Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... ulikuwa hujitambui?waondoe tu ili tujitambue
Huyu jamaa ni nani?Hii account kumbe yako we jamaa..hivi huwa mnalipwa na serikali ya ukraine??...Ni Tanzania pekee ndiye aliyekuwa against mpaka atajwe yeye kwenye hii tweet??!..napata mashaka hii ni account yako
Tujaribu kuwa na heshima kwa raisi,Maushungi bado anasikilizia swaumu
Heshima kwa mamlaka tafadhaliHuyu mama alivyo Mbatata ataweza mziki huu ***** mtakuta mavi yametapakaa vichakani maana hakuna US aid kwenye Vyoo tena hahaha
mwenye twitter a/c ndiye aliyefungua uzi jf, atafanyaje apate attention bila kuitaja Tanzania? kimsingi ina fahamika TZ haifungamani na upande wowowte ndio sera yetu.Sawa,
Lakini kulikuwa na ulazima gani wa kuitaja Tanzania specifically?
US au Taifa lingine lolote haliwezi tuchagulia rafiki... sera zetu kimataifa zipo wazi...Nimekumbuka mtoa mada ni pro-USA/NATO so anaandika kinachomfurahisha hata iwe fake news. Sijaona hata link kwenye habari yake zaidi ya propaganda.
Anapenda safari kwani anaenda kutembea kule mbona watanzania hamna shukrani alivyokuwa jpm mlisema hatoki kutafuta fursa au unafikiri wawekezaji wanaweza kuja kwa rais kujifungia ndani lazima akakutane nao au ww unafikiri dangote amekuja kuwekeza Tanzania kwa kutupenda sanaaa jakaya alitoka akakutana naye huko akamshawishi akaja kuweka hela yake,ww umekaa tu na kitecno chako eti anapenda kutembea kubwa zimaHivi ikitokea kafungiwa kabisa asikanyage Amerika na vile anavyopenda safari sijui itakuaje?
Upo dada yangu nimekumiss sana"You're either with us or you are against us" - George Bush.
Hapo shetani mkubwa ndipo anaonesha ushetani wake, dhahiri shahiri.
Hao walikuwa wanamuogopa magufuli tu sasa hv wanajisahau wanajua wanaweza kutukana rais wanavyojisikia hawajui rais ni taasisi sio mtuTujaribu kuwa na heshima kwa raisi,
Ataenda nchi zingine kwani dunia hii kuna nchi moja tu. Kuna Rwanda,Kenya,Urusi,China n.kHivi ikitokea kafungiwa kabisa asikanyage Amerika na vile anavyopenda safari sijui itakuaje?
Umekosea kusema "Watanzania hatuna shukrani" mwambie huyo Nyboma ndio hana shukrani.Anapenda safari kwani anaenda kutembea kule mbona watanzania hamna shukrani alivyokuwa jpm mlisema hatoki kutafuta fursa au unafikiri wawekezaji wanaweza kuja kwa rais kujifungia ndani lazima akakutane nao au ww unafikiri dangote amekuja kuwekeza Tanzania kwa kutupenda sanaaa jakaya alitoka akakutana naye huko akamshawishi akaja kuweka hela yake,ww umekaa tu na kitecno chako eti anapenda kutembea kubwa zima
[emoji1][emoji1] wametegea tego sio?Basi majibu ya tego yameshaitikia na Ni Kama yalivyo hapo [emoji116][emoji116]Wewe unafkr Kwa nn huko walikuwa kimya ? Hakuna mchongo wa maana , Ukraine kuna mtu walikuwa wanamtegea tego , hakuna rangi utaacha kuona mpak wamnase Kwa Gharama iwayo yote ile