US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive

US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive

Wewe nae huwezi kuchangia bila kuleta hizo blah blah zako za analipwa na nani? Na wewe tukuulize unalipwa na Russia,maana kila.comment lazima uje na hiki ki sentence chako cha 'kulipwa'[emoji3]
Comment gni umeona nimekuja na hiyo habari ya kuwaambia masuala ya kulipwa!!?...kwanza ndio first time nacomment kuhusu mgogoro huu kwenye hili jukwaa na sina side kama wajinga wachache mnavyofanya humu..acha wenge
 
Nchi “isiyofungamana na upande wowote”.. ni Nchi ya kinafiki, inayobadilika rangi kwa haraka kama kinyonga na actually isiyo na msimamo wowote. Umalayaumalaya flani hivi

FAB39634-FE29-4AA4-8A25-1607B038FF0D.jpeg
 
Hapa tukipiga U-Turn sababu ya Misaada taona kweli tumekuwa Mazuzu....

Yaani watu wa kupelekwa pelekwa tusio na Msimamo
 
US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive

And those who supported aids will be reduced to 100%

Hao ndo wanaijiita mabingwa wa demokrasia.. hawako vizuri labda demokrasia yao ni kwaajiki ya mashoga tuu..

Sasa sisi watatutisha kwa lipi yani..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hilo neno shoga kama halikupi kinyaa kulitajataja basi una dalili zake zote ila ni unafiki tu kama kawaida.
Kinyaa cha nini wewe Kipwinto tuliza Kindanda Usukumiwe Moto
 
Wao wenyewe hawana pesa.Hatutaki ahadi hewa kama wanazozitoa kwa mataifa mengine..Bora kubaki na uhuru na utu wetu.
 
Kwan unashikiwa bunduki kuiomba na kuipokea[emoji23][emoji23]
Sasa kitu kimeletwa kwenye ardhi yangu niache? nachukua wewe uliekasirika Tanzania kuwa neutral acha kutupa misaada yako
 
Utamkumbuka wewe mkuu kama umeshikiliwa akili manake seems umechagua ujinga wa kutoelewa kwamba hili ni tatizo la Dunia has nothing to do with an individual.

😬😬😬😬 Kote huku waambie wamkumbuke 👇

View attachment 2181163

View attachment 2181164

View attachment 2181165

View attachment 2181166
Maswali: 1. Tanzania tuna uwezo kiasi gani (in milions litres) wa kutunza mafuta yaliyo tayari kutumika nchi nzima? Na je kwa siku tuna tumia wastani wa kiasi gani (in millions litres)?

2. Mpaka vita vinaanza, kwenye matenki yetu ya kutunzia mafuta tulikuwa na mafuta kiasi gani?
3. Rejea habari ya 'Swahili', DR Congo wanapata wapi mafuta yao?
 
Back
Top Bottom