US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive

US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive

Njaa vip wakati ni maamuzi ya nchi husika? watu wameamua kuwa neutral kama nchi shida iko wapi? ugomvi wako sio ugomvi wetu maana hata huku kwetu tuna matatizo yetu tuna maliza wenyewe
Hee., Namaanisha kama Tanzania itapiga kura kussport russia, US wataikatika misaada Tanzania, na watasapoti US halkadhalika Urusi watainunia Tanzania., ndio mana munapiga kura kutoanisha upande ili njaa zenu huko zipate misaada kote kote., lakini angalia kama hili la Human Right Coucil Tanzania hawakufungamana na upande wowote matokeo yake mtakosa misaada kwa 40%

Kwa mfano Tanzania itainyima nini Marekani ili marekani iwe ni pigo kwao? Ndio mana nasema njaa zenu kwa sababu ya umaskini mbona nchi zinazojielewa zimepiga kura ya Ndio au ya Hapana kuonyesha what ever the case wao wanajipambanua watambana na hali zao, Tanzania hamuna huo ubavu, ndio nasema ni unafiki ukweli kuufumbia macho
 
Hee., Namaanisha kama Tanzania itapiga kura kussport russia, US wataikatika misaada Tanzania, na watasapoti US halkadhalika Urusi watainunia Tanzania., ndio mana munapiga kura kutoanisha upande ili njaa zenu huko zipate misaada kote kote., lakini angalia kama hili la Human Right Coucil Tanzania hawakufungamana na upande wowote matokeo yake mtakosa misaada kwa 40%

Kwa mfano Tanzania itainyima nini Marekani ili marekani iwe ni pigo kwao? Ndio mana nasema njaa zenu kwa sababu ya umaskini mbona nchi zinazojielewa zimepiga kura ya Ndio au ya Hapana kuonyesha what ever the case wao wanajipambanua watambana na hali zao, Tanzania hamuna huo ubavu, ndio nasema ni unafiki ukweli kuufumbia macho
Hiyo ni sera ya Tanzania kuwa neutral tusilazimishane, wala hatuna njaa hayo ni maamuzi yetu kama nchi, Tanzania ni muhimu kwa Marekani ndio maana kuna kampuni zao hapa zinapiga pesa na ubalozi wamejenga kabisa
 
Akishaanza marekani wanafuata EU na washiriki wake etc.na tulivo mabingwa wa kuomba omba na mikopo tutegemee bajeti kukosa support ...naziona tozo mpya bajeti Hii na nayaona maisha ya watanzania yatakuwa magumu zaidi ...
Hakuna shida tutakuwa huru, misaada ni kifungo
 
Hiyo ni sera ya Tanzania kuwa neutral tusilazimishane, wala hatuna njaa hayo ni maamuzi yetu kama nchi, Tanzania ni muhimu kwa Marekani ndio maana kuna kampuni zao hapa zinapiga pesa na ubalozi wamejenga kabisa
sera iliyojaa unafiki, hizo kampuni uzijuazo ni kwa maslahi yenu kupata viajira ajira na ivyo vikampuni ndivyo vinavyokufanyeni muwe na seria hiyo ya kutoegemea upande wowote ili mufaidike huku na huku, mke si dume
 
sera iliyojaa unafiki, hizo kampuni uzijuazo ni kwa maslahi yenu kupata viajira ajira na ivyo vikampuni ndivyo vinavyokufanyeni muwe na seria hiyo ya kutoegemea upande wowote ili mufaidike huku na huku, mke si dume
Watoe kampuni zao halafu wataona kama tutakufa njaa, sera ya nchi yetu ni muhimu kuliko vikampuni vya kimarekani, kama wamekasirika watoe kampuni zao Tanzania na wabomoe ubalozi wao, wanapiga pesa hapa Tanzania halafu wewe unaleta porojo
 
Hatuitaji misaada ili tuishi, wasipunguze wafute kabisa wanamtisha nani kenge hao
Kwani ulishikisa fimbo kuiomba na kuipokea, ungekataa kuipokea kitambo sio Hadi unyimwe ndo ujidai huzitaki mbichi hizi[emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom