaliza muda wakaenda na bank ya Urusi na kuifungia! Hii bank ya FBME pale Cyprus wateja wake wengi ni warusi! Kumbuka pia matatizo haya ya pesa chafu yalishaikumba CITIBANK ya Marekani lakini na walichoishia kufanya ni kuipiga Penalty tu! Nini kimeshindikana kwa hii bank!?? Unafikiri MArekani ingelikuwa na wafanyakazi wake pale ingeifunga bank hii? Tunashabikia vitu ambavyo hatuvijui kwa undani!
You're right. It is a subsidiary of an International Bank FBME Limited. Ni vile tu sheria yetu inafavour companies zilizokuwa registered in Tanzania ndio maana waka establish FBME Bank Tanzania Ltd. Ila majority shareholder ni FBME Limited
Wee kigagula, sikia, licha ya chuki zako zoooote na ukristo na hasa ukatoliki, Mkatoliki ndo anaenda kuwa RAIS wako, kuwa tu mpole! Mi sio mkatolik ila Catholicism will be all over ur hijab's cancealed ass!!
Akili za madrassa tupu huku, very arrogant..
Thnx God, kuwa na mijinga like these, we will rule you to death, sababu ni simple, ujinga wenu ndio FAIDA YETU...madrassa zishawaharibu... na bado...!!!
In 2003, as part of its strategic planning, Federal Bank of the Middle East terminated its banking presence in the Cayman Islands and established its parent company and operational headquarters in Tanzania. At the same time, its Cyprus operations became a branch of Federal Bank of the Middle East, Tanzania.
Moderator wanakulea sana pamoja na tabia yako ya kugeuza kila mjadala kuingiza udini..... hakuna mjadala utaoshiriki bila kuweka udini..... akitokea mkristo atayefanya kama wewe najua atachofanywa haraka....... hii tabia ya mods kulea tabia sugu kama hii kwa mtu anayefanya yaleyale kila sekunde huku akishinda google kutafuta mabandiko ya kukashifu dini zingine haijengi taswira njema.
Ukiisoma hiyo habari utakuta kuna kipande hiki kimefunikwa funikwa ambacho ndio msingi wa hiyo habari yote, ambayo si "news" ipo mtandaoni siku nyingi sana:
As recently as a year ago, Tanzania managed to get itself removed from a list of countries considered to be at high risk for money-laundering activity.
Muelewe kuwa Tanzania ina emerge kama hub ya finance katika Afrika Mashariki, kuna wengi hawapendi hilo. Hii habari imekaa katika kuichafuwa Tanzania zaidi ya bank na mapunguani wa Kitanzania humu hawalioni hilo.
Ninashangaa kuwa hawaongelei kuwa hiyo "money laundering" inayotajwa ina involve Bank ya Vatican lakini haitajwi kabisa, why?
Akili za madrassa tupu huku, very arrogant..
Thnx God, kuwa na mijinga like these, we will rule you to death, sababu ni simple, ujinga wenu ndio FAIDA YETU...madrassa zishawaharibu... na bado...!!!
Kama Bank ya Vatican,haitajwi, wewe umeipata wapi? Hata kwenye link yao hapo juu, hakuna mahali panapoitaja Bank hiyo. Issue hapa ni FBME, mambo ya Vatican yanakujaje hapo? Lengo lako ni nini. Vatican ni nchi kama ilivyo Russia, Lebanon, kwa nini umeshupalia nchi hiyo zaidi kuliko theme yenyewe? Unataka kututoa kwenye hoja ya msingi na kutupeleka kwenye hoja dhaifu. Kwa nini tusiwajadili share holders ambao ndiyo wenye kuweka Business plan. Watafanya biashara ya namna gani na wateja wao watakuwa akina nani na watawapataje? Ni kama muuza cocain anaweza kuishi popote duniani, kosa haliwi la nchi au mji au mtaa au nyumba anayoishi bali mtuhumiwa mwenyewe.
I real doubt of analitical capacity.
Siku nyiingi ilishashtukiwa. Ilikuwa inatumika kutakasa pesa na haikuwa na wateja, wawe corporate ama individual, wanaojulikana
"Tanzania's largest commercial bank"? With what criterion?
Well said mkuu. Nami nimesikia sababu kuu ni uhusiano wa hii bank ndani ya Cyprus na warus.