Ndio kasababisha jamaa wa watu roho inataka kutoka kwa mbioMarekani yalalamika kuwa Sergei Surovikin, kamanda mpya anayeongoza mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine, ndiye aliyesuka na kutembeza jana kipigo kitakatifu kisicho na chembe ya huruma koote Ukraine sambamba na kuipiga kibeiriti Kyiv.
Kipigo ambacho vyombo vya magharibi vinakiri kuwa ni kikubwa zaidi toka kuanza kwa operesheni ya kijeshi nchini Ukraine.
Eti MK254 hivi ni kweli hiyo?
======
View attachment 2383138
View attachment 2383139
Wamepiga miundo mbinu nakuuwa raia au wanajeshi?Uraaaaaaa Jana wa Ukraine wa Kwa Buza, wamepigwa kipigo Ambacho hawajawah kukiona.
Hamna Mji ulikua safe[emoji23][emoji23]
View attachment 2383150
Vita haina macho,ebhoo!!
[emoji23][emoji23][emoji23] hawez kutokeaMK254 namna gani tena hapa!
Baba hii ni dozi haswaa mzee putin anatabasamu tu maana alikiwa ameshatoa onyo kali, huko ufaransa nako Tia maji tia maji, watulize mshono waelewe kama jamaa anapiga hivi pamoja na vikwazo alivyonavyo je akiwa freee???Hahahahhaha hii ndio ile moment tulikuwa tunaisubiria kwa hamu kubwa. Uraaa!!!
Twende pamoja na Kamanda Sergei [emoji23][emoji23][emoji23] uzuri wa Urusi anatoa dozi kwa awamu kulingana na kamanda.
Naona kifurushi hiki cha kamanda Surovikin kitakwenda kubadili sura ya vita kabisa [emoji23] wa Gaykraine walishaona mchezo sasa kuvunja vunja madaraja. Wacha kiboko wa magaidi awaoneshe viwango.
Huyu jamaa anaogopwa sana na CIA waliteseka sana allepo syria
Baada ushangilie akipigwa mvamizi RussiaSafi sana hizi ndio habari nizipendazo kuzisikia
HIMARS nakuona unavyotoka nduki π€£π€£π€£Ndio kasababisha jamaa wa watu roho inataka kutoka kwa mbioView attachment 2383212
Ngoja siku ikifika zamu ya huyo beberu anayemwaga uchafu wake hapo Ukraine na wenzake anaowashawishi,wakishushiwa kipigo ni bila huruma na hicho ni chakuwageuza jibuπ₯±Lazima waite maji mmma na lazima wajue ugaidi sio dealππ
Kumbe huyu jenerali mpya ndiyo aliyetengeneza yale magofu ya alepoHuyu jamaa anaogopwa sana na CIA waliteseka sana allepo syria
Ujerumani kaonyeshwa mfano kidogoUikrane imepata jibu kwa nini NATO hawaingii kijeshi.
Hahahahhaha hii ndio ile moment tulikuwa tunaisubiria kwa hamu kubwa. Uraaa!!!
Twende pamoja na Kamanda Sergei πππ uzuri wa Urusi anatoa dozi kwa awamu kulingana na kamanda.
Naona kifurushi hiki cha kamanda Surovikin kitakwenda kubadili sura ya vita kabisa π wa Gaykraine walishaona mchezo sasa kuvunja vunja madaraja. Wacha kiboko wa magaidi awaoneshe viwango.
Ndio Ukomandoo gani huo Sasa!?Hahahahhaha hii ndio ile moment tulikuwa tunaisubiria kwa hamu kubwa. Uraaa!!!
Twende pamoja na Kamanda Sergei πππ uzuri wa Urusi anatoa dozi kwa awamu kulingana na kamanda.
Naona kifurushi hiki cha kamanda Surovikin kitakwenda kubadili sura ya vita kabisa π wa Gaykraine walishaona mchezo sasa kuvunja vunja madaraja. Wacha kiboko wa magaidi awaoneshe viwango.