USA yalalamika kuwa Sergei Surovikin, kamanda mpya wa Urusi, ndiye ametembeza kipigo kisicho na huruma jana Ukraine

USA yalalamika kuwa Sergei Surovikin, kamanda mpya wa Urusi, ndiye ametembeza kipigo kisicho na huruma jana Ukraine

Marekani yalalamika kuwa Sergei Surovikin, kamanda mpya anayeongoza mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine, ndiye aliyesuka na kutembeza jana kipigo kitakatifu kisicho na chembe ya huruma koote Ukraine sambamba na kuipiga kibeiriti Kyiv.

Kipigo ambacho vyombo vya magharibi vinakiri kuwa ni kikubwa zaidi toka kuanza kwa operesheni ya kijeshi nchini Ukraine.

Eti MK254 hivi ni kweli hiyo?
======

View attachment 2383138
View attachment 2383139
Yule Generali aliyetoka Syria yuko wapi sasa? lakini jiulize huyu ni generali wa ngapi? wenzake waliopita wako wapi? Urusi kwenye hii vita anasomeka kwamba sasa he is running short, ameshindwa vita ameshindwa kulinda majimbo 4 aliyopiga kura na sasa kila siku Ukrean wanachukua ardhi yao anakuja kuangusha magorofa na kuua raia 19 kwa mabomu 83 ambayo alipiga continuously mji mkuu Kyiv.

Ni jambo la kutafakari sana inawezakana vipi 83 bombs out of target? sasa huu ndio uwezo wa Putin na US ndio mana huyu jamaa wanampiga na watampiga mpaka achakae.
 
Back
Top Bottom