Inaitwa counter attack maana aliwavuta askari wa ukrain vichwa vikavimba kua anaenda kukomboa majimbo manne na wanasonga mbele akawavuta kyiv wakaiacha halafu kapiga kyiv wao kugeuka nyuma kunawaka moto kwanza kapiga miundombinu ya umeme halafu kapiga ofisi zao za ujasusi kuonesha dharau maana kupiga lile daraja la crimea ni sawa walishambulia Russia na alishawaonya wasitupe bomu Ndani ya nchi, sasa kawatest wamechanganyikiwa hawajui wasonge mbele au warudi kwanza kyiv?