othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Ulitaka kusema wanamaji wa USA walikamatwa na wanamgambo wa iran au sioSasa kama wangekua wanaweza kwanini wasingegoma
Kama kukamatwa hata wanamgambo wa marekani walidakwa na wanamaji wa iran huko ghuba kwamadai hayo hayo kwamba wamevuka mstari wa maji wa iran wakiwa na silaha nawakapigishwa magoti na wakaambiwa waite jua na wakatii
Sasa ajabu super power anadhalilika namna hiii na maskini kamaniran ambae hata kula hana kama ulivyodai kule juu
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app