britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #121
Hahaha umenichekeshaNdio maana sipendi upuuzi wa eti kukaa kimya, Russia na umaskini wake ana msaada gani Kwa Tzn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha umenichekeshaNdio maana sipendi upuuzi wa eti kukaa kimya, Russia na umaskini wake ana msaada gani Kwa Tzn?
Unasimangwaje sasaNi bora kuliko misaada ya masimango
Haya sasa ni wakati wa wale wanafiki kujifanya hawana upande waelekee Kremlin kupata misaada[emoji3]US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive
And those who supported aids will be reduced to 100%
Si na yenyewe ni mojawapo ya ambao hawakupiga kura,au ameisingizia Mkuu.Hii ni forum inasomwa na Watanzania wengi zaidi,pengine ameamua kutukumbusha tulikuwa upande upi [emoji3]Sawa, lakini kulikuwa na ulazima gani wa kuitaja Tanzania specifically?
[emoji3][emoji3][emoji3] tutakwenda RussiaHivi ikitokea kafungiwa kabisa asikanyage Amerika na vile anavyopenda safari sijui itakuaje?
Hiyo jeuri huna na wala hutokuja kuwa nayo.Hatutaki misaada yao, hawawezi kutupangia cha kufanya kisa misaada
Wewe nae huwezi kuchangia bila kuleta hizo blah blah zako za analipwa na nani? Na wewe tukuulize unalipwa na Russia,maana kila.comment lazima uje na hiki ki sentence chako cha 'kulipwa'[emoji3]Hii account kumbe yako we jamaa..hivi huwa mnalipwa na serikali ya ukraine??...Ni Tanzania pekee ndiye aliyekuwa against mpaka atajwe yeye kwenye hii tweet??!..napata mashaka hii ni account yako
mafuta kupanda tu mmeanza kupiga kelele sasa subirini hakuna rangi tutaacha kuonaWakate misaada yao waone kama hatutaishi
Msimamo wa nchi yetu kwenye mgogoro wa Ukraine wao US ina wahusu nini? Wasitutishe na misaada waondoe yote ila jambo la nchi yetu tutatoa msimamo kama nchi bila shurti ya nchi yeyoteUnasimangwaje sasa
Jeuri ipo ndio maana msimamo wetu ni neutral wala hatukuwapa support yetu, kama wameumia watoe hiyo misaada yao ya ARV mbuzi hawaHiyo jeuri huna na wala hutokuja kuwa nayo.
Maskini hana jeuri,hebu hangaikeni kwanza na umaskin wenu uliotopea huko.Huoni hata aibu kutaja kimbe na ARV unapewaJeuri ipo ndio maana msimamo wetu ni neutral wala hatukuwapa support yetu, kama wameumia watoe hiyo misaada yao ya ARV mbuzi hawa
US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive
And those who supported aids will be reduced to 100%
Huwezi kula hela ya mwanaume harafu usiilipie .
"Eidha uko na sisi au wao " G . Bush
Hata mungu hapendi watu vuguvugu .
Yaani lazma uwe baridi au moto .
Jeuri gani unataka tena tumeamua kuwa neutral kama nchi hii ni jeuri tosha, kama US anaona tumekosea hiyo misaada yake akawape wananchi wake, maana hata US masikini wapoMaskini hana jeuri,hebu hangaikeni kwanza na umaskin wenu uliotopea huko.Huoni hata aibu kutaja kimbe na ARV unapewa
Tutazidi kumkumbuka! Lita ya mafuta ya petroli 2885 sasa hivi kwa baadhi ya maeneo nchini.Akishaanza marekani wanafuata EU na washiriki wake etc.na tulivo mabingwa wa kuomba omba na mikopo tutegemee bajeti kukosa support ...naziona tozo mpya bajeti Hii na nayaona maisha ya watanzania yatakuwa magumu zaidi ...
Aione Yodawaondoe tu ili tujitambue
Nilikuwa natafuta comment kama hii, wote(11) waliotangulia hawajaangalia usahihi wa hiyo akaunti ya Twitter. Hiyo akaunti ni ya mbongo mwenzetu tu asiyekuwa na vyanzo halisi vya taarifaHii account kumbe yako we jamaa..hivi huwa mnalipwa na serikali ya ukraine??...Ni Tanzania pekee ndiye aliyekuwa against mpaka atajwe yeye kwenye hii tweet??!..napata mashaka hii ni account yako
Utamkumbuka wewe mkuu kama umeshikiliwa akili manake seems umechagua ujinga wa kutoelewa kwamba hili ni tatizo la Dunia has nothing to do with an individual.Tutazidi kumkumbuka! Lita ya mafuta ya petroli 2885 sasa hivi kwa baadhi ya maeneo nchini.
Unapewa msaada alafu unashupaza shingo kumtetea asiyekupa msaada wewe mmatumbiMsimamo wa nchi yetu kwenye mgogoro wa Ukraine wao US ina wahusu nini? Wasitutishe na misaada waondoe yote ila jambo la nchi yetu tutatoa msimamo kama nchi bila shurti ya nchi yeyote
Wanatupa misaada kwa sababu wanategemea tuwaunge mkono hata kwenye mambo ya kipuuzi, sasa tumeamua kuwa neutral watoe misaada yao yote halafu waone kama tutakufa njaa, misaada ni aina ya ujinga kwenye akiliUnapewa msaada alafu unashupaza shingo kumtetea asiyekupa msaada wewe mmatumbi
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app