Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
Sio lazima, ndo maana si kwamba kila unapotembeza bakuli lako unapewa, bali mara nyingine unanyimwa unapeleka bakuli kwa tajiri mwingine.Kwani ukiombwa lazima ukubali? wakatae sasa tumewakera na wafute misaada yote sio 40% pekee