AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Kina Chimakeke wamefikiwa🤣USA TikTok inalipa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina Chimakeke wamefikiwa🤣USA TikTok inalipa sana
Lakini kwa Upande mwingine tambueni kwamba Wachina ni miongoni mwa jamii za Watu wa hovyo sana hapa duniani.Ukiwafahamu kwa undani sana hautaweza kuwa upande waoNi siku chache zimepita tangu USA kuja na maamuzi ya kuzuia Mtandao wa TikTok ndani ya Taifa lao
Mpaka sasa hakuna sababu za kueleweka kwamba kwa nini mtandao huo uzuiwe zaidi ya wivu na uhasama wa kibiashara
Mara nyingi USA imekuwa ikijaribu kuua maendeleo ya China kwa muda mrefu sana hata katika biashara nyingine ikiwemo simu za Huawei kuzuiwa kuingia USA kipindi cha nyuma
Nadhani China nao wanapaswa kulipa kisasi kwa kuzuia mitandao iliyoundwa na kampuni ya META ikiwemo Facebook, Instagram na WhatsApp ndani ya Taifa lao ili wagawane hasara.
View attachment 2939537
Sidhani kama WhatsApp inatumika China. Kule ni mwendo wa WeChatWao China hakuna kitu kilichozuiwa cha Marekani kwao? Lack of balancing ni tatizo kubwa afrika!
Mkuu kabla ya kuandika uwe unajielimisha mitandaoni,ni ushauri tu.Asante.China haijawahi kufungia mitandao ya
Marekani
Hizo ndizo propaganda za serikali ya Marekani kutaka kiuzuia TikTok, sio kweliTikTok sio salama kuitumia unavyotumia kila kitu chako kwenye simu Yako wanakiona na kuitumia au kukiuza
Iko hivi mkuuMkuu kabla ya kuandika uwe unajielimisha mitandaoni,ni ushauri tu.Asante.
Tutajie hivyo vitu.Wao China hakuna kitu kilichozuiwa cha Marekani kwao? Lack of balancing ni tatizo kubwa afrika!
Mjomba social media zote sio salama achana na issues za propaganda😀😀 sio fb , WhatsApp,insta Wala TikTok usije Dhani Mimi ni mmarekani Wala mchinaHizo ndizo propaganda za serikali ya Marekani kutaka kiuzuia TikTok, sio kweli
Tatizo Africans sijui tupoje yaani tunatabia ya kudandia dandia kila taifa kwa kudhani wanatupenda tusipoangalia tutatawaliwa tenaLakini kwa Upande mwingine tambueni kwamba Wachina ni miongoni mwa jamii za Watu wa hovyo sana hapa duniani.Ukiwafahamu kwa undani sana hautaweza kuwa upande wao
Umeshawahi tumia TikTok au unatumia wakati WA kujiunga ukuona sharti lao Moja la kuwa na access ya Kila kitu chako kuanzia, contacts, videos,photos na file nk?Una uhakika na ulichoandika?
Vipi hakuna wazee wa VPN hukoNi siku chache zimepita tangu USA kuja na maamuzi ya kuzuia Mtandao wa TikTok ndani ya Taifa lao
Mpaka sasa hakuna sababu za kueleweka kwamba kwa nini mtandao huo uzuiwe zaidi ya wivu na uhasama wa kibiashara
Mara nyingi USA imekuwa ikijaribu kuua maendeleo ya China kwa muda mrefu sana hata katika biashara nyingine ikiwemo simu za Huawei kuzuiwa kuingia USA kipindi cha nyuma
Nadhani China nao wanapaswa kulipa kisasi kwa kuzuia mitandao iliyoundwa na kampuni ya META ikiwemo Facebook, Instagram na WhatsApp ndani ya Taifa lao ili wagawane hasara.
View attachment 2939537
Ni social media gani hawana access na user data?Umeshawahi tumia TikTok au unatumia wakati WA kujiunga ukuona sharti lao Moja la kuwa na access ya Kila kitu chako kuanzia, contacts, videos,photos na file nk?
Kwahiyo wao walifunga yote
Unatumia whatsapUmeshawahi tumia TikTok au unatumia wakati WA kujiunga ukuona sharti lao Moja la kuwa na access ya Kila kitu chako kuanzia, contacts, videos,photos na file nk?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TikTok ni mtandao wa kingese sana,unakuta lizee lizima limaliza mpaka vocha ya 10k kushinda humor kutizama upuuzi!
Angalau Facebook hata nafuu
Hebu sema kweliii? Ndo kwanza unanistua hapa. LolTikTok sio salama kuitumia unavyotumia kila kitu chako kwenye simu Yako wanakiona na kuitumia au kukiuza