USA vs China Aircraft carrier

USA vs China Aircraft carrier

Sasa kama wangekua wanaweza kwanini wasingegoma

Kama kukamatwa hata wanamgambo wa marekani walidakwa na wanamaji wa iran huko ghuba kwamadai hayo hayo kwamba wamevuka mstari wa maji wa iran wakiwa na silaha nawakapigishwa magoti na wakaambiwa waite jua na wakatii

Sasa ajabu super power anadhalilika namna hiii na maskini kamaniran ambae hata kula hana kama ulivyodai kule juu
Ulitaka kusema wanamaji wa USA walikamatwa na wanamgambo wa iran au sio

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe America alitumia nyuklia kule Iraq. Nilikua sijui asee...
Kiasi usijue

Iraq haikupigwa na Americant iraq ilipigwa na umoja wa kujihami wa nchi za magharibi almaarufu kama NATO

Narudia tena hakuna vita Americant kapigana akashinda bila kutumia nyuklia kama ipo niletee hapa
 
Kiasi usijue

Iraq haikupigwa na Americant iraq ilipigwa na umoja wa kujihami wa nchi za magharibi almaarufu kama NATO

Narudia tena hakuna vita Americant kapigana akashinda bila kutumia nyuklia kama ipo niletee hapa
Enkhe kwahiyo NATO ikatumia nyuklia pale Iraq?!,😂😂😂
 
Enkhe kwahiyo NATO ikatumia nyuklia pale Iraq?!,[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuuliza swali kwamara ya mwisho

Nitajie vita ambayo marekani kapigana bila nyuklia akashinda

Wapi nilikwambia NATO katumia nyuklia kijana

Mkiambiwa muwe na hoja kwa kufatilia majambo munabisha

Hakuna vita Americant kashinda bila kutumia nyuklia kama ipo ilete hapa tuione ukiileta naleft jf
 
Nakuuliza swali kwamara ya mwisho

Nitajie vita ambayo marekani kapigana bila nyuklia akashinda

Wapi nilikwambia NATO katumia nyuklia kijana

Mkiambiwa muwe na hoja kwa kufatilia majambo munabisha

Hakuna vita Americant kashinda bila kutumia nyuklia kama ipo ilete hapa tuione ukiileta naleft
Sasa mbona maswali yako yote hayana msingi. Rejea hoja yako ya kwanza majibu utayapata hapo.
 
Sasa mbona maswali yako yote hayana msingi. Rejea hoja yako ya kwanza majibu utayapata hapo.
Hakuna swali lisilokua na msingi wewe ndio huna msingi

Sasa kama umeshindwa hata kujua kama sio marekani alovamia iraq unadhani una la msingi lipi unaloweza kuliona kwenye hoja zangu???

Nimekwambia na nakwambia tena hapa Americant hakuna vita yeyote naomba nirudie vita yeyote ambayo kashinda akiwa pekeake bila kutumia nyuklia

Vita pekee ambayo kashinda marekani ni pale japan tena kwa msaada wa nyuklia silaha ambayo hata korea kaskazini anaweza akashinda dhidi ya korea japan na wengine

Nakuuliza mara ya mwisho kuna vita yeyote Americant kashinda akiwa pekee bioa kutumia nyuklia kama ipo nitajie ita na team Americant wenzako wakusaidie
 
Ukijua china alikotoka ukaelewa amezipita nchi ngapi hadi sasa kuwa ndiye mshindani wa marekani basi huwezi kuwa na shaka kuwa huenda baada ya miaka kadhaa atamshinda.
Sidhani hata UK kama wana hiyo carrier kama ya mchina
Mkuu China ni mwanafunzi mtiifu wa US, US ndie mkufunzi wa China.

Leo hii unaona China hana ubabe wa kipuuzi kijeshi kama Russia na North Korea sababu wamestaarabika, wamefunzwa vita ni upuuzi ila uchumi ndio kila kitu.

Uchumi wa China inaweza ikafika 70% kutokana na uwekezaji wa wazungu hapo China.

China sio mjinga kutomuunga mkono Russia hapo Ukraine, wala sio mpumbavu kukataa kuivamia Taiwan.
 
Mkuu China ni mwanafunzi mtiifu wa US, US ndie mkufunzi wa China.

Leo hii unaona China hana ubabe wa kipuuzi kijeshi kama Russia na North Korea sababu wamestaarabika, wamefunzwa vita ni upuuzi ila uchumi ndio kila kitu.

Uchumi wa China inaweza ikafika 70% kutokana na uwekezaji wa wazungu hapo China.

China sio mjinga kutomuunga mkono Russia hapo Ukraine, wala sio mpumbavu kukataa kuivamia Taiwan.
Kwani vita ya Ukraine US wameishinda? Vipi Syria wamefanikiwa kumtoa Bashir.
China yuko kimaslahi zaidi hapigani pigani vita.
And by the way hapa hatuzungumzii vita tunazungumzia teknolojia na uvumbuzi kwa sasa.
Kajifunza kafuzu au umesahau kuwa Britain iliwahi kuwa workshop of the world?
 
Japan aliipiga Republic of China (ROC) sio People's Republic of China (PRC)
Japan iliipiga China ikaikalia kwa nguvu Manchukuo, hiyo ni sehemu ya People's Republic of China (Taiwan)?. Au unataka kusema kwamba Manchukuo iliwahi kuwa sehemu ya Taiwan.

Kwamba hata Nanjing massacre nayo ilitokea Taiwan.
 
Japan iliipiga China ikaikalia kwa nguvu Manchukuo, hiyo ni sehemu ya People's Republic of China (Taiwan)?. Au unataka kusema kwamba Manchukuo iliwahi kuwa sehemu ya Taiwan.

Kwamba hata Nanjing massacre nayo ilitokea Taiwan.
Screenshot_20240125-155947_Chrome.jpg



Screenshot_20240125-160232_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom