USA sio Mungu wakikosea tuwapinge, kwenye hili nasimama na Mahakama ya Kimataifa ya ICC

USA sio Mungu wakikosea tuwapinge, kwenye hili nasimama na Mahakama ya Kimataifa ya ICC

ICC ni mahakama kwa ajili ya mataifa madogo ili wazungu wawaadabishe.

Nchi kama China, Russia, U.S, Israel n.k hazijawahi kuwa members wa ICC
 
Ila huyu msela Trump ataivuruga hii nchi muda mchache ujao
Haya ni maandishi matakatifu👉
Soma kitabu cha Daniel 5:25-28 pamoja na Daniel 6:25-28

Mene Mene Tekel Persin
  • Mene: ina maana 'siku zake zinahisabika
  • Tekel: Neno hili linaweza tafsiriwa kana "umeshitakiwa na umekutwa na hatia"
  • Peres: neno hili nalo laweza tafsiriwa kana "Ardhi yako imegawanywa, na na kupewa wageni"
Kwa wale wanaoeza kuona "Theme" ama kutambua kuna mambo yanayojirudia Duniani, utaelewa.

Nisikuchoshe.

Neno Mene:
linamgusia Donald Trump, ama wanavyomuita wenyewe, Dictator or Tyrrant Trump. Kulingana na matamko mengine, huenda huyu bwana siku zake zinahesebika. Kiuhalisia, ana miaka minne. Either or siku zake zinahesebika.

Neno Tekel: linamgusa Benjamin Neta Nyau, Netanyahu kesha hukumiwa kwa mauaji ya halaiki-Genocide na ni mwalifu kulingana na sheria za kimataifa.

Na Peres linawagusa Wapalestina. Wapalestina ardhi yao inaenda kumegwamegwa kama chapati. Trump akiwa na Netanyahu America na Israel wanaenda kugawana ardhi ya Mpalestina.

Sagai, Trump kesha vuruga, Netanyahu kesha vuruga na Wapalestina na makabwela wengine huku tushavurugwa.

Cyrus the Great, naye alishawahi kutoa executive order, ya kuwarudisha wa Israeli quote unquote to their homeland. Huyo ni kama Netanyahu.

Darius the Great, nae alitoa Decree ya kuunga mkono juhudi za kuwarudisha wa Israel kwenye ardhi ya watu. Huyu ndie Trump.

Darius na Cyrus ni kama hawa Viongozi wa sasa. Trump na Netanyau

Trump ataivuruga sio nchi yake tu, bali na dunia na siasa zake kamavile Netanyahu anavyoivuruga mashariki ya kati.

=====
sasa rejea barua ya Darius kwenye biblia, utaona paralels.
 
Haya ni maandishi matakatifu👉
Soma kitabu cha Daniel 5:25-28 pamoja na Daniel 6:25-28

Mene Mene Tekel Persin
  • Mene: ina maana 'siku zake zinahisabika
  • Tekel: Neno hili linaweza tafsiriwa kana "umeshitakiwa na umekutwa na hatia"
  • Peres: neno hili nalo laweza tafsiriwa kana "Ardhi yako imegawanywa, na na kupewa wageni"
Kwa wale wanaoeza kuona "Theme" ama kutambua kuna mambo yanayojirudia Duniani, utaelewa.

Nisikuchoshe.

Neno Mene:
linamgusia Donald Trump, ama wanavyomuita wenyewe, Dictator or Tyrrant Trump. Kulingana na matamko mengine, huenda huyu bwana siku zake zinahesebika. Kiuhalisia, ana miaka minne. Either or siku zake zinahesebika.

Neno Tekel: linamgusa Benjamin Neta Nyau, Netanyahu kesha hukumiwa kwa mauaji ya halaiki-Genocide na ni mwalifu kulingana na sheria za kimataifa.

Na Peres linawagusa Wapalestina. Wapalestina ardhi yao inaenda kumegwamegwa kama chapati. Trump akiwa na Netanyahu America na Israel wanaenda kugawana ardhi ya Mpalestina.

Sagai, Trump kesha vuruga, Netanyahu kesha vuruga na Wapalestina na makabwela wengine huku tushavurugwa.

Cyrus the Great, naye alishawahi kutoa executive order, ya kuwarudisha wa Israeli quote unquote to their homeland. Huyo ni kama Netanyahu.

Darius the Great, nae alitoa Decree ya kuunga mkono juhudi za kuwarudisha wa Israel kwenye ardhi ya watu. Huyu ndie Trump.

Darius na Cyrus ni kama hawa Viongozi wa sasa. Trump na Netanyau

Trump ataivuruga sio nchi yake tu, bali na dunia na siasa zake kamavile Netanyahu anavyoivuruga mashariki ya kati.

=====
sasa rejea barua ya Darius kwenye biblia, utaona paralels.
Kwa jicho la kiroho hizi ishara za kurudi kwa Kristo.
 
Kwa jicho la kiroho hizi ishara za kurudi kwa Kristo.
Naam, zaweza kuwa ishara hizo, lakini haya yanayotokea, yanatokea in real time.

Nilishtuka mwenyewe. Nimefungua tu biblia na maandishi mene mene tekel persin yalivyotokea nikajichekesha , ati 'ona bataliano'
sikuwa na aa wala be, nilipoanza kutafuta tafisri ya hayo maneno ndio nikaanza kujenga conspiracy.
=====
The Beggining of the End of Empires? inafikirisha na ginsi ulivyosema, anaivuruga US
 
Leo unamweka kapu Moja bashite na mzalendo Netanyahu.
 
Ila leo Mdude kawagusa sana Vibaraka wa Wamarekani. Bazungu bwa Buza🤣🤣🤣 wakisoma wanaguna na kuweweseka

.
 
Back
Top Bottom