USA yaamua kuzuia Mtandao wa TikTok

USA yaamua kuzuia Mtandao wa TikTok

Ni siku chache zimepita tangu USA kuja na maamuzi ya kuzuia Mtandao wa TikTok ndani ya Taifa lao

Mpaka sasa hakuna sababu za kueleweka kwamba kwa nini mtandao huo uzuiwe zaidi ya wivu na uhasama wa kibiashara

Mara nyingi USA imekuwa ikijaribu kuua maendeleo ya China kwa muda mrefu sana hata katika biashara nyingine ikiwemo simu za Huawei kuzuiwa kuingia USA kipindi cha nyuma

Nadhani China nao wanapaswa kulipa kisasi kwa kuzuia mitandao iliyoundwa na kampuni ya META ikiwemo Facebook, Instagram na WhatsApp ndani ya Taifa lao ili wagawane hasara.

View attachment 2939537
Lakini kwa Upande mwingine tambueni kwamba Wachina ni miongoni mwa jamii za Watu wa hovyo sana hapa duniani.Ukiwafahamu kwa undani sana hautaweza kuwa upande wao
 
1000100164.png
 
T
Lakini kwa Upande mwingine tambueni kwamba Wachina ni miongoni mwa jamii za Watu wa hovyo sana hapa duniani.Ukiwafahamu kwa undani sana hautaweza kuwa upande wao
Tatizo Africans sijui tupoje yaani tunatabia ya kudandia dandia kila taifa kwa kudhani wanatupenda tusipoangalia tutatawaliwa tena
 
Ni siku chache zimepita tangu USA kuja na maamuzi ya kuzuia Mtandao wa TikTok ndani ya Taifa lao

Mpaka sasa hakuna sababu za kueleweka kwamba kwa nini mtandao huo uzuiwe zaidi ya wivu na uhasama wa kibiashara

Mara nyingi USA imekuwa ikijaribu kuua maendeleo ya China kwa muda mrefu sana hata katika biashara nyingine ikiwemo simu za Huawei kuzuiwa kuingia USA kipindi cha nyuma

Nadhani China nao wanapaswa kulipa kisasi kwa kuzuia mitandao iliyoundwa na kampuni ya META ikiwemo Facebook, Instagram na WhatsApp ndani ya Taifa lao ili wagawane hasara.

View attachment 2939537
Vipi hakuna wazee wa VPN huko
 
Umeshawahi tumia TikTok au unatumia wakati WA kujiunga ukuona sharti lao Moja la kuwa na access ya Kila kitu chako kuanzia, contacts, videos,photos na file nk?
Unatumia whatsap
Basi ili upige video lazima ukubari waiacces camera na microphone
Ili utume picha/video lazima ukubari waaccess file na media zako
ili uone majina lazima ukubari waiaccess CONTACTS zako
Ili utume Location lazima ukubari waaccess GPS ya simu yako
Ipo hivyo
FB_IMG_1694896215272.jpg
 
Back
Top Bottom