Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule Generali aliyetoka Syria yuko wapi sasa? lakini jiulize huyu ni generali wa ngapi? wenzake waliopita wako wapi? Urusi kwenye hii vita anasomeka kwamba sasa he is running short, ameshindwa vita ameshindwa kulinda majimbo 4 aliyopiga kura na sasa kila siku Ukrean wanachukua ardhi yao anakuja kuangusha magorofa na kuua raia 19 kwa mabomu 83 ambayo alipiga continuously mji mkuu Kyiv.Marekani yalalamika kuwa Sergei Surovikin, kamanda mpya anayeongoza mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine, ndiye aliyesuka na kutembeza jana kipigo kitakatifu kisicho na chembe ya huruma koote Ukraine sambamba na kuipiga kibeiriti Kyiv.
Kipigo ambacho vyombo vya magharibi vinakiri kuwa ni kikubwa zaidi toka kuanza kwa operesheni ya kijeshi nchini Ukraine.
Eti MK254 hivi ni kweli hiyo?
======
View attachment 2383138
View attachment 2383139