US sanctions Tanzania's largest Commercial Bank, FBME over suspected ties to Money Laundering


usiwe mjinga jay one. ilikuwa inafadhili kivipii?? mbona kama umetoka tu chooni na kukuta watu wanakula unasema mnakula wali!! kabla hujaona hicho chakula.,kwanza bnki haikuanza cypus,hebu google.usome tena.
 

KATAKUWA KANA MTINDIO WA UBONGO HAKOOO,pumbaf sana huyu.udini apelike kwenye ibada tafadhali yake,asichonganishe watu humu
 
KATAKUWA KANA MTINDIO WA UBONGO HAKOOO,pumbaf sana huyu.udini apelike kwenye ibada tafadhali yake,asichonganishe watu humu

Anachonganisha watu kivipi? Mbona ikitokea benki inayosemekana kufadhili uislamu huwa mnachonga sana. Kwanini hamuamini vatican wanaweza kuwa magaidi au wanajihusisha na fedha chafu. Mbona mnaitetea sana vativvatican kuna nini? FaizaFoxy kosa lake ninini?
 
Last edited by a moderator:

Shida na kosa la hii bank kwa wamarekani ni kuwa na wateja wengi wa kirusi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…