Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Kwa sababu hio page ni ya mbongoSawa, lakini kulikuwa na ulazima gani wa kuitaja Tanzania specifically?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu hio page ni ya mbongoSawa, lakini kulikuwa na ulazima gani wa kuitaja Tanzania specifically?
Ndiyo mumewaomba, hata juzi waziri kaziomba zile za NGO's wapewe serikali ili zisaidie kukamilisha miradi ya kimkakati. Kwa taarifa yako hivi vikodi vinavyokusanywa vinatosha kulipa mishahara tu, Tena mishahara yenyewe ya kinyonyaji.Sawa kwani tumewaomba ? Kama hawataki shauri zao, ila sio kutishana kwa maboksi ya kondomu
Jamani inatosha kweli kupeleka sentensi hapa, watu 101 wanaitikia na kujibu, hakuna anayeuliza kama ni kweli????? Twita???Marekani wapuuzi Sana, si hawa wanaimbaga Demokrasia , hii ndio Demokrasia kuchaguliana umpigie Kura nani
Hahahaaaa! Dah!Hatutaki misaada yao, hawawezi kutupangia cha kufanya kisa misaada
Utafanyaje Sasa wewe masikini, hamna namna lazima utembeze bakuliTajiri mwenye masimango ni takataka kabisa hatuna shida nae
Watakufa watoto wachanga na waathirika wa ukimwi, wengine hatutakufa ila Cha moto tutakiona.Waondoe sasa 100% wanamtishia nani kuondoa 40%? waondoe misaada yote halafu waone nani atakufa
Wacha wafe hiyo ndio gharama ya uhuru, huwezi kutishia watu kila siku kisa misaadaWatakufa watoto wachanga na waathirika wa ukimwi, wengine hatutakufa ila Cha moto tutakiona.
Waambie watoe 100% ya misaada Yao waache kutishia watu nyau , hakuna nchi dunia inaweza kuendelea kwa misaada kile ni kifungoUtafanyaje Sasa wewe masikini, hamna namna lazima utembeze bakuli
Kodi ndio uti wa mgongo wa nchi , tutakusanya na tutasonga mbele, kutegemea misaada ni uvivu na matumizi mabaya ya akili, sasa hao US wasilete hiyo misaada halafu watajua kuwa Tanzania kuna watu timamuNdiyo mumewaomba, hata juzi waziri kaziomba zile za NGO's wapewe serikali ili zisaidie kukamilisha miradi ya kimkakati. Kwa taarifa yako hivi vikodi vinavyokusanywa vinatosha kulipa mishahara tu, Tena mishahara yenyewe ya kinyonyaji.
Sawa, lakini kulikuwa na ulazima gani wa kuitaja Tanzania specifically?
Mkajenge kwanza vyoo, watoto wanajisaidia vichakani, shule hazina madawati, madarasa na vyoo.Hatutaki misaada yao, hawawezi kutupangia cha kufanya kisa misaada
Kutokuwa na upande ni unafiki tu wakati bakuli unatembeza.mwenye twitter a/c ndiye aliyefungua uzi jf, atafanyaje apate attention bila kuitaja Tanzania? kimsingi ina fahamika TZ haifungamani na upande wowowte ndio sera yetu.
Wakina kiduku na wengine walipiga kura ya wazi kukataa udhalimu, sisi na wengine kama china hatukuchagua upande maana wote rafiki zetu... urusi akishinda tutamwambia hongera na ukraine pole ndio sera yetu hatubagui...
hao wabaguzi msaada wenye masharti wabaki nao kama kibaraka wao aliyefungua uzi...
Alikuwa anasubiri nini kwenda huko siku zote.Ataenda nchi zingine kwani dunia hii kuna nchi moja tu. Kuna Rwanda,Kenya,Urusi,China n.k
Hilo neno shoga kama halikupi kinyaa kulitajataja basi una dalili zake zote ila ni unafiki tu kama kawaida.Mashoga wa Marekani wanataka watushike mpaka Akili zetu,kwa nini wasingekata zote 100%?Hizo asilimia 40% za nini sasa?Pumbavu zao tuone kama tutakufa njaa.
Ni bora kuliko misaada ya masimangoMkajenge kwanza vyoo, watoto wanajisaidia vichakani, shule hazina madawati, madarasa na vyoo.
US to Reduce 40% of its aids to countries which did not vote against Russia in UN council , Tanzania inclusive
And those who supported aids will be reduced to 100%
Kiongozi wa wanafiki,afu kwa Africa ni kama inaangaliwa kwa jicho la ushawishi.Sawa, lakini kulikuwa na ulazima gani wa kuitaja Tanzania specifically?